• 0 Comments ·0 Shares ·139 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·139 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·140 Views
  • Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪 natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemuhukumu kifungo cha miezi sita Rajabu Reli (22), mkazi wa Sengerema baada ya kukutwa na hatia ya kuvaa sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bila ruhusa.

    Hata hivyo, mshtakiwa alipopewa nafasi ya kujitetetea kwanini asipewe adhabu; aliomba mahakama hiyo imuachie huru kwa kuwa ni mkosaji wa mara ya kwanza na alivaa ili akubaliwe na mchumba wake.

    Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemuhukumu kifungo cha miezi sita Rajabu Reli (22), mkazi wa Sengerema baada ya kukutwa na hatia ya kuvaa sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bila ruhusa. Hata hivyo, mshtakiwa alipopewa nafasi ya kujitetetea kwanini asipewe adhabu; aliomba mahakama hiyo imuachie huru kwa kuwa ni mkosaji wa mara ya kwanza na alivaa ili akubaliwe na mchumba wake.
    Like
    1
    · 2 Comments ·0 Shares ·814 Views
  • Like
    Love
    Haha
    Wow
    7
    · 3 Comments ·0 Shares ·298 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·145 Views
  • *Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*

    *Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*
    0 Comments ·0 Shares ·792 Views
  • 1. Mwanamama huyo kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa klabu ya Nottingham Forest, anaitwa Lina Souloulou ambaye ni Rais wa Ugiriki .

    - Nottingham 2025: Nafasi ya tatu (3) katika Ligi Kuu ya England (EPL).

    2. Picha ya kulia ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa Simba SC, Bi Zubeda Hassan Sakuru, Mtanzania .

    - Simba SC 25: Nafasi ya kwanza (1) Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Mvano: Ni wakati sasa ya kuwapa nafasi za kutosha uongozini hawa Viumbe .

    1. Mwanamama huyo kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa klabu ya Nottingham Forest, anaitwa Lina Souloulou ambaye ni Rais wa Ugiriki 🇬🇷 . - Nottingham 2025: Nafasi ya tatu (3) katika Ligi Kuu ya England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (EPL). 2. Picha ya kulia ni Mkurugenzi Mtendaji (CEO) wa Simba SC, Bi Zubeda Hassan Sakuru, Mtanzania 🇹🇿. - Simba SC 25: Nafasi ya kwanza (1) Ligi Kuu Tanzania Bara. Mvano: Ni wakati sasa ya kuwapa nafasi za kutosha uongozini hawa Viumbe 🙌.
    0 Comments ·0 Shares ·639 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·279 Views