• Hii inaitwaje?
    Hii inaitwaje?
    Haha
    1
    3 Commenti 0 condivisioni 214 Views
  • Timu imerejea Tayari kwa Simba Day
    Timu imerejea Tayari kwa Simba Day 🔥🔥🔥
    Like
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 189 Views
  • Huyu ni mwana yanga
    Huyu ni mwana yanga😀
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 116 Views
  • UBAYA UBWELA Breaking News!

    Leo saa 11:30 jioni.

    Taarifa zaidi tumia Simba App #WenyeNchi #NguvuMoja
    UBAYA UBWELA Breaking News! Leo saa 11:30 jioni. Taarifa zaidi tumia Simba App #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    Love
    4
    2 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • Tiketi za UBAYA UBWELA zimekwisha.
    #paulswai
    Tiketi za UBAYA UBWELA zimekwisha. #paulswai
    Like
    2
    2 Commenti 0 condivisioni 122 Views
  • Hii kweli ni UBAYA UBWELA
    Hii kweli ni UBAYA UBWELA
    Like
    2
    2 Commenti 0 condivisioni 105 Views
  • WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA.

    "MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice!

    "...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA!

    "..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO"

    "..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo"

    ..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba!

    Mwenye Masikio na Asikie!
    *-MUNGU KWANZA-*
    WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA. "MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice! "...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA! "..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO" "..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo" ..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba! Mwenye Masikio na Asikie! *-MUNGU KWANZA-*
    0 Commenti 0 condivisioni 986 Views
  • Haha
    3
    0 Commenti 0 condivisioni 226 Views
  • 3 Commenti 0 condivisioni 220 Views
  • MPENDWA KABLA HUJALALA

    Daima uwe na shukrani kwa sababu Mungu anaweza kugeuza ghafla kwa niaba yako. Hata katika mapambano yako makubwa zaidi, mshukuru kwa sababu anajua kabisa kwa nini anaruhusu mapambano hayo yaje kwa njia yako. Unapokumbana na vizuizi zaidi katika safari yako, inamaanisha kuwa mafanikio yako yamekaribia sana. Usikate tamaa, Mungu atakufungulia milango mikubwa zaidi! Unapopigana vita hivyo kwa maombi, ushindi unakuwa ni uhakika. Mwambie yote juu yake, atakupa nguvu unayohitaji kushinda maumivu. Mungu akutumie muujiza utakaofuta kabisa wasiwasi na hofu zako zote.
    MPENDWA KABLA HUJALALA Daima uwe na shukrani kwa sababu Mungu anaweza kugeuza ghafla kwa niaba yako. Hata katika mapambano yako makubwa zaidi, mshukuru kwa sababu anajua kabisa kwa nini anaruhusu mapambano hayo yaje kwa njia yako. Unapokumbana na vizuizi zaidi katika safari yako, inamaanisha kuwa mafanikio yako yamekaribia sana. Usikate tamaa, Mungu atakufungulia milango mikubwa zaidi! Unapopigana vita hivyo kwa maombi, ushindi unakuwa ni uhakika. Mwambie yote juu yake, atakupa nguvu unayohitaji kushinda maumivu. Mungu akutumie muujiza utakaofuta kabisa wasiwasi na hofu zako zote.
    Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 522 Views