• Watafiti wa maswala ya paranormal ability wamekuwa wakiuliza maswali haya. "Vipi kama hayo maisha unayo ishi sio maisha halisi ?, Vipi kama hapo ulipo upo kwenye coma/ umepoteza fahamu na haya yote unayo yafanya ,unayafanya katika hali ya ndoto?

    Pengine zile sauti unazo ziskia muda mwingine zina kuita jina lako lakini ukijaribu kuangalia huoni mtu anae kuita, yawezekana ni kweli watu wana jaribu kukuamsha kwa kukuita katika maisha halisi kwasababu hapo upo kwenye coma.

    Pia wanaamini ndio maana baadhi ya watu hawana kumbu kumbu ya maisha yao ya hapo kabla kwa ufasaha kwasababu hawapo katika maisha halisi.

    Lakini hii sio kwa kila mtu wao wanaamini baadhi ya watu pengine wanapitia hali hiyo.

    Lakini maswali yao yamekuwa yakipangwa na watu ...!!
    Watafiti wa maswala ya paranormal ability wamekuwa wakiuliza maswali haya. "Vipi kama hayo maisha unayo ishi sio maisha halisi ?, Vipi kama hapo ulipo upo kwenye coma/ umepoteza fahamu na haya yote unayo yafanya ,unayafanya katika hali ya ndoto? Pengine zile sauti unazo ziskia muda mwingine zina kuita jina lako lakini ukijaribu kuangalia huoni mtu anae kuita, yawezekana ni kweli watu wana jaribu kukuamsha kwa kukuita katika maisha halisi kwasababu hapo upo kwenye coma. Pia wanaamini ndio maana baadhi ya watu hawana kumbu kumbu ya maisha yao ya hapo kabla kwa ufasaha kwasababu hawapo katika maisha halisi. Lakini hii sio kwa kila mtu wao wanaamini baadhi ya watu pengine wanapitia hali hiyo. Lakini maswali yao yamekuwa yakipangwa na watu ...!! ⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·208 Views
  • MFAHAMU KWA UFUPI

    Anaitwa Martin Cooper, amezaliwa 26 Dec 1928, huko Schaumburg Illinois Chicago, USA. Elimu yake ni PhD in Electrical Engineering.

    Anafahamika kama baba wa simu za mkononi (founder of the handheld mobile phone).

    Ni mtu wa kwanza kutengeneza na kutumia simu ya mkononi isyotumia waya (wireless) katika kampuni ya simu na vifaa vya umeme Motorola huko Schaumburg Illinois Chicago US. 1973. Yeye ndiye chanzo cha kutokea kwa simu hizi akishirikiana na engineer mwenzie John F. Mitchell.

    Simu ya kwanza ilikuwa na uzito wa 2 kgms, chaji ilidumu kwa nusu SAA tu na kuichaji mpaka ijae ni masaa 12.

    Bila yeye tusingekuwa na simu. Neno moja kwake.
    MFAHAMU KWA UFUPI Anaitwa Martin Cooper, amezaliwa 26 Dec 1928, huko Schaumburg Illinois Chicago, USA. Elimu yake ni PhD in Electrical Engineering. Anafahamika kama baba wa simu za mkononi (founder of the handheld mobile phone). Ni mtu wa kwanza kutengeneza na kutumia simu ya mkononi isyotumia waya (wireless) katika kampuni ya simu na vifaa vya umeme Motorola huko Schaumburg Illinois Chicago US. 1973. Yeye ndiye chanzo cha kutokea kwa simu hizi akishirikiana na engineer mwenzie John F. Mitchell. Simu ya kwanza ilikuwa na uzito wa 2 kgms, chaji ilidumu kwa nusu SAA tu na kuichaji mpaka ijae ni masaa 12. Bila yeye tusingekuwa na simu. Neno moja kwake.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·837 Views
  • HUMAN CLONING.

