• Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·158 Ansichten
  • Like
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·167 Ansichten
  • Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·160 Ansichten
  • Like
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·165 Ansichten
  • Like
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·161 Ansichten
  • #paulswai
    #paulswai
    Love
    Like
    Haha
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·212 Ansichten
  • Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·205 Ansichten
  • Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·212 Ansichten
  • ....|| AFISA NISHATI NA MAWASILIANO KUTUA JANGWANI

    Anaitwa Micky Harvey Ossété,Raia wa Congo-Brazzavile,huyu ni kiungo Mkabaji tegemezi katika kikosi cha Saint Eloi Lupopo ya Kinshasa Congo ,huyu mwamba anakaba mpaka Mawimbi ya sauti za Mashabiki,anajua pia kufunga na kuanziasha Mashambulizi,ndiyo kiungo Shoka pale Congo Brazzaville Katika michuano yote ya kimataifa yaliyohusisha timu za Taifa kwa asilimia zaidi ya 85 ametumikakatika kikosi cha timu ya Taifa ya Congo Brazzaville ,pia Saint Eloi Lupopo imemtumia sana katika kusaka tiketi ya kufuzu hatua za Makundi CAF Confederation Cup
    hata hivyo vilabu kadhaa Africa kusini vipo kwenye vita Kali kupata Saini yake
    ikiwa Yanga tutampata huyu mwamba basi tatizo la Mawasiliano na miundombinu uwanjani basi litakuwa limetibika

    Ossété yupo tayari kujiunga na Yanga ,japo kwa upande wetu yanga bado halijawekwa wazi.

    Kama uhamisho wake ukikamilika basi defensive Midfielders watakuwa hawa
    1.Duke Abuya(on loan)
    2.Khalid Aucho
    3.Micky Harvey Ossété
    5.Aziz Andambwile

    Je wewe unampa nafasi nani hasa???
    .🚨...|| AFISA NISHATI NA MAWASILIANO KUTUA JANGWANI🔰 ➡️ Anaitwa Micky Harvey Ossété,Raia wa Congo-Brazzavile🇨🇬,huyu ni kiungo Mkabaji tegemezi katika kikosi cha Saint Eloi Lupopo ya Kinshasa Congo 🇨🇩,huyu mwamba anakaba mpaka Mawimbi ya sauti za Mashabiki,anajua pia kufunga na kuanziasha Mashambulizi,ndiyo kiungo Shoka pale Congo Brazzaville 🇨🇬 Katika michuano yote ya kimataifa yaliyohusisha timu za Taifa kwa asilimia zaidi ya 85 ametumikakatika kikosi cha timu ya Taifa ya Congo Brazzaville 🇨🇬,pia Saint Eloi Lupopo imemtumia sana katika kusaka tiketi ya kufuzu hatua za Makundi CAF Confederation Cup ✨ hata hivyo vilabu kadhaa Africa kusini 🇿🇦 vipo kwenye vita Kali kupata Saini yake ikiwa Yanga tutampata huyu mwamba basi tatizo la Mawasiliano na miundombinu uwanjani basi litakuwa limetibika ➡️ Ossété yupo tayari kujiunga na Yanga 🔰,japo kwa upande wetu yanga bado halijawekwa wazi. Kama uhamisho wake ukikamilika basi defensive Midfielders watakuwa hawa ⤵️ 1.Duke Abuya(on loan)🇰🇪 2.Khalid Aucho🇺🇬 3.Micky Harvey Ossété 🇨🇬 5.Aziz Andambwile 🇹🇿 Je wewe unampa nafasi nani hasa???
    Like
    Love
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·478 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·240 Ansichten