• DRC SAGA - PART 1

    (TAHADHARI: kama wwe ni mpenzi wa udaku au story fupifupi usisome. Hii ni kwa ajili ya watu wenye "solid mind" na wanaopenda kujifunza).
    ______
    Mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umebeba historia ndefu inayohitaji muda mrefu kuielezea, lakini nitajaribu kuifupisha kwa kuangazia mambo machache muhimu.

    Mpelelezi wa Kiingereza, John Speke, katika kitabu chake Journal of the Discovery of the Source of the Nile (1863), aliandika kuwa asili ya Watutsi ni Pembe ya Afrika (Ethiopia, Somalia, Djibouti), na kwamba walihama katika karne ya 12 wakielekea eneo la Maziwa Makuu. Walifanya makazi yao katika maeneo ya kaskazini-magharibi mwa Ziwa Tanganyika, eneo ambalo kwa sasa ni Rwanda, Burundi, na Congo. Walipowasili, walikuta wenyeji ambao Wahutu na Watwa, ambao waliishi nao kwa amani. Wahutu na Watwa walikuwa wakulima, huku Watutsi wakiwa wafugaji.

    Karne ya 18, wakoloni walipofika, waligawa maeneo ya kiutawala bila kuzingatia mipaka ya kijamii iliyokuwepo. Badala yake, walizingatia maslahi yao binafsi, jambo lililosababisha baadhi ya jamii kugawanyika katika mataifa mawili tofauti. Kwa mfano, jamii ya Wamasai iligawanywa kati ya Kenya na Tanganyika. Wahutu waligawanyika kati ya Rwanda na Burundi, huku Watutsi wakigawanyika Rwanda, Burundi na Congo maeneo ya Kivu kusini.

    Watutsi pamoja na kuwa wachache kwa idadi lakini walijikuta wameathirika zaidi kwa kugawanyika maeneo mengi. Waligawanyika katika mataifa matatu tofauti ingawa walikuwa watu wa jamii moja, walioongea lugha moja, wenye mila na desturi zinazofanana.

    Baada ya mipaka kuwekwa Watutsi waliojikuta katika eneo la Kivu (Congo) walitengwa na jamii nyingine za watu wa eneo hilo kama Wabembe, Wavira, na Wanyindu. Kwa kuwa sehemu kubwa ya Watutsi ilikua Rwanda, wale waliojikuta Congo walionekana kama wageni (externals) maana walikua 6% tu ya watu wa Kivu.

    Walishauriwa kuhamia Rwanda, lakini hawakua wanyarwanda. Ni Wakongomani waliozaliwa hapo. Babu zao walifika hapo karne ya 12 kama nilivyoeleza juu. Kabla ya ukoloni Watutsi wote walikua jamii moja. Lakini baada ya mipaka ya wakoloni wakajikuta wamegawanywa katika nchi 3 tofauti. Sasa wafanjeje?
    (Malisa GJ)

    DRC SAGA - PART 1 (TAHADHARI: kama wwe ni mpenzi wa udaku au story fupifupi usisome. Hii ni kwa ajili ya watu wenye "solid mind" na wanaopenda kujifunza). ______ Mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umebeba historia ndefu inayohitaji muda mrefu kuielezea, lakini nitajaribu kuifupisha kwa kuangazia mambo machache muhimu. Mpelelezi wa Kiingereza, John Speke, katika kitabu chake Journal of the Discovery of the Source of the Nile (1863), aliandika kuwa asili ya Watutsi ni Pembe ya Afrika (Ethiopia, Somalia, Djibouti), na kwamba walihama katika karne ya 12 wakielekea eneo la Maziwa Makuu. Walifanya makazi yao katika maeneo ya kaskazini-magharibi mwa Ziwa Tanganyika, eneo ambalo kwa sasa ni Rwanda, Burundi, na Congo. Walipowasili, walikuta wenyeji ambao Wahutu na Watwa, ambao waliishi nao kwa amani. Wahutu na Watwa walikuwa wakulima, huku Watutsi wakiwa wafugaji. Karne ya 18, wakoloni walipofika, waligawa maeneo ya kiutawala bila kuzingatia mipaka ya kijamii iliyokuwepo. Badala yake, walizingatia maslahi yao binafsi, jambo lililosababisha baadhi ya jamii kugawanyika katika mataifa mawili tofauti. Kwa mfano, jamii ya Wamasai iligawanywa kati ya Kenya na Tanganyika. Wahutu waligawanyika kati ya Rwanda na Burundi, huku Watutsi wakigawanyika Rwanda, Burundi na Congo maeneo ya Kivu kusini. Watutsi pamoja na kuwa wachache kwa idadi lakini walijikuta wameathirika zaidi kwa kugawanyika maeneo mengi. Waligawanyika katika mataifa matatu tofauti ingawa walikuwa watu wa jamii moja, walioongea lugha moja, wenye mila na desturi zinazofanana. Baada ya mipaka kuwekwa Watutsi waliojikuta katika eneo la Kivu (Congo) walitengwa na jamii nyingine za watu wa eneo hilo kama Wabembe, Wavira, na Wanyindu. Kwa kuwa sehemu kubwa ya Watutsi ilikua Rwanda, wale waliojikuta Congo walionekana kama wageni (externals) maana walikua 6% tu ya watu wa Kivu. Walishauriwa kuhamia Rwanda, lakini hawakua wanyarwanda. Ni Wakongomani waliozaliwa hapo. Babu zao walifika hapo karne ya 12 kama nilivyoeleza juu. Kabla ya ukoloni Watutsi wote walikua jamii moja. Lakini baada ya mipaka ya wakoloni wakajikuta wamegawanywa katika nchi 3 tofauti. Sasa wafanjeje? (Malisa GJ)
    0 Comments ·0 Shares ·418 Views
  • Longest Veterans In WWE

    Seth Rollins 14 Years
    The Miz 18 Years
    Roman Reigns 14 Years
    John Cena 22 Years
    Dominik Mysterio 18 Years
    Randy Orton 22 Years
    #cktvtanzania
    Longest Veterans In WWE Seth Rollins 14 Years The Miz 18 Years Roman Reigns 14 Years John Cena 22 Years Dominik Mysterio 18 Years 👀 Randy Orton 22 Years #cktvtanzania
    0 Comments ·0 Shares ·316 Views
  • Wwe ✊🏿
    Wwe ✊🏿
    Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·338 Views
  • He looks so cute Rey Mysterio #wwe #wweraw #wrestling #SmackDown #wwefans #wwetiktok #wwedraft #wwenxt @everyone #highlight
    #cktvtanzania
    He looks so cute Rey Mysterio 👌👌👌💥💥💥 #wwe #wweraw #wrestling #SmackDown #wwefans #wwetiktok #wwedraft #wwenxt @everyone #highlight #cktvtanzania
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Nko juu...kiupendo
    Taratibu. ..ndio mwendo......
    Nmenasa kwako mama ...nmeziba ilo pengo.....//

    Wewe ndio wamalengo ...napenda wako upendo
    Umesimama kama moja ...huna mapepe wala zengo....//

    Askali wa moyo.....asali wa moyo
    Vile ukinanilii...mi nakuwa kibogoyo....//

    Ufundi wako naujua....kwa mapishi unajua
    Kiukweli unatisha kama maradi na mvua..../.

    Malaika wa ubavu .....ata nipige kavu
    Cna ofu na wwe ....kama paper na kitabu.....//

    Cna mbadala wako....kwangu uko peke yako
    Amin ninakupenda ....tuwe wote mpak kifo.....//

    My wushu nakagawa.....ndan ya tempo napagawa
    Nakuwa kama kichaa milembe na we ndio dawa....//
    Nko juu...kiupendo Taratibu. ..ndio mwendo...... Nmenasa kwako mama ...nmeziba ilo pengo.....// Wewe ndio wamalengo ...napenda wako upendo Umesimama kama moja ...huna mapepe wala zengo....// Askali wa moyo.....asali wa moyo Vile ukinanilii...mi nakuwa kibogoyo....// Ufundi wako naujua....kwa mapishi unajua Kiukweli unatisha kama maradi na mvua..../. Malaika wa ubavu .....ata nipige kavu Cna ofu na wwe ....kama paper na kitabu.....// Cna mbadala wako....kwangu uko peke yako Amin ninakupenda ....tuwe wote mpak kifo.....// My wushu nakagawa.....ndan ya tempo napagawa Nakuwa kama kichaa milembe na we ndio dawa....//
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·551 Views
  • Kuteleza so kuanguka aliekua juu wwe msubilie chin akishuka panda wewe ndo mamb yanavyokwendaga
    Kuteleza so kuanguka aliekua juu wwe msubilie chin akishuka panda wewe ndo mamb yanavyokwendaga
    Like
    2
    · 2 Comments ·0 Shares ·272 Views