نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-18 20:07:17 ·
    Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi.

    "BABA LEVO NI MWIZI

    Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya

    Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful

    iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh

    Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi.

    @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job)

    Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi. "BABA LEVO NI MWIZI Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi. @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job) Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Haha
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paulo Deonatus @Pdp أضاف فيديو in عام
    2024-12-19 02:09:40 ·
    Like
    2
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·436 مشاهدة ·4
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paulo Deonatus @Pdp أضاف فيديو in عام
    2024-12-19 02:11:52 ·
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·443 مشاهدة ·4
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-19 05:29:36 ·
    Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee.

    "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !!

    Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani.

    Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!!

    Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia…

    Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako).

    Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine.

    Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha.

    Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi.

    SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).

    Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee. "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !! Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani. Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!! Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia… Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako). Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine. Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha. Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi. SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 أضاف فيديو in عام
    2024-12-19 05:37:55 ·
    #neliudcosiah
    #morals
    #neliudcosiah #morals
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·305 مشاهدة ·25
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Gidion Kibona @Gaki أضاف فيديو in عام
    2024-12-19 05:45:11 ·
    Like
    3
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·376 مشاهدة ·19
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dorothy Roy @Dorothy أضاف وظيفة جديدة in الألعاب
    2024-12-19 05:47:00 ·
    डामन गेम लॉगिन: कैसे करें आसान लॉगिन और गेमिंग का आनंद
    Daman Game:      डामन गेम एक लोकप्रिय ऑनलाइन प्लेटफ़ॉर्म है, जो अद्वितीय गेमिंग अनुभव प्रदान करता है। यह उपयोगकर्ताओं को रोमांचक गेम्स खेलने और मनोरंजन के नए आयाम खोजने का मौका देता है। इस लेख में, हम आपको बताएंगे कि डामन गेम पर लॉगिन करने की प्रक्रिया क्या है और इसके साथ आने वाले लाभ क्या हैं। डामन गेम में लॉगिन करने के लिए आवश्यक कदम आधिकारिक वेबसाइट पर जाएंसबसे पहले,...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dorothy Roy @Dorothy أضاف وظيفة جديدة in الألعاب
    2024-12-19 05:50:29 ·
    डामन गेम लॉगिन: आसान प्रक्रिया और बेमिसाल गेमिंग अनुभव
    Daman Game:     डामन गेम एक ऐसा ऑनलाइन प्लेटफ़ॉर्म है, जो गेमिंग की दुनिया में अपनी अनूठी पहचान बना चुका है। यह न केवल मनोरंजन के लिए बल्कि प्रतियोगी गेमर्स के लिए भी एक पसंदीदा विकल्प है। अगर आप डामन गेम का हिस्सा बनना चाहते हैं, तो इसका लॉगिन सिस्टम बेहद सरल और उपयोगकर्ता-अनुकूल है। इस लेख में, हम आपको डामन गेम में लॉगिन प्रक्रिया और इससे मिलने वाले फायदों के बारे में...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-19 06:03:44 ·
    Matokeo ya michezo ya Jana.

    Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca

    EFL CUP

    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace
    - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford
    - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool

    LA LIGA

    - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence
    - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano

    COPPA ITALIA

    - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena
    - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria

    LIGUE 1

    - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG

    KNVB BEKER

    - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente
    - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht
    - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen
    - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣)
    - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣)
    - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue

    TACA DE PORTUGAL

    - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣)

    PSL

    - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns

    UEFA Champions League (Wanawake)

    - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City
    - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby
    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich
    - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga

    SEGUNDA DIVISION

    - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria
    - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense
    - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon

    Matokeo ya michezo ya Jana. Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 EFL CUP - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool 🇪🇸 LA LIGA - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano 🇮🇹 COPPA ITALIA - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria 🇫🇷 LIGUE 1 - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG 🇳🇱 KNVB BEKER - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣) - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣) - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue 🇵🇹 TACA DE PORTUGAL - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣) 🇿🇦 PSL - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns 🌍 UEFA Champions League (Wanawake) - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga 🇪🇸 SEGUNDA DIVISION - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto @Mefa أضاف فيديو in عام
    2024-12-19 06:16:15 ·
    Mashabiki wa Sima waipiga mkwara Yanga. Wajivunia uchawi.
    Mashabiki wa Sima waipiga mkwara Yanga. Wajivunia uchawi.
    Like
    Love
    3
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·182 مشاهدة ·19
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (19721-19730 من 28413)
  • «
  • السابق
  • 1971
  • 1972
  • 1973
  • 1974
  • 1975
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين