• FROM TANZANIA TO THE WORLD

    Aisha Masaka Amejiunga na Brighton Ya Wanawake Ligi Kuu Uingereza Mwanzo Alikua Anakipiga Sweden Kunako Timu Ya Bk Hacken..

    Kutoka Yanga Mpaka Uingereza Alilopanga Mungu Binadamu Hawezi Kulipangua...

    Kila La Kheri Aisha..

    Brighton & Hove Albion FC
    FROM TANZANIA TO THE WORLD 💚💛🇹🇿 Aisha Masaka Amejiunga na Brighton Ya Wanawake Ligi Kuu Uingereza Mwanzo Alikua Anakipiga Sweden Kunako Timu Ya Bk Hacken.. Kutoka Yanga Mpaka Uingereza Alilopanga Mungu Binadamu Hawezi Kulipangua... ❤️ Kila La Kheri Aisha.. Brighton & Hove Albion FC
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 267 Visualizações
  • ... 𝗣𝗥𝗢𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔

    Sikutaka kabisa kuizungumzia hii propaganda iliyoanzishwa na Edo Kumwembe Instagram.

    Lakini kwa kuwa nawajali sana wafuasi wangu waliofurika INBOX kuniuliza acha nizungumze kwa kifupi.

    Kwamba kuna wanachama wachache wa Yanga wameshinda kesi mahakamani kuwa Rais wa Yanga Eng. Hersi Said hapaswi kuwa Rais wa Yanga kwa sababu yuko kinyume na katiba ?! .. Propaganda.

    Katiba iliyomuweka madarakani Eng. Hersi Said ilipita katika mamlaka zote, Serikali na (TFF) ikapata baraka zote.

    ◉ BMT
    ◉ FCC
    ◉ TFF

    Taarifa hizo hazi-make sense ndio maana huoni wakitajwa majina hao watu wanaosemwa wameenda mahakamani.

    Kama wamepeleka masuala ya soka mahakamani, sheria za (FIFA) ziko wazi, wakijulikana WATAFUNGIWA KUJIHUSISHA NA SOKA MAISHA.. Kama michael Wambura.

    Note : Baadhi ya watu wanamuhofia huyu jamaa that's why wanaunda propaganda.

    Nadhani nitakuwa nimewajibu vyema.
    (CC: Tom Cruz)

    ... 🚨 𝗣𝗥𝗢𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 Sikutaka kabisa kuizungumzia hii propaganda iliyoanzishwa na Edo Kumwembe Instagram. Lakini kwa kuwa nawajali sana wafuasi wangu waliofurika INBOX kuniuliza acha nizungumze kwa kifupi. Kwamba kuna wanachama wachache wa Yanga wameshinda kesi mahakamani kuwa Rais wa Yanga Eng. Hersi Said hapaswi kuwa Rais wa Yanga kwa sababu yuko kinyume na katiba ?! .. Propaganda. ℹ️ Katiba iliyomuweka madarakani Eng. Hersi Said ilipita katika mamlaka zote, Serikali na (TFF) ikapata baraka zote. ◉ BMT ◉ FCC ◉ TFF Taarifa hizo hazi-make sense ndio maana huoni wakitajwa majina hao watu wanaosemwa wameenda mahakamani. ℹ️ Kama wamepeleka masuala ya soka mahakamani, sheria za (FIFA) ziko wazi, wakijulikana WATAFUNGIWA KUJIHUSISHA NA SOKA MAISHA.. Kama michael Wambura. Note : Baadhi ya watu wanamuhofia huyu jamaa that's why wanaunda propaganda. Nadhani nitakuwa nimewajibu vyema. (CC: Tom Cruz)
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 690 Visualizações
  • "Mke wangu ni mzuri kuliko wote duniani ukibisha wewe ndio mbaya kuliko wote Duniani" - Barnaba Classic, Msanii wa muziki Tanzanian
    "Mke wangu ni mzuri kuliko wote duniani ukibisha wewe ndio mbaya kuliko wote Duniani" - Barnaba Classic, Msanii wa muziki Tanzanian
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 169 Visualizações
  • VIONGOZI YANGA SC SIO HALALI, WANACHAMA 2 WALISHINDA KESI MWEZI AGOSTI MWAKA 2023.

    Wanachama wawili wa Yanga SC JUMA MAGOMA (pichani) na GEOFREY MWAIPOPO walishinda kesi waliyofungua katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar mwaka jana mwezi Agosti. Kesi yao ilikuwa dhidi ya Baraza la wadhamini la klabu hiyo kuikabidhi klabu kwa mtu wasiyemjua wala asiyekuwa Mwanachama wakati kesi inafunguliwa mwezi Mei mwaka 2022 siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa klabu uliomuweka madarakani Rais wa Yanga Eng Hersi Said. Awali walifungua kesi hiyo Mahakama ya Wilaya ya Ilala iliyopo Kinyerezi jijini Dar, kabla ya kushauriwa kuihamishia katika Mahakama ya Kisutu.

    Walipinga kutumika kwa katiba ya mwaka 2020 ambayo ilitumika kwenye uchaguzi Mkuu uliouweka uongozi uliopo madarakani wakisema katiba hiyo sio halali. Inasemekana RITA waliitwa kutoa ushahidi na wakasema wanaifahamu katiba ya mwaka 2011ambayo ipo ofisini kwao na hiyo ya mwaka 2020 hawaitambui.

    Baada ya kupata hukumu yao mwezi Agosti mwaka 2023 JUMA MAGOMA NA GEOFREY MWAIPOPO wameona hakuna utekelezaji wa hukumu hiyo hata baada ya kuwasilisha kwa wahusika wakaamua kufungua kesi ya kukazia hukumu ambapo itatolewa maamuzi mwezi Agosti tarehe 5 mwaka 2024, ili hukumu hiyo ianze kufanya kazi. Ambapo inategemewa Mkutano Mkuu wa Yanga kuitwa ambao utajumuisha WANACHAMA WOTE HAI sio wawakilishi wa matawi pekee (kama ilivyo sasa) na kwenda kwenye uchaguzi mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa klabu kwa kufuata katiba ya mwaka 2011. Kama hili litatokea manake Eng Hersi na timu yake watakuwa wameondoshwa madarakani kwakuwa watakuwa wameingia isivyo halali.

    VIONGOZI YANGA SC SIO HALALI, WANACHAMA 2 WALISHINDA KESI MWEZI AGOSTI MWAKA 2023. Wanachama wawili wa Yanga SC JUMA MAGOMA (pichani) na GEOFREY MWAIPOPO walishinda kesi waliyofungua katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar mwaka jana mwezi Agosti. Kesi yao ilikuwa dhidi ya Baraza la wadhamini la klabu hiyo kuikabidhi klabu kwa mtu wasiyemjua wala asiyekuwa Mwanachama wakati kesi inafunguliwa mwezi Mei mwaka 2022 siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa klabu uliomuweka madarakani Rais wa Yanga Eng Hersi Said. Awali walifungua kesi hiyo Mahakama ya Wilaya ya Ilala iliyopo Kinyerezi jijini Dar, kabla ya kushauriwa kuihamishia katika Mahakama ya Kisutu. Walipinga kutumika kwa katiba ya mwaka 2020 ambayo ilitumika kwenye uchaguzi Mkuu uliouweka uongozi uliopo madarakani wakisema katiba hiyo sio halali. Inasemekana RITA waliitwa kutoa ushahidi na wakasema wanaifahamu katiba ya mwaka 2011ambayo ipo ofisini kwao na hiyo ya mwaka 2020 hawaitambui. Baada ya kupata hukumu yao mwezi Agosti mwaka 2023 JUMA MAGOMA NA GEOFREY MWAIPOPO wameona hakuna utekelezaji wa hukumu hiyo hata baada ya kuwasilisha kwa wahusika wakaamua kufungua kesi ya kukazia hukumu ambapo itatolewa maamuzi mwezi Agosti tarehe 5 mwaka 2024, ili hukumu hiyo ianze kufanya kazi. Ambapo inategemewa Mkutano Mkuu wa Yanga kuitwa ambao utajumuisha WANACHAMA WOTE HAI sio wawakilishi wa matawi pekee (kama ilivyo sasa) na kwenda kwenye uchaguzi mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa klabu kwa kufuata katiba ya mwaka 2011. Kama hili litatokea manake Eng Hersi na timu yake watakuwa wameondoshwa madarakani kwakuwa watakuwa wameingia isivyo halali.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 789 Visualizações
  • "Yani kufanya kote kazi na wewe umetumia msemo wangu (We huogopi) umenitumia na mimi unanilipa elfu 50 kweli ? Kumbe kwenye sanaa kuna dhuluma na dharau kiasi hiki daaah!!!. Nimejitoa sana Watanzania mliona kweli hii ni haki? Msemo wangu uibiwe na video vifanye bure kweli?"- Suzi Bale amlalamikia Msanii wa muziki Phina.
    "Yani kufanya kote kazi na wewe umetumia msemo wangu (We huogopi) umenitumia na mimi unanilipa elfu 50 kweli 😭? Kumbe kwenye sanaa kuna dhuluma na dharau kiasi hiki daaah!!!. Nimejitoa sana Watanzania mliona kweli hii ni haki? Msemo wangu uibiwe na video vifanye bure kweli?"- Suzi Bale amlalamikia Msanii wa muziki Phina.
    5 Comentários 0 Compartilhamentos 279 Visualizações
  • "Mpenzi wangu anatoka Argentina. Watu wengi hawajui hilo. Yeye ni Mhispania nusu na nusu Muargentina . Baadhi ya watu wanafikiri kuwa siipendi Argentina, lakini mimi naipenda ... SANA." - Cristiano Ronaldo.

    "Mpenzi wangu anatoka Argentina. Watu wengi hawajui hilo. Yeye ni Mhispania nusu 🇪🇸 na nusu Muargentina 🇦🇷. Baadhi ya watu wanafikiri kuwa siipendi Argentina, lakini mimi naipenda ... SANA." - Cristiano Ronaldo.
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 152 Visualizações
  • Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza klabu zilizoingiza Watazamaji wengi zaidi Viwanjani msimu uliopita wa 2023/24 pamoja na matapo.

    1. Yanga SC: 141,911
    2. Simba SC: 112,717
    3. Mashujaa FC : 45638
    4. Tabora United: 43808
    5 . Azam FC : 35379

    Ikumbukwe kuwa huu ni msimu wa tatu (3) mfululizo kwa klabu ya Yanga SC kuongoza kwenye orodha klabu zilizoingiza Watazamaji wengi Viwanjani.

    - Mapato ya mlangoni (Shilingi ya Kitanzania)

    1. Simba SC: +835M
    2. Yanga SC: +825M
    3 . Tabora United: +223M
    4. Mashujaa FC : +140M
    5. Singida FG : +135M
    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza klabu zilizoingiza Watazamaji wengi zaidi Viwanjani msimu uliopita wa 2023/24 pamoja na matapo. 1. Yanga SC: 141,911 2. Simba SC: 112,717 3. Mashujaa FC : 45638 4. Tabora United: 43808 5 . Azam FC : 35379 Ikumbukwe kuwa huu ni msimu wa tatu (3) mfululizo kwa klabu ya Yanga SC kuongoza kwenye orodha klabu zilizoingiza Watazamaji wengi Viwanjani. - Mapato ya mlangoni (Shilingi ya Kitanzania) 1. Simba SC: +835M 2. Yanga SC: +825M 3 . Tabora United: +223M 4. Mashujaa FC : +140M 5. Singida FG : +135M
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 345 Visualizações
  • Like
    Love
    Haha
    4
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 244 Visualizações
  • Tsh12500 - Tsh500000 / Dia
    Localização
    Tanzania
    Tipo
    Hora
    Status
    Open
    JIAJILI KUPITIA SIMU YAKO KWA TSH 12500 TU; Jisajili na platform yetu ya 2024PESA ukiwa namtaji mdogo kuanzia Elfu 12 na 500 yaani Tsh12500 pamoja na simu janja yaani Smartphone, na ukisha jisajili basi utatengeneza pesa kuanzia 15000 Kwa siku mpaka 10000 Kwa siku ( you must Earn money TSH 12500 per day or TSH 10000 per day ). Wasiliana nasi kupitia namba 0625007469 au Whatsapp 0753062479.
    JIAJILI KUPITIA SIMU YAKO KWA TSH 12500 TU; Jisajili na platform yetu ya 2024PESA ukiwa namtaji mdogo kuanzia Elfu 12 na 500 yaani Tsh12500 pamoja na simu janja yaani Smartphone, na ukisha jisajili basi utatengeneza pesa kuanzia 15000 Kwa siku mpaka 10000 Kwa siku ( you must Earn money TSH 12500 per day or TSH 10000 per day ). Wasiliana nasi kupitia namba 0625007469 au Whatsapp 0753062479.
    Like
    3
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 2K Visualizações
  • Bonyeza link subscribe
    https://youtube.com/@soccersports4life?si=WiV2DDqce3NE4-pY
    Bonyeza link👇 subscribe https://youtube.com/@soccersports4life?si=WiV2DDqce3NE4-pY
    YOUTUBE.COM
    Soccer Sports
    Share your videos with friends, family, and the world
    Like
    3
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 196 Visualizações