Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2024-12-10 07:59:21 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·148 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2024-12-10 07:59:35 ·
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·154 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2024-12-10 08:01:04 ·
    Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani.

    Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly.

    Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.

    Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani. Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly. Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·284 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Betting Tips Tanzania @Mpendauchi обновить изображение профиля
    2024-12-10 08:37:05 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·379 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Swaleh Alhadhiri @Swalehalhadhiri обновить изображение профиля
    2024-12-10 09:15:35 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·250 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Jonhson Petro @Jonhsonpetro5
    2024-12-10 10:18:44 ·
    KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE MOSTLY PRAY TO GOD FOR EVERY THING
    KILA JAMBO LINAWAKATI WAKE MOSTLY PRAY TO GOD FOR EVERY THING🙏
    Like
    Love
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·493 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Calvince Ochola @Ochola обновить изображение профиля
    2024-12-10 10:20:14 ·
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·335 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлено видео in Общий
    2024-12-10 12:29:20 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·260 Просмотры ·72
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Erard Kilala @Erard обновить изображение профиля
    2024-12-10 13:23:31 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·345 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2024-12-10 13:32:45 ·
    "Maisha ni barabara moja kubwa yenye alama nyingi, kwa hivyo unapopita kwenye njia, usichanganye akili yako. kimbia chuki, ufisadi na wivu. Usizike mawazo yako. Weka maono yako kuwa kweli. Amka na uishi.” "Usipate ulimwengu na kupoteza roho yako, hekima ni bora kuliko fedha au dhahabu." "Pesa ni nambari na nambari haziisha, ikiwa itachukua pesa kwako kuwa na furaha, basi utaftaji wako wa furaha hautaisha."
    "Huwezi kujua jinsi ulivyo na nguvu hadi kuwa na nguvu ni chaguo lako pekee." ~ Muziki ni maisha,Ikiwa siku itakuja ambapo muziki utaacha kucheza, sitaki kuwa karibu maana naneno yanaposhindwa kunguzumza muziki huzungumza.

    "Alisema muungwana mmoja"
    "Maisha ni barabara moja kubwa yenye alama nyingi, kwa hivyo unapopita kwenye njia, usichanganye akili yako. kimbia chuki, ufisadi na wivu. Usizike mawazo yako. Weka maono yako kuwa kweli. Amka na uishi.” "Usipate ulimwengu na kupoteza roho yako, hekima ni bora kuliko fedha au dhahabu." "Pesa ni nambari na nambari haziisha, ikiwa itachukua pesa kwako kuwa na furaha, basi utaftaji wako wa furaha hautaisha." "Huwezi kujua jinsi ulivyo na nguvu hadi kuwa na nguvu ni chaguo lako pekee." ~ Muziki ni maisha,Ikiwa siku itakuja ambapo muziki utaacha kucheza, sitaki kuwa karibu maana naneno yanaposhindwa kunguzumza muziki huzungumza. "Alisema muungwana mmoja"
    Love
    Like
    3
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·834 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (19351-19360 из 28123)
  • «
  • Назад
  • 1934
  • 1935
  • 1936
  • 1937
  • 1938
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики