Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Duduu Mendez @Duduu_mendez μοιράστηκε ένα σύνδεσμο
    2024-12-11 07:59:26 ·
    https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04
    NOW YOU CAN DEPLOY GIFTED-MD on Host Talk Drove for free and simple

    How to deploy Video tutorial
    https://youtu.be/1ODAvpW9D98?si=UKlwq3q26FZrJjAg


    Deploy Your Bot here
    https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590


    Get session id here
    https://session.giftedtech.my.id/pair


    Video prepared by DUDUU_MENDEZ and verified by BOT OWNER Gifted-Md

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    https://whatsapp.com/channel/0029VacgCaPKmCPGmTmrnT04 NOW YOU CAN DEPLOY GIFTED-MD on Host Talk Drove for free and simple How to deploy Video tutorial https://youtu.be/1ODAvpW9D98?si=UKlwq3q26FZrJjAg Deploy Your Bot here https://host.talkdrove.com/auth/signup?ref=E565C590 Get session id here https://session.giftedtech.my.id/pair Video prepared by DUDUU_MENDEZ and verified by BOT OWNER Gifted-Md > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41
    DUDUU_MENDEZ TIPS | WhatsApp Channel
    whatsapp.com
    DUDUU_MENDEZ TIPS WhatsApp Channel. Get full Internet and networking tips. 51 followers
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·795 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ebenezer Sweke @Ebenezer
    2024-12-11 09:03:52 ·
    Hustles zinaumiza sana we acha watu waliojipata wavimbe maana wanastahili na pia upunguze ushauri hapa nilipogikia ndio naelewa sasa
    Hustles zinaumiza sana we acha watu waliojipata wavimbe maana wanastahili na pia upunguze ushauri hapa nilipogikia ndio naelewa sasa
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·331 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 11:59:29 ·
    Like
    Love
    8
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·222 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 11:59:46 ·
    Love
    Like
    7
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·224 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 12:00:04 ·
    Like
    Love
    9
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·225 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 12:00:36 ·
    Like
    Love
    11
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·228 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Othman Omar @Ochutheboy ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-12-11 12:12:14 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·281 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa
    2024-12-11 13:12:27 ·
    .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME.
    .
    "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae"

    "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye"

    "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon"

    "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao"
    .
    “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine"
    .
    "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “
    .
    JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME. . "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae" "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye" "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon" "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao" . “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine" . "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “ . JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    Like
    Love
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·881 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 15:18:14 ·
    RALLY BWALYA yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na PAMBA JIJI ya Mwanza akitokea Napsa Stars ya Zambia taarifa ni kuwa Maofisa wa Pamba Jiji wamesafiri kuelekea Zambia kukamilisha dili hilo huku mambo mengi ya msingi yakiwa yametimizwa na inaaminika Nyota huyo wa zamani wa Simba ataitumikia ardhi ya Sato na Sangara.

    🚨RALLY BWALYA yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na PAMBA JIJI ya Mwanza akitokea Napsa Stars ya Zambia 🇿🇲 taarifa ni kuwa Maofisa wa Pamba Jiji wamesafiri kuelekea Zambia kukamilisha dili hilo huku mambo mengi ya msingi yakiwa yametimizwa na inaaminika Nyota huyo wa zamani wa Simba ataitumikia ardhi ya Sato na Sangara.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·709 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-11 16:14:14 ·
    MSIKIE KOCHA FADLU

    “Kwa kweli, kucheza nyumbani ni faida kubwa kwetu. Tutakuwa na programu za mazoezi kwa siku chache zilizopo mbele yetu ili kuwa tayari kwa mchezo huu. Nitahakikisha mpango wetu wa kimbinu ni tofauti na ule tulioutumia kule Algeria.”

    “Nidhamu ya kulinda itakuwa sehemu muhimu ya mchezo wetu, lakini tunahitaji kuwa na mashambulizi ya haraka na kuzuia makosa tuliyofanya kwenye mchezo wa awali, Lengo ni kuhakikisha kuwa tunapata matokeo mazuri na kuweka hesabu zetu sawa katika michuano hii ya CAF.”
    #paulswai
    MSIKIE KOCHA FADLU “Kwa kweli, kucheza nyumbani ni faida kubwa kwetu. Tutakuwa na programu za mazoezi kwa siku chache zilizopo mbele yetu ili kuwa tayari kwa mchezo huu. Nitahakikisha mpango wetu wa kimbinu ni tofauti na ule tulioutumia kule Algeria.” “Nidhamu ya kulinda itakuwa sehemu muhimu ya mchezo wetu, lakini tunahitaji kuwa na mashambulizi ya haraka na kuzuia makosa tuliyofanya kwenye mchezo wa awali, Lengo ni kuhakikisha kuwa tunapata matokeo mazuri na kuweka hesabu zetu sawa katika michuano hii ya CAF.” #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·589 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19411-19420 από 25544)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1940
  • 1941
  • 1942
  • 1943
  • 1944
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers