0 Yorumlar
·0 hisse senetleri
·118 Views
-
-
Rodri akijibu kwa hasira kauli ya Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or:
"Ni mshangao, kwa sababu anajua jinsi tuzo hii inavyofanya kazi. Mwaka huu, Waandishi wa habari waliona kuwa nilistahili kushinda. Hawa ni labda wale wale waliomchagua yeye, na wakati huo, alikuwa anakubaliana." - Rodri, Mchezaji wa klabu ya Manchester City.
Rodri akijibu kwa hasira kauli ya Cristiano Ronaldo kuhusu Ballon d'Or: "Ni mshangao, kwa sababu anajua jinsi tuzo hii inavyofanya kazi. Mwaka huu, Waandishi wa habari waliona kuwa nilistahili kushinda. Hawa ni labda wale wale waliomchagua yeye, na wakati huo, alikuwa anakubaliana." - Rodri, Mchezaji wa klabu ya Manchester City.0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·131 Views -
0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·152 Views
-
Ni tetesi
Kupitia Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji wametuma ofa ya dola laki tatu (300,000) ambazo ni zaidi ya Shilingi milioni (730) za Kitanzania pamoja Mlinda lango wao Aishi Manula kwa klabu ya Azam FC ili kumhitaji Feisal Salum "Fei Toto".
NB : Dola laki tatu + Aishi Manula = Fei Toto?
Ni tetesi Kupitia Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji wametuma ofa ya dola laki tatu (300,000) ambazo ni zaidi ya Shilingi milioni (730) za Kitanzania pamoja Mlinda lango wao Aishi Manula kwa klabu ya Azam FC ili kumhitaji Feisal Salum "Fei Toto". NB : Dola laki tatu + Aishi Manula = Fei Toto?0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·279 Views -
"Kiuhalisia mimi napenda sana kujichu@ kuliko kufanya mapenz! na mwanamke, kwasababu naamini ni salama zaidi lakini inaniepusha na mambo mengi"- Baba Levo, Msanii wa muziki na Mtangazaji.
"Kiuhalisia mimi napenda sana kujichu@ kuliko kufanya mapenz! na mwanamke, kwasababu naamini ni salama zaidi lakini inaniepusha na mambo mengi"- Baba Levo, Msanii wa muziki na Mtangazaji.0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·730 Views -
-
Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc.
Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa zaid ya 1B kwa klabu ya Tanzania .
Klabu yake ya zamani Yanga itapata asilimia zisizo pungua 25% kutokana na mauzo hayo iwapo itapatikana klabu ya nje ya Tanzania na Azam fc itapaswa kuilipa Yanga 1B iwapo mchezaji huyo atauzwa ndani ya Tanzania au kwenda mkopo ndani ya nchi.
Ni kweli Kaizer chiefs wameulizia upatikanaji wa kiungo huyo lakini bado hawaja wasilisha ofa yao.
(George Job)
Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc. Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa zaid ya 1B kwa klabu ya Tanzania 🇹🇿. Klabu yake ya zamani Yanga itapata asilimia zisizo pungua 25% kutokana na mauzo hayo iwapo itapatikana klabu ya nje ya Tanzania na Azam fc itapaswa kuilipa Yanga 1B iwapo mchezaji huyo atauzwa ndani ya Tanzania au kwenda mkopo ndani ya nchi. Ni kweli Kaizer chiefs wameulizia upatikanaji wa kiungo huyo lakini bado hawaja wasilisha ofa yao. (George Job)0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·185 Views -
Klabu za Afrika zilizofunga idadi kubwa ya mabao katika Ligi Kuu zao, Makombe ya Ligi na michuano ya Afrika kwa ngazi ya klabu.
3. Yanga SC: 102
8. Simba SC: 82
Klabu za Afrika zilizofunga idadi kubwa ya mabao katika Ligi Kuu zao, Makombe ya Ligi na michuano ya Afrika kwa ngazi ya klabu. 3. Yanga SC: 102 8. Simba SC: 820 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·170 Views -