    PART 1; "njia zinazotumika kutengeneza mtu copy (human cloning)"
    Kama nilivyo eleza kwa ujumla kuhusu "human cloning" katika makala iliyo pita ,ambapo nilisema "human clone" nikitendo cha kuchukua cells,tissue na jens(DNA) ya mtu fulani na kutenge neza mtu mwingine ambae atakuwa anafanana na yule wa mwanzo katika maabara. sasa leo tuangalie makala hii inayo husu aina/njia zinazotumika katika "human cloning"(kumtengeneza mtu feki). REPLICA HUMAN CLONING,
    hii ni aina/njia ya human clone ambayo ,hutengeneza mtu kwa kutoa nakala halisi ya yule wa mwanzo..replical cloning imekuwa ndo njia kuu na rahis ambayo inatumika sana na vikundi vya siri kama illuminant/freemason katika kutengeneza watu feki kwasababu huwa inachukua mda mfupi mpaka kukamilika..na replical cloning ya kwanza ili fanyika mwaka 1979,ambayo inadaiwa kuwa ya billionaire max. Replica clone ,hii ina tumika kwa mtu yeyote yani alie hai na aliye kufa,ambapo hii wanamchukua mtu husika katika maabara kwa ajili ya kumclone/copy iwe ni hai au amekufa, kisha wana muweka kwenye mashine special ambazo zime unganishwa moja kwa moja na computer,ambapo hiyo computer inatumika kuchukua record zote za huyo mtu.mfano, urefu,unene,size ya kila kiungo,mwonekano na kumbukumbu zote kupitia ubongo kisha wana zi hifadhi kwenye computer,kisha badae wana mfanyia replication kupitia zile record zake zote ambapo ata tengenezwa mfano wa mtu kama yeye kupitia mashine ,lakin huyo mtu mpya anakuwa kama toy tu hafanyi chochote.Bada ya hapo ,wanachukua cell,tissue na jens(DNA)za yule halisi kisha wana muwekea yule copy then wana mweka kwenye zile cloning tank,ambazo zinakuwa na material yote yanoyo kupatia uhai,ikiwemo soul intallation ,wana kupa kumbukumbu za yule wa mwanzo ambazo walikuwa wame zi hifadhi kwenye computer..
    Replical clone imetumika kwa watu weng mfano..EMINEM,TYRO SWIFT,BEYONCE,MIREY CRUZY,BI HILARY CLITON,THE GAME,DR DRE,BRIGHTNEY SPEAR,GUCC MANE.. n.k .....ITAENDELEA USIKOSE....
    HUMAN CLONING. PART 1; "njia zinazotumika kutengeneza mtu copy (human cloning)" 👉Kama nilivyo eleza kwa ujumla kuhusu "human cloning" katika makala iliyo pita ,ambapo nilisema "human clone" nikitendo cha kuchukua cells,tissue na jens(DNA) ya mtu fulani na kutenge neza mtu mwingine ambae atakuwa anafanana na yule wa mwanzo katika maabara. 👉sasa leo tuangalie makala hii inayo husu aina/njia zinazotumika katika "human cloning"(kumtengeneza mtu feki). 👉REPLICA HUMAN CLONING, hii ni aina/njia ya human clone ambayo ,hutengeneza mtu kwa kutoa nakala halisi ya yule wa mwanzo..replical cloning imekuwa ndo njia kuu na rahis ambayo inatumika sana na vikundi vya siri kama illuminant/freemason katika kutengeneza watu feki kwasababu huwa inachukua mda mfupi mpaka kukamilika..na replical cloning ya kwanza ili fanyika mwaka 1979,ambayo inadaiwa kuwa ya billionaire max. 👉Replica clone ,hii ina tumika kwa mtu yeyote yani alie hai na aliye kufa,ambapo hii wanamchukua mtu husika katika maabara kwa ajili ya kumclone/copy iwe ni hai au amekufa, kisha wana muweka kwenye mashine special ambazo zime unganishwa moja kwa moja na computer,ambapo hiyo computer inatumika kuchukua record zote za huyo mtu.mfano, urefu,unene,size ya kila kiungo,mwonekano na kumbukumbu zote kupitia ubongo kisha wana zi hifadhi kwenye computer,kisha badae wana mfanyia replication kupitia zile record zake zote ambapo ata tengenezwa mfano wa mtu kama yeye kupitia mashine ,lakin huyo mtu mpya anakuwa kama toy tu hafanyi chochote.Bada ya hapo ,wanachukua cell,tissue na jens(DNA)za yule halisi kisha wana muwekea yule copy then wana mweka kwenye zile cloning tank,ambazo zinakuwa na material yote yanoyo kupatia uhai,ikiwemo soul intallation ,wana kupa kumbukumbu za yule wa mwanzo ambazo walikuwa wame zi hifadhi kwenye computer.. 👉Replical clone imetumika kwa watu weng mfano..EMINEM,TYRO SWIFT,BEYONCE,MIREY CRUZY,BI HILARY CLITON,THE GAME,DR DRE,BRIGHTNEY SPEAR,GUCC MANE.. n.k .....ITAENDELEA USIKOSE....
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·993 Views
  • PART 2: Aina ya "human cloning" (kutengeneza copy ya mtu/mtu fake)
    kama nilivyo eleza katika makala iliyo pita kuwa kuna watu ambao ni copy/fake,niki manisha wametengenezwa baada ya mtu halisi/husika kufa ili kuziba pengo la yule alie kufa. REPRODUCTIVE HUMAN CLONING.
    Hii ni aina nyingine ya clone/copy ya mtu,ambapo katika aina hii huchukuliwa nuclear kutoka kwenye cell ya mtu husika kisha ile nuclear wanaenda kuipandikiza katika yai la mwanamke ambapo lile yai pia hutolewa nuclear yake ,na kuwekwa hiyo ya kupandikiza.

    Wakisha fanya hivyo ndipo bada ya kipind fulani lile yai lita kuwa na kujitengeneza kuwa embryo,ambapo sasa iyo embroy/kijusi ikisha jitengeneza ,wana ihamisha na kuipeleka kwenye tanki ambazo ndani yake zimetengenezwa katika mfumo wa mfuko wa uzai wa mwanamke(placenta),kisha kuikuza ile embryo kupitia hatua zote za ukuaji wa mtoto ndani ya placenta ambapo ata pita hatua zote kutoka kichanga,mtoto,mpaka kufika stage ya yule mtu husika/ambaye amefanyiwa clone hapo sasa atakuwa tayari kasha tengenezwa upya ..lakini hii aina ya cloning ni ngumu sana kwasababu ina hitaji mda mpaka kukamilika ,kwasababu huyo clone anakuwa anapitia stage zote ambazo binadamu hupitia ..tofauti na human replical cloning ambayo huchukua mdamchache sana ..na hii reproductive ya kwanza ili fanyika mwaka 2000 lakin inasemekana hawakufanikiwa kutengeneza uyo mtu..ndipo badae umoja wa mataifa( UN) ulipo piga marufuku ...lakini vikundi vya siri kama illuminant/freemason viliendelea na vina zalisha watu wao kwa siri .. ROBOTOID CLONING..
    hii ni aina nyingine ya kutengeneza clone/copy ya binadamu,ambayo kiuhalisia huyo clone/copy anakuwa nikama roboti tu yani hana uhai, pia hawezi kuwa na sifa zote zakuwa binadamu kama pumzi,roho(soul),n.k.Kwasababu anakuwa ni wakutengenezwa kupitia machines(mfano robot sofia kama mna mfahamu),na hii aina ya clone(robotoid clone) hii imeruhusiwa/halalishwa na umoja wa mataifa kwasababu sio haramu.. zipo pia move nyingi ambaozo zimeelezea mfano wa jins robotoid clone inavyo kuwepo kama vile PREDATOR ni movies ya Anord Shawazniger ambapo palikuwa na anord wa wili mmoja ni halisi ,mwingine alikuwa kama robot hivi Nazani mpo mnao ikumbuka hiyo move.. ..
    PART 2: Aina ya "human cloning" (kutengeneza copy ya mtu/mtu fake) 👉kama nilivyo eleza katika makala iliyo pita kuwa kuna watu ambao ni copy/fake,niki manisha wametengenezwa baada ya mtu halisi/husika kufa ili kuziba pengo la yule alie kufa. REPRODUCTIVE HUMAN CLONING. Hii ni aina nyingine ya clone/copy ya mtu,ambapo katika aina hii huchukuliwa nuclear kutoka kwenye cell ya mtu husika kisha ile nuclear wanaenda kuipandikiza katika yai la mwanamke ambapo lile yai pia hutolewa nuclear yake ,na kuwekwa hiyo ya kupandikiza. Wakisha fanya hivyo ndipo bada ya kipind fulani lile yai lita kuwa na kujitengeneza kuwa embryo,ambapo sasa iyo embroy/kijusi ikisha jitengeneza ,wana ihamisha na kuipeleka kwenye tanki ambazo ndani yake zimetengenezwa katika mfumo wa mfuko wa uzai wa mwanamke(placenta),kisha kuikuza ile embryo kupitia hatua zote za ukuaji wa mtoto ndani ya placenta ambapo ata pita hatua zote kutoka kichanga,mtoto,mpaka kufika stage ya yule mtu husika/ambaye amefanyiwa clone hapo sasa atakuwa tayari kasha tengenezwa upya ..lakini hii aina ya cloning ni ngumu sana kwasababu ina hitaji mda mpaka kukamilika ,kwasababu huyo clone anakuwa anapitia stage zote ambazo binadamu hupitia ..tofauti na human replical cloning ambayo huchukua mdamchache sana ..na hii reproductive ya kwanza ili fanyika mwaka 2000 lakin inasemekana hawakufanikiwa kutengeneza uyo mtu..ndipo badae umoja wa mataifa( UN) ulipo piga marufuku ...lakini vikundi vya siri kama illuminant/freemason viliendelea na vina zalisha watu wao kwa siri .. 👉ROBOTOID CLONING.. hii ni aina nyingine ya kutengeneza clone/copy ya binadamu,ambayo kiuhalisia huyo clone/copy anakuwa nikama roboti tu yani hana uhai, pia hawezi kuwa na sifa zote zakuwa binadamu kama pumzi,roho(soul),n.k.Kwasababu anakuwa ni wakutengenezwa kupitia machines(mfano robot sofia kama mna mfahamu),na hii aina ya clone(robotoid clone) hii imeruhusiwa/halalishwa na umoja wa mataifa kwasababu sio haramu.. zipo pia move nyingi ambaozo zimeelezea mfano wa jins robotoid clone inavyo kuwepo kama vile PREDATOR ni movies ya Anord Shawazniger ambapo palikuwa na anord wa wili mmoja ni halisi ,mwingine alikuwa kama robot hivi Nazani mpo mnao ikumbuka hiyo move.. ..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • UJUE MWAKA WA KIISLAMU .......

    Kwa waislamu leo ni tar 15/2/1441

    Mwaka wa kiislamu una siku 354 au 355 na una miezi 12....na miezi yao hutegemea kuandama kwa mwezi

    Mwezi wa kiislam hujumuisha kati ya siku 29 au 30

    Na siku ya kiislam huanza na kuisha baada ya jua kuzama...yaan jua linapozama ndio siku ya waislam huanza na jua linapozama ndio siku ya waislam huisha

    Kwa wiki kuna siku 7..

    Mwaka wa kiislam ulianza kuhesabiwa baada ya mtume Muhammad kufanya HIJJRA yaani kuhama kutoka mji aliozaliwa MAKA kwenda mji wa MADINA

    yaan mtume muhamad alizaliwa MAKA na ndiko alipopewa utume ila kutokana na kutokubalika kwa maneno yake ndio akaamriwa kuhama kutoka MAKA kwenda mji wa MADINA na ndio hapo mwaka wa kiisalm ulipoanza kuhesabiwa hadi leo ni mwaka 1441

    Haya ndio majina ya miezi ya kiislam

    MUHARRAM - mwezi wa kwanza

    SAFAR - mwezi wa pili

    RABI- AL -AWWAL - mwezi wa tatu

    RABI AL -THANI -mwezi wa 4

    JUMADA AL-ULLA -mwezi wa 5

    JUMADA AL AKHIRA- mwezi wa 6

    RAJAB -mwezi wa 7

    SHABAN- mwezi wa 8

    RAMADHAN - mwezi wa 9

    SHAWWAL - mwezi wa 10

    ZULQIDDAH - mwezi wa 11

    ZULHIJJAH - Mwezi wa 12
    UJUE MWAKA WA KIISLAMU ....... Kwa waislamu leo ni tar 15/2/1441 Mwaka wa kiislamu una siku 354 au 355 na una miezi 12....na miezi yao hutegemea kuandama kwa mwezi Mwezi wa kiislam hujumuisha kati ya siku 29 au 30 Na siku ya kiislam huanza na kuisha baada ya jua kuzama...yaan jua linapozama ndio siku ya waislam huanza na jua linapozama ndio siku ya waislam huisha Kwa wiki kuna siku 7.. Mwaka wa kiislam ulianza kuhesabiwa baada ya mtume Muhammad kufanya HIJJRA yaani kuhama kutoka mji aliozaliwa MAKA kwenda mji wa MADINA yaan mtume muhamad alizaliwa MAKA na ndiko alipopewa utume ila kutokana na kutokubalika kwa maneno yake ndio akaamriwa kuhama kutoka MAKA kwenda mji wa MADINA na ndio hapo mwaka wa kiisalm ulipoanza kuhesabiwa hadi leo ni mwaka 1441 Haya ndio majina ya miezi ya kiislam MUHARRAM - mwezi wa kwanza SAFAR - mwezi wa pili RABI- AL -AWWAL - mwezi wa tatu RABI AL -THANI -mwezi wa 4 JUMADA AL-ULLA -mwezi wa 5 JUMADA AL AKHIRA- mwezi wa 6 RAJAB -mwezi wa 7 SHABAN- mwezi wa 8 RAMADHAN - mwezi wa 9 SHAWWAL - mwezi wa 10 ZULQIDDAH - mwezi wa 11 ZULHIJJAH - Mwezi wa 12
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·224 Views
  • Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni asali,yeye hupanda juu ya mzinga wa asali na kuujambia, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kula. Mwili wake una ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea

    Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike

    Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.

    Nyegere ndio mmoja kati ya "fearless animal" duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda,anasaidiwa na ngozi yake ngumu na kucha zake, awapo katika hatari ya kushambuliwa hukakamaa na ngozi yake kuwa ngumu kama "defensive mechanism" yake.

    Kuna makabila ambayo waganga wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa Nyegere kutengenezea limbwata,Yaani wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere.

    Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana binadamu wanaume,mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano, huona wivu kuwa utamtamani jike,hivyo hukimbilia kumvamia mwanaume sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake.

    Nyegere hula nyoka wa aina yoyote,ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi.

    Ogopa sana kukutana na mnyama mwenye wivu Nyegere...

    Share tafadhali
    Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni asali,yeye hupanda juu ya mzinga wa asali na kuujambia, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kula. Mwili wake una ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii. Nyegere ndio mmoja kati ya "fearless animal" duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda,anasaidiwa na ngozi yake ngumu na kucha zake, awapo katika hatari ya kushambuliwa hukakamaa na ngozi yake kuwa ngumu kama "defensive mechanism" yake. Kuna makabila ambayo waganga wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa Nyegere kutengenezea limbwata,Yaani wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere. Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana binadamu wanaume,mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano, huona wivu kuwa utamtamani jike,hivyo hukimbilia kumvamia mwanaume sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake. Nyegere hula nyoka wa aina yoyote,ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi. Ogopa sana kukutana na mnyama mwenye wivu Nyegere... Share tafadhali
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • VITA FUPI.

    Je unaifahamu vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea duniani?.

    Kama hufahamu, basi leo inabidi ujue kwamba miaka 122 iliyopita, kulitokea vita iliyodumu kwa dakika 38 tu, na hivyo kuweka rekodi ya kuwa ndio vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea duniani. Vita hiyo iliyojulikana kama 'Anglo- Zanzibar war' iliyotokea mwaka 1896 kati ya uingereza na Zanzibar, ikipiganwa katika ardhi ya Zanzibar iliyokuwa chini ya utawala wa kisultani.

    Kabla ya kuelezea vita hiyo, kwanza inabidi tufahamu jinsi historia ya Zanzibar hapo kabla ya mwaka 1698 ambapo ilikuwa chini ya utawala wa wareno waliotawala hapo kuanzia mwishoni mwa miaka 1490.

    Wareno hao waliondoka baada ya ujio wa waarabu kutoka Oman, waliokuja pwani ya Afrika Mashariki mnamo mwaka 1698. Hivyo kuanzia hapo, Zanzibar ikawa ni sehemu ya himaya ya Oman, ikiongozwa na masultani walioko mjini Muscat, Oman. Ilipofika mwaka 1804, Oman ikapata sultan mpya, aitwaye Sayyid Said ambaye aliweza kuanzisha mashamba ya mikarafuu huku akiwatumia watumwa kutoka Tanganyika wakitumika kama nguvu kazi katika mashamba hayo.

    Mwaka 1832, Sultan Sayyid Said alihamisha mji mkuu wa Omani kutoka Muskat kwenda Unguja. Hiyo ikapelekea ukuaji wa maendeleo katika mji wa Unguja kutokana na watu wengi kufurika hapo wakitoka sehemu mbalimbali ikiwemo Oman. Nchi mbalimbali zikaanza kujenga balozi zao hapo Zanzibar, mfano Marekani ilijenga balozi yake mwaka 1837, Uingereza mwaka 1841 kisha Ufaransa mwaka 1844.

