• Cassowary anaitwa ,Ni jamii ya Ndege wanaopatikana Australia, ni ndege hatari zaidi Duniani ,muone hapo kama mzembe mzembe tu,

    Sifa za huyu ndege yeye akihisi hatari yaani akikuhisi unataka kumuua, anaruka juu anakuvamia na shambulio lake ni kama umepigwa na silaha hizi za kisasa kama AK47 na majeraha yake lazima ufe , yeye anapokuvamia huvaa mask anayo yake ya asili , Kifupi huyu ndege huitwa Muuaji wa watu.

    Mbaya kuliko zote huyu nyama yake utachemsha mawe yakaiva nyama ya huyu bado haijaiva..

    Share
    Cassowary anaitwa ,Ni jamii ya Ndege wanaopatikana Australia, ni ndege hatari zaidi Duniani ,muone hapo kama mzembe mzembe tu, Sifa za huyu ndege yeye akihisi hatari yaani akikuhisi unataka kumuua, anaruka juu anakuvamia na shambulio lake ni kama umepigwa na silaha hizi za kisasa kama AK47 na majeraha yake lazima ufe , yeye anapokuvamia huvaa mask anayo yake ya asili , Kifupi huyu ndege huitwa Muuaji wa watu. Mbaya kuliko zote huyu nyama yake utachemsha mawe yakaiva nyama ya huyu bado haijaiva.. Share
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·788 Vue
  • #JEWAJUA
    Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 )

    Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga.

    Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    #JEWAJUA Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 ) Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga. Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·824 Vue
  • Yanga African
    Yanga African
    Love
    Sad
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·332 Vue ·21
  • 🔥🔥🔥🙏🔥🔥
    Love
    Sad
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·330 Vue ·19
  • Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?
    Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·383 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·267 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·128 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·127 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·129 Vue
  • Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪 natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue