Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-10 07:59:21 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·148 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-10 07:59:35 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·154 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-10 08:01:04 ·
    Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani.

    Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly.

    Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.

    Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani. Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly. Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·284 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Betting Tips Tanzania @Mpendauchi updated the profile picture
    2024-12-10 08:37:05 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·379 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Swaleh Alhadhiri @Swalehalhadhiri updated the profile picture
    2024-12-10 09:15:35 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·250 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Jonhson Petro @Jonhsonpetro5
    2024-12-10 10:18:44 ·
    KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE MOSTLY PRAY TO GOD FOR EVERY THING
    KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE MOSTLY PRAY TO GOD FOR EVERY THING🙏
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·493 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Calvince Ochola @Ochola updated the profile picture
    2024-12-10 10:20:14 ·
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·335 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat un videoclip in General
    2024-12-10 12:29:20 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·260 Views ·72
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Erard Kilala @Erard updated the profile picture
    2024-12-10 13:23:31 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·345 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-10 13:32:45 ·
    "Maisha ni barabara moja kubwa yenye alama nyingi, kwa hivyo unapopita kwenye njia, usichanganye akili yako. kimbia chuki, ufisadi na wivu. Usizike mawazo yako. Weka maono yako kuwa kweli. Amka na uishi.” "Usipate ulimwengu na kupoteza roho yako, hekima ni bora kuliko fedha au dhahabu." "Pesa ni nambari na nambari haziisha, ikiwa itachukua pesa kwako kuwa na furaha, basi utaftaji wako wa furaha hautaisha."
    "Huwezi kujua jinsi ulivyo na nguvu hadi kuwa na nguvu ni chaguo lako pekee." ~ Muziki ni maisha,Ikiwa siku itakuja ambapo muziki utaacha kucheza, sitaki kuwa karibu maana naneno yanaposhindwa kunguzumza muziki huzungumza.

    "Alisema muungwana mmoja"
    "Maisha ni barabara moja kubwa yenye alama nyingi, kwa hivyo unapopita kwenye njia, usichanganye akili yako. kimbia chuki, ufisadi na wivu. Usizike mawazo yako. Weka maono yako kuwa kweli. Amka na uishi.” "Usipate ulimwengu na kupoteza roho yako, hekima ni bora kuliko fedha au dhahabu." "Pesa ni nambari na nambari haziisha, ikiwa itachukua pesa kwako kuwa na furaha, basi utaftaji wako wa furaha hautaisha." "Huwezi kujua jinsi ulivyo na nguvu hadi kuwa na nguvu ni chaguo lako pekee." ~ Muziki ni maisha,Ikiwa siku itakuja ambapo muziki utaacha kucheza, sitaki kuwa karibu maana naneno yanaposhindwa kunguzumza muziki huzungumza. "Alisema muungwana mmoja"
    Love
    Like
    3
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·834 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (19351-19360 de 28124)
  • «
  • Anterior
  • 1934
  • 1935
  • 1936
  • 1937
  • 1938
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers