Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:04:16 ·
    Tell your neighbor that success come with husle
    Tell your neighbor that success come with husle
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·324 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:05:46 ·
    I tried to work without connection I feel I have a special power of Fighting from god
    I tried to work without connection I feel I have a special power of Fighting from god
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·562 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:06:31 ·
    Guess what you will succeed very soon
    Guess what you will succeed very soon
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·320 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:07:01 ·
    Believe on social pop to get easy money
    Believe on social pop to get easy money
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·598 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:07:18 ·
    Social pop forever
    Social pop forever
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·390 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • SAVERY CLEMENT @SAVE666
    2024-12-18 19:07:43 ·
    Just join with social pop
    Just join with social pop
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·392 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-18 20:07:17 ·
    Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi.

    "BABA LEVO NI MWIZI

    Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya

    Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful

    iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh

    Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi.

    @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job)

    Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi. "BABA LEVO NI MWIZI Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi. @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job) Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paulo Deonatus @Pdp πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-19 02:09:40 ·
    Like
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·317 Views ·4
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paulo Deonatus @Pdp πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-19 02:11:52 ·
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·313 Views ·4
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-19 05:29:36 ·
    Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee.

    "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !!

    Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani.

    Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!!

    Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia…

    Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako).

    Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine.

    Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha.

    Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi.

    SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).

    Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee. "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !! Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani. Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!! Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia… Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako). Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine. Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha. Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi. SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19721-19730 από 25743)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1971
  • 1972
  • 1973
  • 1974
  • 1975
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers