نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
البحث
المنشورات
المدونات
المستخدمون
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • David Atto @Mefa
    2025-01-20 13:38:37 ·
    .*TUTUNZE HII MESEJI*

    Kwa mujibu wa Kikokotoo cha CAF, Klabu ya Simba kwa sasa ina points 38 na kushika nafasi ya 6 kwa vilabu vya Afrika. Kama ataishia hatua hii ya robo fainali, basi msimu ujao ataanza na points 25.

    Yanga kwa sasa ana points 34 na kushika nafasi ya 10 kwa vilabu vya Afrika. Msimu ujao ataanza na points 25.

    NB; Simba akitaka kuendelea kuwa juu ya Yanga ni lazima ahakikishe anavuka hatua ya robo fainali, vinginevyo msimu ujao wataanza sawa na Yanga, na baada ya hapo Yanga ataanza kuchukua nafasi yake.
    .*TUTUNZE HII MESEJI* Kwa mujibu wa Kikokotoo cha CAF, Klabu ya Simba kwa sasa ina points 38 na kushika nafasi ya 6 kwa vilabu vya Afrika. Kama ataishia hatua hii ya robo fainali, basi msimu ujao ataanza na points 25. Yanga kwa sasa ana points 34 na kushika nafasi ya 10 kwa vilabu vya Afrika. Msimu ujao ataanza na points 25. NB; Simba akitaka kuendelea kuwa juu ya Yanga ni lazima ahakikishe anavuka hatua ya robo fainali, vinginevyo msimu ujao wataanza sawa na Yanga, na baada ya hapo Yanga ataanza kuchukua nafasi yake.
    Like
    Love
    7
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·744 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Yusufu Kalulu @Kalulu أضاف صورة
    2024-05-22 12:04:04 ·
    Daraja la #kokoto #mzinga mungu atuepushe
    Daraja la #kokoto #mzinga mungu atuepushe
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Yusufu Kalulu @Kalulu أضاف صورة
    2024-05-22 12:00:43 ·
    Hii inatokana na ufinyu wa barabara ndo chanzo cha ajali nyingi kutokea hapa #mbagala #kokoto serikali ifanye mchakato wa kuipanua barabara
    Hii inatokana na ufinyu wa barabara ndo chanzo cha ajali nyingi kutokea hapa #mbagala #kokoto serikali ifanye mchakato wa kuipanua barabara
    Like
    3
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين