Directory
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
-
-
-
-
😂😂🙌🙌0 Comments 0 Shares 84 Views 23
-
Kama kuna mpinzani pembeni yako mwambie msimu ujao achague kujiunga Msimbazi au akutane na Mashine Mtoa Roho. Kazi kwake kuchagua.
Saa 7:00 mchana tutamtangaza kupitia Simba App. Wahi mapema kupakua na kulipia. #WenyeNchi NguvuMojaKama kuna mpinzani pembeni yako mwambie msimu ujao achague kujiunga Msimbazi au akutane na Mashine Mtoa Roho. Kazi kwake kuchagua. Saa 7:00 mchana tutamtangaza kupitia Simba App. Wahi mapema kupakua na kulipia. #WenyeNchi NguvuMoja1 Comments 0 Shares 125 Views 37
2
-
BREAKING NEWS
Klabu ya Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu.
.
Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.
KARIBU UNYAMANI AUGUSTINE
Follow ukurasa wetu
.
#cktvtanzaniaBREAKING NEWS Klabu ya Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria 🇳🇬 kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu. . Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi. KARIBU UNYAMANI AUGUSTINE Follow ukurasa wetu . #cktvtanzania0 Comments 0 Shares 1K Views -
CONFIRMED: Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu.
.
Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.🚨 CONFIRMED: Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria 🇳🇬 kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu. . Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.1 Comments 0 Shares 83 Views2
-
https://barakalopoi.blogspot.com/2024/07/athari-za-ujio-wa-waarabu-tanganyika.htmlBARAKALOPOI.BLOGSPOT.COMATHARI ZA UJIO WA WAARABU TANGANYIKAATHARI ZA UJIO WA WAARABU TANGANYIKA —Watanganyika wengi waliuwawa zaidi wakati wakishindania uhuru wao. wengi walivikwa minyororo wakauzwe...0 Comments 0 Shares 991 Views
3