• 0 Commentaires ·0 Parts ·140 Vue
  • Mwigizaji wa mrefu Tanzania, Jacqueline Wolper ametangaza rasmi kuachana na aliyekuwa Mumewe.

    "Hellow Mashabiki zangu, marafiki na Watanzania wote mnao nitakia mema.

    Ni kwa masikitiko mengi sana mmekuwa mkinitumia message, links, na Clips mbalimbali, huku mkinishauri, kuniombea na kunitia moyo. Nimepokea msg zenu zote kwa moyo wa Shukrani sana. Na Mungu awabariki wote mnao nitakia mema, na hata wale wenye nia tofauti na njema pia mbarikiwe.

    Lakini naomba niwatoe wasiwasi na mashaka juu ya furaha na amani ya moyo wangu. Mimi na mzazi mwenzangu Rich (Baba P) hatupo pamoja (TUMEACHANA). Nipo kwenye process za Divorce/Talaka. Hivyo, mashauri yote na huruma juu ya mambo yanayo endelea na mzazi mwenzangu, msiyalete kwangu tena. Ni mtu ambae yupo huru kufanya chochote kinacho mpendeza.

    Na hii niseme tu si kwa ubaya haijalishi mtalipokeaje wengine lakini maisha halisi ya ndoa yangu nayajua mimi na mwenzangu kwahiyo tutabaki kuheshimiana kama wazazi na kulea watoto wetu lakini swala la mahusiano ya ndoa hilo halipo!

    Nawapenda sana nashukuru kwa msg zenu nyingi za kunitia moyo kutokana na mambo mnayoyaona huko lakini niwaambie tu mimi nipo sawa na muache kunihusisha na mambo yanayoendelea kwa mzazi mwenzangu kwasababu hayanihusu na nisingependa kuongelea hayo 🙏🏾🙏🏾" ameandika Wolper.

    Mwigizaji wa mrefu Tanzania, Jacqueline Wolper ametangaza rasmi kuachana na aliyekuwa Mumewe. "Hellow Mashabiki zangu, marafiki na Watanzania wote mnao nitakia mema. Ni kwa masikitiko mengi sana mmekuwa mkinitumia message, links, na Clips mbalimbali, huku mkinishauri, kuniombea na kunitia moyo. Nimepokea msg zenu zote kwa moyo wa Shukrani sana. Na Mungu awabariki wote mnao nitakia mema, na hata wale wenye nia tofauti na njema pia mbarikiwe. Lakini naomba niwatoe wasiwasi na mashaka juu ya furaha na amani ya moyo wangu. Mimi na mzazi mwenzangu Rich (Baba P) hatupo pamoja (TUMEACHANA). Nipo kwenye process za Divorce/Talaka. Hivyo, mashauri yote na huruma juu ya mambo yanayo endelea na mzazi mwenzangu, msiyalete kwangu tena. Ni mtu ambae yupo huru kufanya chochote kinacho mpendeza. Na hii niseme tu si kwa ubaya haijalishi mtalipokeaje wengine lakini maisha halisi ya ndoa yangu nayajua mimi na mwenzangu kwahiyo tutabaki kuheshimiana kama wazazi na kulea watoto wetu lakini swala la mahusiano ya ndoa hilo halipo! Nawapenda sana nashukuru kwa msg zenu nyingi za kunitia moyo kutokana na mambo mnayoyaona huko lakini niwaambie tu mimi nipo sawa na muache kunihusisha na mambo yanayoendelea kwa mzazi mwenzangu kwasababu hayanihusu na nisingependa kuongelea hayo 🙏🏾🙏🏾" ameandika Wolper.
    Wow
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·148 Vue
  • FT: SFAXIEN 0-1 SIMBA SC
    ⚽️ Ahoua
    Ateba

    HII NDIO SIMBA #TotalEnergiesCAFCC


    #paulswai
    FT: 🇹🇳 SFAXIEN 0-1 SIMBA SC 🇹🇿 ⚽️ Ahoua 🎯 Ateba HII NDIO SIMBA 🦁 #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
    Wow
    Love
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·998 Vue
  • Hello guys
    Hello guys
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·396 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·308 Vue
  • Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·583 Vue
  • Unamkumbuka ni mchezaji gani huyu?
    Unamkumbuka ni mchezaji gani huyu?
    Like
    Love
    6
    · 3 Commentaires ·0 Parts ·283 Vue
  • Hii ilikuwa mechi nyingine kali ya uwanja. Kibwana bs Kabwit
    Hii ilikuwa mechi nyingine kali ya uwanja. Kibwana bs Kabwit
    Love
    Like
    Haha
    Yay
    7
    · 3 Commentaires ·0 Parts ·535 Vue
  • Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·316 Vue