AYOUB LAKREAD !! Inasemekana:
Taarifa kutoka misri zinasema kuwa Mlinda lango namba moja wa klabu ya Simba Ayoub Lakred amepata Jeraha akiwa Mazoezini na atakuwa nje kwa zaidi ya miezi 2 hadi 3, Japo bado jopo la Matabibu wa klab hiyo wana pambana ili kuangalia uwezekano wa kuwahi kurejesha Utimamu wake kabla ya Miezi hiyo.
Taarifa kutoka misri zinasema kuwa Mlinda lango namba moja wa klabu ya Simba Ayoub Lakred amepata Jeraha akiwa Mazoezini na atakuwa nje kwa zaidi ya miezi 2 hadi 3, Japo bado jopo la Matabibu wa klab hiyo wana pambana ili kuangalia uwezekano wa kuwahi kurejesha Utimamu wake kabla ya Miezi hiyo.
AYOUB LAKREAD !! Inasemekana:
Taarifa kutoka misri zinasema kuwa Mlinda lango namba moja wa klabu ya Simba Ayoub Lakred amepata Jeraha akiwa Mazoezini na atakuwa nje kwa zaidi ya miezi 2 hadi 3, Japo bado jopo la Matabibu wa klab hiyo wana pambana ili kuangalia uwezekano wa kuwahi kurejesha Utimamu wake kabla ya Miezi hiyo.