Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 15:41:00 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·118 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 15:41:17 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·117 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 15:41:46 ·
    Rodri akijibu kwa hasira kauli ya Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or:

    "Ni mshangao, kwa sababu anajua jinsi tuzo hii inavyofanya kazi. Mwaka huu, Waandishi wa habari waliona kuwa nilistahili kushinda. Hawa ni labda wale wale waliomchagua yeye, na wakati huo, alikuwa anakubaliana." - Rodri, Mchezaji wa klabu ya Manchester City.

    Rodri akijibu kwa hasira kauli ya Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or: "Ni mshangao, kwa sababu anajua jinsi tuzo hii inavyofanya kazi. Mwaka huu, Waandishi wa habari waliona kuwa nilistahili kushinda. Hawa ni labda wale wale waliomchagua yeye, na wakati huo, alikuwa anakubaliana." - Rodri, Mchezaji wa klabu ya Manchester City.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·131 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 15:42:18 ·
    Walinda Lango wenye idadi kubwa ya mechi ambazo wamecheza bila kuruhusu bao (kufungwa) Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.

    Walinda Lango wenye idadi kubwa ya mechi ambazo wamecheza bila kuruhusu bao (kufungwa) Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·152 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 15:44:04 ·
    Ni tetesi

    Kupitia Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji wametuma ofa ya dola laki tatu (300,000) ambazo ni zaidi ya Shilingi milioni (730) za Kitanzania pamoja Mlinda lango wao Aishi Manula kwa klabu ya Azam FC ili kumhitaji Feisal Salum "Fei Toto".

    NB : Dola laki tatu + Aishi Manula = Fei Toto?

    Ni tetesi Kupitia Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji wametuma ofa ya dola laki tatu (300,000) ambazo ni zaidi ya Shilingi milioni (730) za Kitanzania pamoja Mlinda lango wao Aishi Manula kwa klabu ya Azam FC ili kumhitaji Feisal Salum "Fei Toto". NB : Dola laki tatu + Aishi Manula = Fei Toto?
    0 Комментарии ·0 Поделились ·279 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 17:11:22 ·
    "Kiuhalisia mimi napenda sana kujichu@ kuliko kufanya mapenz! na mwanamke, kwasababu naamini ni salama zaidi lakini inaniepusha na mambo mengi"- Baba Levo, Msanii wa muziki na Mtangazaji.

    "Kiuhalisia mimi napenda sana kujichu@ kuliko kufanya mapenz! na mwanamke, kwasababu naamini ni salama zaidi lakini inaniepusha na mambo mengi"- Baba Levo, Msanii wa muziki na Mtangazaji.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·730 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 17:11:41 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·138 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 17:12:31 ·
    Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc.

    Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa zaid ya 1B kwa klabu ya Tanzania .

    Klabu yake ya zamani Yanga itapata asilimia zisizo pungua 25% kutokana na mauzo hayo iwapo itapatikana klabu ya nje ya Tanzania na Azam fc itapaswa kuilipa Yanga 1B iwapo mchezaji huyo atauzwa ndani ya Tanzania au kwenda mkopo ndani ya nchi.

    Ni kweli Kaizer chiefs wameulizia upatikanaji wa kiungo huyo lakini bado hawaja wasilisha ofa yao.
    (George Job)

    Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc. Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa zaid ya 1B kwa klabu ya Tanzania 🇹🇿. Klabu yake ya zamani Yanga itapata asilimia zisizo pungua 25% kutokana na mauzo hayo iwapo itapatikana klabu ya nje ya Tanzania na Azam fc itapaswa kuilipa Yanga 1B iwapo mchezaji huyo atauzwa ndani ya Tanzania au kwenda mkopo ndani ya nchi. Ni kweli Kaizer chiefs wameulizia upatikanaji wa kiungo huyo lakini bado hawaja wasilisha ofa yao. (George Job)
    0 Комментарии ·0 Поделились ·185 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-02 17:13:29 ·
    Klabu za Afrika zilizofunga idadi kubwa ya mabao katika Ligi Kuu zao, Makombe ya Ligi na michuano ya Afrika kwa ngazi ya klabu.

    3. Yanga SC: 102
    8. Simba SC: 82

    Klabu za Afrika zilizofunga idadi kubwa ya mabao katika Ligi Kuu zao, Makombe ya Ligi na michuano ya Afrika kwa ngazi ya klabu. 3. Yanga SC: 102 8. Simba SC: 82
    0 Комментарии ·0 Поделились ·170 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлено видео in Общий
    2025-01-02 18:21:34 ·
    Like
    Love
    5
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·312 Просмотры ·145
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (20301-20310 из 28205)
  • «
  • Назад
  • 2029
  • 2030
  • 2031
  • 2032
  • 2033
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики