• Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!!
    Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!!
    Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!!
    Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!!
    Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!!
    Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!!
    Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!!
    Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!! Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!! Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!! Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!! Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!! Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!! Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!! Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten