Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-01-08 09:07:12 ·
    Cassowary anaitwa ,Ni jamii ya Ndege wanaopatikana Australia, ni ndege hatari zaidi Duniani ,muone hapo kama mzembe mzembe tu,

    Sifa za huyu ndege yeye akihisi hatari yaani akikuhisi unataka kumuua, anaruka juu anakuvamia na shambulio lake ni kama umepigwa na silaha hizi za kisasa kama AK47 na majeraha yake lazima ufe , yeye anapokuvamia huvaa mask anayo yake ya asili , Kifupi huyu ndege huitwa Muuaji wa watu.

    Mbaya kuliko zote huyu nyama yake utachemsha mawe yakaiva nyama ya huyu bado haijaiva..

    Share
    Cassowary anaitwa ,Ni jamii ya Ndege wanaopatikana Australia, ni ndege hatari zaidi Duniani ,muone hapo kama mzembe mzembe tu, Sifa za huyu ndege yeye akihisi hatari yaani akikuhisi unataka kumuua, anaruka juu anakuvamia na shambulio lake ni kama umepigwa na silaha hizi za kisasa kama AK47 na majeraha yake lazima ufe , yeye anapokuvamia huvaa mask anayo yake ya asili , Kifupi huyu ndege huitwa Muuaji wa watu. Mbaya kuliko zote huyu nyama yake utachemsha mawe yakaiva nyama ya huyu bado haijaiva.. Share
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·788 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-01-08 09:08:40 ·
    #JEWAJUA
    Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 )

    Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga.

    Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    #JEWAJUA Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 ) Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga. Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·824 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Hamisi Maege @Maege a adăugat un videoclip in General
    2025-01-08 09:27:20 ·
    Yanga African
    Yanga African
    Love
    Sad
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·332 Views ·21
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Hamisi Maege @Maege a adăugat un videoclip in General
    2025-01-08 09:29:20 ·
    🔥🔥🔥🙏🔥🔥
    Love
    Sad
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·330 Views ·19
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Syaga James @SyagaJames
    2025-01-08 12:23:34 ·
    Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?
    Kauli gani ulishawahi kuambiwa na mtu unayempenda na ikakuumiza?
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·383 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Meddy Genie @Meddy updated the profile picture
    2025-01-08 13:02:24 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·267 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-08 13:08:59 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·128 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-08 13:09:13 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·127 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-08 13:09:26 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·129 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Syaga James @SyagaJames
    2025-01-08 14:09:47 ·
    Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Hujambo kaka...Mie jina langu Mike kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪 natafuta mchumba kwa mahusiano ambayo yatatuelekeza kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 30 hivi awe na umri sawa na wangu au awe mdogo kwangu.Nambari yangu ya whatsapp ni +254713168463.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (20541-20550 de 26491)
  • «
  • Anterior
  • 2053
  • 2054
  • 2055
  • 2056
  • 2057
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers