• Good morning
    Good morning
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 122 Views
  • #cktvtanzania
    #cktvtanzania
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 138 Views 25
  • JUST IN: Golikipa Ayoub Lakred tayari ameripoti kambini huko Misri.
    🚨 JUST IN: Golikipa Ayoub Lakred tayari ameripoti kambini huko Misri.
    Like
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 143 Views
  • Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 206 Views 36
  • KILICHOJIFICHA NDANI YA CHANGAMOTO

    (a)Ndani Ya Changamoto unazopitia na unazokutana nazo Kila Wakati Kwenye Maisha Yako ni ISHARA YA UKUBWA WA HATMA /KUSUDI MUNGU ALILOKUPUNGIA

    Kamwe Huwezi Kupitia Changamoto,vita Kubwa zaidi Ya Ukubwa Wa Hatma Yako ,Vita , Majaribu, Changamoto zinakuja Sawasawa na Kiwango Cha Hatma na Kusudi la Mungu Juu Yako

    (b)Faida Mojawapo Ya Changamoto ni Baada ya Kuvuka na Kushinda Hiyo Changamoto inakupa Kiwango Kingine Cha KUMJUA MUNGU na Kukupa Imani Zaidi Juu Ya Uwezo wa Utendaji Wa Mungu Usio na Mashaka.

    Kuna Kiwango huwezi Kumjua na Kuwa na Imani Na Mungu Kwenye eneo Hilo Kama Hakuna Changamoto ngumu uliyopitia ambayo ulijua Kabisa Mimi hapa Ndiyo basi tena lakini Mungu AKAKUVUSHA lazima utakuwa na Imani Kubwa Sana Juu Ya Mungu baada Kuvuka

    (c) Mafanikio Yetu Mengi Yamefungwa na Yamejificha Kwenye Nyuma Ya Kila Changamoto tunazopitia na tunazokutana nazo

    Unakumbuka Habari Za Goliath ,Nyuma Ya Goliath Kulikuwa na Ufalme Lakini Israel Wengi waliishia kulitazama Kama Tatizo na Kuishia Kulalamika na kunung'unika lakini DAUDI ALIJUA HII NI FURSA YA MIMI KWENDA IKULU ,YA MIMI KUJULIKANA NDIYO MAANA ALIULIZA ATAFANYIWA NINI MTU YULE ATAYEMUUA HUYU MTU

    USITAZAME CHANGAMOTO KANA MATESO BALI ZITAZAME KAMA FURSA /MAFANIKIO YAKO

    Wana Wa Israel Wao Waliona Majitu , Lakini Kalebu na Yoshua Wao Waliona Ni Chakula kwao.


    AMANI NA SALAMA
    KILICHOJIFICHA NDANI YA CHANGAMOTO (a)Ndani Ya Changamoto unazopitia na unazokutana nazo Kila Wakati Kwenye Maisha Yako ni ISHARA YA UKUBWA WA HATMA /KUSUDI MUNGU ALILOKUPUNGIA Kamwe Huwezi Kupitia Changamoto,vita Kubwa zaidi Ya Ukubwa Wa Hatma Yako ,Vita , Majaribu, Changamoto zinakuja Sawasawa na Kiwango Cha Hatma na Kusudi la Mungu Juu Yako (b)Faida Mojawapo Ya Changamoto ni Baada ya Kuvuka na Kushinda Hiyo Changamoto inakupa Kiwango Kingine Cha KUMJUA MUNGU na Kukupa Imani Zaidi Juu Ya Uwezo wa Utendaji Wa Mungu Usio na Mashaka. Kuna Kiwango huwezi Kumjua na Kuwa na Imani Na Mungu Kwenye eneo Hilo Kama Hakuna Changamoto ngumu uliyopitia ambayo ulijua Kabisa Mimi hapa Ndiyo basi tena lakini Mungu AKAKUVUSHA lazima utakuwa na Imani Kubwa Sana Juu Ya Mungu baada Kuvuka (c) Mafanikio Yetu Mengi Yamefungwa na Yamejificha Kwenye Nyuma Ya Kila Changamoto tunazopitia na tunazokutana nazo Unakumbuka Habari Za Goliath ,Nyuma Ya Goliath Kulikuwa na Ufalme Lakini Israel Wengi waliishia kulitazama Kama Tatizo na Kuishia Kulalamika na kunung'unika lakini DAUDI ALIJUA HII NI FURSA YA MIMI KWENDA IKULU ,YA MIMI KUJULIKANA NDIYO MAANA ALIULIZA ATAFANYIWA NINI MTU YULE ATAYEMUUA HUYU MTU USITAZAME CHANGAMOTO KANA MATESO BALI ZITAZAME KAMA FURSA /MAFANIKIO YAKO Wana Wa Israel Wao Waliona Majitu , Lakini Kalebu na Yoshua Wao Waliona Ni Chakula kwao. AMANI NA SALAMA
    Like
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 429 Views
  • Bodaboda kitu ambacho hawawezi kukibeba ni ulimwengu pekee
    Bodaboda kitu ambacho hawawezi kukibeba ni ulimwengu pekee 😅😅
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 107 Views 36
  • mambo ya kufundisha watoto uchawiiii
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mambo ya kufundisha watoto uchawiiii
    Like
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 116 Views 33
  • TAFAKARI :

    Kulikuwa na Mwalimu mmoja aliyezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji shuleni, Mwanafunzi huyo alikuwa ni mtoto wa kimasikini pia mpole sana na mwenye huruma na alikuwa akiishi eneo lenye umbali kiasi mpaka kufika shuleni, kwa hivyo Mwanafunzi yule takriban miaka 3 alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Kwa hiyo siku ambazo Mwalimu huyo alikuwa na kipindi cha kwanza darasani kwao Mwanafunzi huyo alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu, jambo la kushangaza wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana kabisa shuleni!

    Wiki ililoyofuata yule Mwanafunzi alifika shuleni mapema kabla ya Mwanafunzi mwingine yeyote. Mwalimu yule alishangaa sana alipomwona alifurahi sana alipoingia Darasani alimwita na kumsifia sana mbele ya Darasa kabla ya kumuuliza jambo lo lote.

    "Mwalimu akamwambia yule Mwanafunzi hebu simama akatii amri ya Mwalimu wake akasimama, Mwalimu akawaambia wanafunzi wenzake wampigie makofi kwa sababu leo kawa wa kwanza kufika shuleni. Mwalim akasema kumbe zile fimbo ninazomchapa zimesaidia sana eeeeenh?"

    Wanafunzi walipiga makofi huku wengine wakimcheka na kumdhihaki. Baada ya dakika kadhaa yule Mwanafunzi akamwomba Mwalimu ampe nafasi aseme jambo kidogo ili wapate kujua ni nini anataka kuwaelezea, Mwalimu akamruhusu huku akiwa amemkodolea macho haya tuambie.

    "Kwanza akawaomba radhi kwa kusema Mwalimu pamoja na wanafunzi wenzangu nyote kwa jumla, nakuombeni unisamehe iwapo nilikuwa nikiwaudhi kwa sababu siku zote nilizokuwa nikichelewa kufika shuleni nilikuwa namuuguza Mama yangu mzazi. Baba yangu alifariki kabla sijazaliwa, kwa hivyo sikujaaliwa kumuona nililelewa na Mama yangu tu naye alitengwa na ndugu kutokana na ufukara kwa hakika unyonge ni kitu kibaya sana simjui ndugu ye yote, Mama yangu alipopatwa na Maradhi tulimpeleka hospitalini Mimi ni jirani zetu lakini maradhi yake hayakuonekana. Akaruhusiwa kurudi nyumbani akiwa na Dawa za kutuliza maumivu tu." Kwa sababu hatukuwa na pesa sikuweza kumpeleka popote kwa vipimo zaidi."

    Mara akafuta machozi yaliyoanza kumtiririka kwa wingi mashavuni, na akasema kwa unyonge ewe Mwalimu wangu pamoja na wanafunzi wenzangu.

    "Kwa hivyo kila siku nilitakiwa kufanya usafi wa nyumba kuchota maji, kumsafisha Mama yangu pamoja na kumstiri, kumwandalia chakula chake kabla ya kuondoka kuja hapa shuleni na kazi zingine zote." Akanyamaza kidogo kwa uchungu."

    "Na sikitika kusema leo hii nimewahi kuja Shuleni kwa sababu Mama yangu alifariki wiki moja iliyopita ambayo sikuonekana shuleni nilikuwa nikimalizia msiba wa Mama yangu. Yote ndio mipango yake Mwenyezi Mungu kwa hiyo kilichokuwa kinanichelewesha kimeondoka ndio maana leo nimewahi kufika mapema shuleni."

    Hakuweza kuongea tena kutokana na uchungu, akakaa taratibu kitini huku akilia kwa kwikwi

    Hatimae Darasa zima nalo liligeuka mahala pa msiba kila mmoja akilia pamoja na Mwalimu wao, huku wakimpa pole na kumuomba msamaha kwa jinsi walivyokuwa wakimdhihaki. Naye akawaambia nimekusameheni kwa moyo safi kabisa.

    WITO:

    Msiharakishe kuadhibu wenzenu bila kuwapa nafasi ya kujieleza, sababu huwezi kujua jambo gani linalowasibu bila kuwapa fursa ya kujielezea au kukwambia ili upatikane ufumbuzi wa tatizo.

    Unapo muona mwenzako hayupo sawa kifikra, kiafya, au jambo lo lote muulize kwanza kabla ya kuanza kumshutumu.

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie tuwe ni wenye kupendana, kuuliza na kusaidiana kwa kila jambo.
    TAFAKARI : Kulikuwa na Mwalimu mmoja aliyezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji shuleni, Mwanafunzi huyo alikuwa ni mtoto wa kimasikini pia mpole sana na mwenye huruma na alikuwa akiishi eneo lenye umbali kiasi mpaka kufika shuleni, kwa hivyo Mwanafunzi yule takriban miaka 3 alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Kwa hiyo siku ambazo Mwalimu huyo alikuwa na kipindi cha kwanza darasani kwao Mwanafunzi huyo alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu, jambo la kushangaza wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana kabisa shuleni! Wiki ililoyofuata yule Mwanafunzi alifika shuleni mapema kabla ya Mwanafunzi mwingine yeyote. Mwalimu yule alishangaa sana alipomwona alifurahi sana alipoingia Darasani alimwita na kumsifia sana mbele ya Darasa kabla ya kumuuliza jambo lo lote. "Mwalimu akamwambia yule Mwanafunzi hebu simama akatii amri ya Mwalimu wake akasimama, Mwalimu akawaambia wanafunzi wenzake wampigie makofi kwa sababu leo kawa wa kwanza kufika shuleni. Mwalim akasema kumbe zile fimbo ninazomchapa zimesaidia sana eeeeenh?" Wanafunzi walipiga makofi huku wengine wakimcheka na kumdhihaki. Baada ya dakika kadhaa yule Mwanafunzi akamwomba Mwalimu ampe nafasi aseme jambo kidogo ili wapate kujua ni nini anataka kuwaelezea, Mwalimu akamruhusu huku akiwa amemkodolea macho haya tuambie. "Kwanza akawaomba radhi kwa kusema Mwalimu pamoja na wanafunzi wenzangu nyote kwa jumla, nakuombeni unisamehe iwapo nilikuwa nikiwaudhi kwa sababu siku zote nilizokuwa nikichelewa kufika shuleni nilikuwa namuuguza Mama yangu mzazi. Baba yangu alifariki kabla sijazaliwa, kwa hivyo sikujaaliwa kumuona nililelewa na Mama yangu tu naye alitengwa na ndugu kutokana na ufukara kwa hakika unyonge ni kitu kibaya sana simjui ndugu ye yote, Mama yangu alipopatwa na Maradhi tulimpeleka hospitalini Mimi ni jirani zetu lakini maradhi yake hayakuonekana. Akaruhusiwa kurudi nyumbani akiwa na Dawa za kutuliza maumivu tu." Kwa sababu hatukuwa na pesa sikuweza kumpeleka popote kwa vipimo zaidi." Mara akafuta machozi yaliyoanza kumtiririka kwa wingi mashavuni, na akasema kwa unyonge ewe Mwalimu wangu pamoja na wanafunzi wenzangu. "Kwa hivyo kila siku nilitakiwa kufanya usafi wa nyumba kuchota maji, kumsafisha Mama yangu pamoja na kumstiri, kumwandalia chakula chake kabla ya kuondoka kuja hapa shuleni na kazi zingine zote." Akanyamaza kidogo kwa uchungu." "Na sikitika kusema leo hii nimewahi kuja Shuleni kwa sababu Mama yangu alifariki wiki moja iliyopita ambayo sikuonekana shuleni nilikuwa nikimalizia msiba wa Mama yangu. Yote ndio mipango yake Mwenyezi Mungu kwa hiyo kilichokuwa kinanichelewesha kimeondoka ndio maana leo nimewahi kufika mapema shuleni." Hakuweza kuongea tena kutokana na uchungu, akakaa taratibu kitini huku akilia kwa kwikwi Hatimae Darasa zima nalo liligeuka mahala pa msiba kila mmoja akilia pamoja na Mwalimu wao, huku wakimpa pole na kumuomba msamaha kwa jinsi walivyokuwa wakimdhihaki. Naye akawaambia nimekusameheni kwa moyo safi kabisa. WITO: Msiharakishe kuadhibu wenzenu bila kuwapa nafasi ya kujieleza, sababu huwezi kujua jambo gani linalowasibu bila kuwapa fursa ya kujielezea au kukwambia ili upatikane ufumbuzi wa tatizo. Unapo muona mwenzako hayupo sawa kifikra, kiafya, au jambo lo lote muulize kwanza kabla ya kuanza kumshutumu. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie tuwe ni wenye kupendana, kuuliza na kusaidiana kwa kila jambo.
    Like
    3
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • Heshima ni kitu cha bure, ungekuwa wewe ndo mwenye hayo magari ungepamia beiskel au ungeipisha kama hao maboss
    Heshima ni kitu cha bure, ungekuwa wewe ndo mwenye hayo magari ungepamia beiskel au ungeipisha kama hao maboss 😌
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 298 Views 20
  • CONFIRMED: Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr.

    Babacar alijiunga na Simba katika dirisha la usajili la mwezi Januari akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya US Monastir ya Tunisia.
    🚨 CONFIRMED: Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr. Babacar alijiunga na Simba katika dirisha la usajili la mwezi Januari akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya US Monastir ya Tunisia.
    Like
    Love
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 115 Views