    Ilipofika mwaka 1840, Sultani Sayyid said alihama kabisa mjini Muskat na kuja kuishi Zanzibar huku akiendelea kujulikana kama Sultan wa Oman na Zanzibar hadi mwaka alipofariki mwaka 1856. Baada ya kufariki Sayyid Said, waliokuwa watoto wake Majid bin Said na mwingine aliyeitwa Thuwaini bin Said, wakaanza mgogoro kuhusu nani wa kurithi kiti cha usultani wa Oman.

    Mgogoro huo ulipelekea himaya ya Oman kugawanyika katika sehemu mbili, Thuwaini bin Said alichukua Oman na hivyo kuwa Sultani wa Oman. Lakini Majid bin Said akiichukua Zanzibar na hivyo kuwa Sultani wa kwanza wa Zanzibar.

    Sultan Majid bin Said alitawala Zanzibar hadi mwaka 1870, akifuatiwa na sultan Barghash ambaye kwa kushirikiana na waingereza anakumbukwa kwa kusitisha biashara ya watumwa hapo Zanzibar mwaka 1876 japokuwa utumwa ulikuwa unaendelea.

    Mnamo mwaka 1890, kulisainiwa mkataba baina ya ujerumani na uingereza uliojulikana kama mkataba wa Heligoland uliopelekea Zanzibar kuwa chini ya uangalizi wa Uingereza huku ikiendelea kuongozwa na Sultani. Mwaka 1893 Uingereza 'ilifanya figisu' na hatimaye kumpandikiza kibaraka wao, Hamad bin Thuwaini kuwa sultani mpya wa Zanzibar, akitawala kwa miaka mitatu hadi tarehe 25 Agosti 1896 alipofariki ghafla akiwa ofisini kwake. Ingawa kuna tetesi kwamba aliyesababisha kifo chake ni binamu yake aitwaye Khalid bin Barghash ambaye inasemekana kuwa alimtilia sumu kwenye chakula.

    Tetesi hizo zilionekana ni kweli kutokana na kitendo cha Khalid bin Barghash kurithi kiti cha usultani punde tuu baada ya kifo cha nduguye akifanya hivyo bila ya kuthibitishwa na serikali ya uingereza.Maana ilikuwa ni kanuni kwamba serikali ya uingereza lazima ipitishe mchakato wa kumpata sultani.

    Kitendo cha Khalid bin Barghash kujitwalia madaraka ya kisultani, kiliwafanya waingereza kuchukia sana. Hivyo aliyekuwa balozi wa uingereza nchini Zanzibar, Basil Cave alimpa onyo kali sana sultan Khalid akitaka aachie madaraka. Waingereza walimpendelea Hamud bin Muhammed, awe sultani kwasababu waliona huyo ndiye wangeweza kufanya nae kazi vizuri kwani watamfanya kama kibaraka wao.

    Kitendo cha Khalid bin Barghash kujitwalia madaraka ya kisultani, kiliwafanya waingereza kuchukia sana. Hivyo aliyekuwa balozi wa uingereza nchini Zanzibar, Basil Cave alimpa onyo kali sana sultan Khalid akitaka aachie madaraka. Waingereza walimpendelea Hamud bin Muhammed, awe sultani kwasababu waliona huyo ndiye wangeweza kufanya nae kazi vizuri kwani watamfanya kama kibaraka wao.

    Mgogoro ulikuwa mkubwa baada ya Sultan Khalid bin Barghash kukaidi kuachia madaraka, badala yake akazidi kujiimarisha kiulinzi kwa kuongeza askari 3000 kwa ajili ya kulinda kasri yake.

    Wakati huohuo, uingereza nao walikuwa tayari wameshatega meli zao za kivita kwenye bandari huku wanajeshi wakisambazwa sehemu mbalimbali kwa ajili ya kujiandaa na lolote litakalotokea. Basil Cave aliwasiliana na makao makuu huko London akiomba aongezewe meli nyingine ya kivita. Hatimaye meli aina ya HMS Sparrow ikitia nanga katika bandari ya Zanzibar.

    Japokuwa alikuwa tayari kwa pambano, Basil Cave hakuwa na mamlaka ya kuanzisha vita pasipo kupokea amri kutoka makao makuu Uingereza. Akatuma ujumbe makao makuu akisema hivi;

    *_" Tumefanya njia zote za amani lakini zimeshindikana, sasa tunaruhusiwa kuanza mashambulizi??"*_

    Wakati anasubiria majibu kutoka makao makuu, Cave alituma tena ujumbe kwa Sultani akimtaka aachie madaraka, lakini Sultan hakujibu.

    Siku iliyofuata Cave alipokea majibu kutoka makao makuu ukisema kwamba, *" unaruhusiwa kufanya chochote unachodhani kinafaa na sisi tutakupa ushirikiano."*

    Wakati huohuo tuliona meli zingine za kivita zinaingia Zanzibar zikitokea uingereza.

    Usiku wa tarehe 26, Basil Cave akatuma Ujumbe wa mwisho kwa sultani akimtaka kuondoka ofisini kesho yake saa tatu asubuhi. Huku akiziamuru boti zote zisizo za kivita ziondolewe baharini ili kujiandaa na vita.

    Siku iliyofuata saa 2 asubuhi, Sultani Khalid akajibu, akasema hivi, *" Sina mpango wa kuachia madaraka na sitegemei kama mtaanzisha vita dhidi yetu"*

    Basil Cave naye akajibu akasema;
    "Hatuna haja ya kuanzisha vita, ila tutafanya hivyo kama ukikaidi maagizo yetu."

    Sultani hakujibu tena. Na ilipofika saa 3 kamili meli zote za kivita zilipokea amri ya kuanza kushambulia kasri ya sultani. Saa 3:02 asubuhi, majengo na silaha za Sultani zilianza kulipuliwa, huku majeshi ya sultani nayo yakijibu mashambulizi kwa kurusha makombora yao.

    Inaelezwa kwamba dakika chache tuu baada ya kuanza kwa mashambulizi, Sultan Khalid *alitoroka kupitia mlango wa nyuma* wa kasri hiyo akiwaacha wapiganaji wake wakiendelea na vita. Hadi kufikia saa 3:40, sehemu kubwa ya kasri ya sultani ilikuwa tayari imeshalipuliwa na bendera ya sultani ikashushwa.

    Na hapo ndipo ikawa mwisho wa vita hiyo fupi.

    Katika vita hiyo fupi, inaelezwa kwamba wapiganaji 500 wa sultani walifariki na kujeruhiwa huku mwanajeshi mmoja tuu wa kingereza alijeruhiwa lakini akapona baadae.

    Baada ya sultan Khalid kukimbia, ndipo Uingereza ikampitisha mtu wao *Hamud bin Muhammed,* kuwa sultani wa Zanzibar kwa miaka 6 iliyofuata.

    Inaelezwa kwamba Khalid alipotoroka kumbe alipewa hifadhi na balozi ya ujerumani hapo Zanzibar na kisha baadae akasafirishwa na meli za wajerumani kuja Tanganyika (koloni la ujerumani)

    Ilipofika mwaka 1916, wakati wa vita ya kwanza ya dunia tuliona majeshi ya Uingereza yanavamia makoloni ya ujerumani ikiwemo Tanganyika, ambapo *Khalid* alikamatwa na kupelekwa Seychelles , lakini baada ya miaka michache alirudishwa Mombasa ambapo alifariki Mwaka 1927.

    ***

    Na hiyo ndiyo vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea Duniani.

    VITA FUPI. Je unaifahamu vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea duniani?. Kama hufahamu, basi leo inabidi ujue kwamba miaka 122 iliyopita, kulitokea vita iliyodumu kwa dakika 38 tu, na hivyo kuweka rekodi ya kuwa ndio vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea duniani. Vita hiyo iliyojulikana kama 'Anglo- Zanzibar war' iliyotokea mwaka 1896 kati ya uingereza na Zanzibar, ikipiganwa katika ardhi ya Zanzibar iliyokuwa chini ya utawala wa kisultani. Kabla ya kuelezea vita hiyo, kwanza inabidi tufahamu jinsi historia ya Zanzibar hapo kabla ya mwaka 1698 ambapo ilikuwa chini ya utawala wa wareno waliotawala hapo kuanzia mwishoni mwa miaka 1490. Wareno hao waliondoka baada ya ujio wa waarabu kutoka Oman, waliokuja pwani ya Afrika Mashariki mnamo mwaka 1698. Hivyo kuanzia hapo, Zanzibar ikawa ni sehemu ya himaya ya Oman, ikiongozwa na masultani walioko mjini Muscat, Oman. Ilipofika mwaka 1804, Oman ikapata sultan mpya, aitwaye Sayyid Said ambaye aliweza kuanzisha mashamba ya mikarafuu huku akiwatumia watumwa kutoka Tanganyika wakitumika kama nguvu kazi katika mashamba hayo. Mwaka 1832, Sultan Sayyid Said alihamisha mji mkuu wa Omani kutoka Muskat kwenda Unguja. Hiyo ikapelekea ukuaji wa maendeleo katika mji wa Unguja kutokana na watu wengi kufurika hapo wakitoka sehemu mbalimbali ikiwemo Oman. Nchi mbalimbali zikaanza kujenga balozi zao hapo Zanzibar, mfano Marekani ilijenga balozi yake mwaka 1837, Uingereza mwaka 1841 kisha Ufaransa mwaka 1844. Ilipofika mwaka 1840, Sultani Sayyid said alihama kabisa mjini Muskat na kuja kuishi Zanzibar huku akiendelea kujulikana kama Sultan wa Oman na Zanzibar hadi mwaka alipofariki mwaka 1856. Baada ya kufariki Sayyid Said, waliokuwa watoto wake Majid bin Said na mwingine aliyeitwa Thuwaini bin Said, wakaanza mgogoro kuhusu nani wa kurithi kiti cha usultani wa Oman. Mgogoro huo ulipelekea himaya ya Oman kugawanyika katika sehemu mbili, Thuwaini bin Said alichukua Oman na hivyo kuwa Sultani wa Oman. Lakini Majid bin Said akiichukua Zanzibar na hivyo kuwa Sultani wa kwanza wa Zanzibar. Sultan Majid bin Said alitawala Zanzibar hadi mwaka 1870, akifuatiwa na sultan Barghash ambaye kwa kushirikiana na waingereza anakumbukwa kwa kusitisha biashara ya watumwa hapo Zanzibar mwaka 1876 japokuwa utumwa ulikuwa unaendelea. Mnamo mwaka 1890, kulisainiwa mkataba baina ya ujerumani na uingereza uliojulikana kama mkataba wa Heligoland uliopelekea Zanzibar kuwa chini ya uangalizi wa Uingereza huku ikiendelea kuongozwa na Sultani. Mwaka 1893 Uingereza 'ilifanya figisu' na hatimaye kumpandikiza kibaraka wao, Hamad bin Thuwaini kuwa sultani mpya wa Zanzibar, akitawala kwa miaka mitatu hadi tarehe 25 Agosti 1896 alipofariki ghafla akiwa ofisini kwake. Ingawa kuna tetesi kwamba aliyesababisha kifo chake ni binamu yake aitwaye Khalid bin Barghash ambaye inasemekana kuwa alimtilia sumu kwenye chakula. Tetesi hizo zilionekana ni kweli kutokana na kitendo cha Khalid bin Barghash kurithi kiti cha usultani punde tuu baada ya kifo cha nduguye akifanya hivyo bila ya kuthibitishwa na serikali ya uingereza.Maana ilikuwa ni kanuni kwamba serikali ya uingereza lazima ipitishe mchakato wa kumpata sultani. Kitendo cha Khalid bin Barghash kujitwalia madaraka ya kisultani, kiliwafanya waingereza kuchukia sana. Hivyo aliyekuwa balozi wa uingereza nchini Zanzibar, Basil Cave alimpa onyo kali sana sultan Khalid akitaka aachie madaraka. Waingereza walimpendelea Hamud bin Muhammed, awe sultani kwasababu waliona huyo ndiye wangeweza kufanya nae kazi vizuri kwani watamfanya kama kibaraka wao. Kitendo cha Khalid bin Barghash kujitwalia madaraka ya kisultani, kiliwafanya waingereza kuchukia sana. Hivyo aliyekuwa balozi wa uingereza nchini Zanzibar, Basil Cave alimpa onyo kali sana sultan Khalid akitaka aachie madaraka. Waingereza walimpendelea Hamud bin Muhammed, awe sultani kwasababu waliona huyo ndiye wangeweza kufanya nae kazi vizuri kwani watamfanya kama kibaraka wao. Mgogoro ulikuwa mkubwa baada ya Sultan Khalid bin Barghash kukaidi kuachia madaraka, badala yake akazidi kujiimarisha kiulinzi kwa kuongeza askari 3000 kwa ajili ya kulinda kasri yake. Wakati huohuo, uingereza nao walikuwa tayari wameshatega meli zao za kivita kwenye bandari huku wanajeshi wakisambazwa sehemu mbalimbali kwa ajili ya kujiandaa na lolote litakalotokea. Basil Cave aliwasiliana na makao makuu huko London akiomba aongezewe meli nyingine ya kivita. Hatimaye meli aina ya HMS Sparrow ikitia nanga katika bandari ya Zanzibar. Japokuwa alikuwa tayari kwa pambano, Basil Cave hakuwa na mamlaka ya kuanzisha vita pasipo kupokea amri kutoka makao makuu Uingereza. Akatuma ujumbe makao makuu akisema hivi; *_" Tumefanya njia zote za amani lakini zimeshindikana, sasa tunaruhusiwa kuanza mashambulizi??"*_ Wakati anasubiria majibu kutoka makao makuu, Cave alituma tena ujumbe kwa Sultani akimtaka aachie madaraka, lakini Sultan hakujibu. Siku iliyofuata Cave alipokea majibu kutoka makao makuu ukisema kwamba, *" unaruhusiwa kufanya chochote unachodhani kinafaa na sisi tutakupa ushirikiano."* Wakati huohuo tuliona meli zingine za kivita zinaingia Zanzibar zikitokea uingereza. Usiku wa tarehe 26, Basil Cave akatuma Ujumbe wa mwisho kwa sultani akimtaka kuondoka ofisini kesho yake saa tatu asubuhi. Huku akiziamuru boti zote zisizo za kivita ziondolewe baharini ili kujiandaa na vita. Siku iliyofuata saa 2 asubuhi, Sultani Khalid akajibu, akasema hivi, *" Sina mpango wa kuachia madaraka na sitegemei kama mtaanzisha vita dhidi yetu"* Basil Cave naye akajibu akasema; "Hatuna haja ya kuanzisha vita, ila tutafanya hivyo kama ukikaidi maagizo yetu." Sultani hakujibu tena. Na ilipofika saa 3 kamili meli zote za kivita zilipokea amri ya kuanza kushambulia kasri ya sultani. Saa 3:02 asubuhi, majengo na silaha za Sultani zilianza kulipuliwa, huku majeshi ya sultani nayo yakijibu mashambulizi kwa kurusha makombora yao. Inaelezwa kwamba dakika chache tuu baada ya kuanza kwa mashambulizi, Sultan Khalid *alitoroka kupitia mlango wa nyuma* wa kasri hiyo akiwaacha wapiganaji wake wakiendelea na vita. Hadi kufikia saa 3:40, sehemu kubwa ya kasri ya sultani ilikuwa tayari imeshalipuliwa na bendera ya sultani ikashushwa. Na hapo ndipo ikawa mwisho wa vita hiyo fupi. Katika vita hiyo fupi, inaelezwa kwamba wapiganaji 500 wa sultani walifariki na kujeruhiwa huku mwanajeshi mmoja tuu wa kingereza alijeruhiwa lakini akapona baadae. Baada ya sultan Khalid kukimbia, ndipo Uingereza ikampitisha mtu wao *Hamud bin Muhammed,* kuwa sultani wa Zanzibar kwa miaka 6 iliyofuata. Inaelezwa kwamba Khalid alipotoroka kumbe alipewa hifadhi na balozi ya ujerumani hapo Zanzibar na kisha baadae akasafirishwa na meli za wajerumani kuja Tanganyika (koloni la ujerumani) Ilipofika mwaka 1916, wakati wa vita ya kwanza ya dunia tuliona majeshi ya Uingereza yanavamia makoloni ya ujerumani ikiwemo Tanganyika, ambapo *Khalid* alikamatwa na kupelekwa Seychelles , lakini baada ya miaka michache alirudishwa Mombasa ambapo alifariki Mwaka 1927. *** Na hiyo ndiyo vita fupi kuliko zote kuwahi kutokea Duniani.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Necronomicon
    Hiki ni Kitabu cha Imani ya Kishetani na Kina Mambo Mengi ya Kuogopesha na Ukikisoma Mambo hayo Hutokea Kweli!!
    Ni Mambo ya Mizimu na Mauzauza, Ukiwa Unasoma Kinakupeleka Kukiona Kweli Unachosoma Kupitia Hisia!, Kuna Imani ya Ajabu inakuingia.
    Kinakadiriwa Kuandikwa Tangu Miaka ya 800 A.D Kwa Lugha ya Ajabu na Kumekuwa Kukitajwa Waandishi Wengi Walioandika Kitabu hiki Miaka hiyo ya Kale na Mmoja Wapo ni 'Abdul Alhazred' Raia wa YEMEN.
    Kitabu hiki Kilikuja Kutafsiriwa na Kuandikwa Upya na Mmarekani H.P. Lovecraft Aliyekua Mtaalamu wa Kutafsiri Mambo ya Kimiujiza Mwaka 1927 na Kutolewa Rasmi Mwaka 1938. Hakuna Mtu Mwingine Aliyeweza Kukielewa Kiufasaha Zaidi yake tuu.
    Necronomicon Hiki ni Kitabu cha Imani ya Kishetani na Kina Mambo Mengi ya Kuogopesha na Ukikisoma Mambo hayo Hutokea Kweli!! Ni Mambo ya Mizimu na Mauzauza, Ukiwa Unasoma Kinakupeleka Kukiona Kweli Unachosoma Kupitia Hisia!, Kuna Imani ya Ajabu inakuingia. Kinakadiriwa Kuandikwa Tangu Miaka ya 800 A.D Kwa Lugha ya Ajabu na Kumekuwa Kukitajwa Waandishi Wengi Walioandika Kitabu hiki Miaka hiyo ya Kale na Mmoja Wapo ni 'Abdul Alhazred' Raia wa YEMEN. Kitabu hiki Kilikuja Kutafsiriwa na Kuandikwa Upya na Mmarekani H.P. Lovecraft Aliyekua Mtaalamu wa Kutafsiri Mambo ya Kimiujiza Mwaka 1927 na Kutolewa Rasmi Mwaka 1938. Hakuna Mtu Mwingine Aliyeweza Kukielewa Kiufasaha Zaidi yake tuu.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·831 Views
  • MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA.
    (Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake).

    Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu hatari sana katika uwanja wa vita. Ni moja ya majasusi wachache wanao ingia mapambanoni wenyewe bila kuangalia vyeo vyao.
    Ikumbukwe kwamba Paul Kagame alikuwa na ushawishi mkubwa kwenye jeshi la Uganda kutokana na umahiri wake wa intelejinsia. Kwann ipo hivi? Kagame ndie aliyeshiriki kumuondoa Idd Amin na ndie aliyeshiriki Kumuweka madarakani Museveni na pia ndie aliyeshiriki kuliasisi na kuliunda jeshi la Uganda Kwa hiyo yeye ndo alkuwa anawashauri nani anafaa kuwa Rais au hafai. Haya sasa twende.

    Baada ya vita ya Kagera, Tanzania wakamsimika Yusuf Lule kuwa Rais wa nchi ya Uganda. Kina Museveni wakaanzisha chombo chao cha kijeshi National Consultative Commission(NCC) hiki chombo ndo walikifanya kuwa na maamuzi ya mwisho ya nchi. Miezi miwili tu baada ya Tanzania kumsimika Yusufu Lule kuwa Rais kukatokea mvutano kati yake na NCC. NCC ya kina Museveni waliona Rais anavuka mipaka yake huku Rais Lule hatak nch iongozwe kijeshi.

    Hatimaye june 10 1979 Kwa ushawishi wa Museveni kiongozi wa NCC wakamuondoa Lule na kumuweka Godfrey Binaisa kuwa Rais wa nchi. Kimsingi Binaisa alikuwa km kikaragosi tu lakini maamuzi yote ya nchi yanatoka kwa NCC. Lakini Binaisa utamu wa Urais ulimkolea akavimba kichwa akamfukuza manadhimu mkuu wa jeshi Ojok baada ya kuhisi atapinduliwa. Kitendo hiki kiliwaumiza sana NCC na wakamuondoa Godfrey Binaisa na kuunda tume maalum iliyoitwa Presidential commission iliyofanya kazi kuongoza nchi baadala ya Rais.

    Baada ya migogoro mingi hapo ndipo umahiri wa Kagame ukaonekana kwa mara nyingine tena baada ya ule wa Kagame aliyeshiriki kumuondoa Dikteta Idd Amin Dada. Maana Kagame aliona Vita ya Panzi furaha kwa kunguru. Pia kumbuka yote yanatokea bado Kagame alkuwa na ushauri mkubwa wa kijeshi Uganda kutokana na umahiri wake wa kiintelejinsia.

    Milton Obote baada ya kushinda Urais 1980 kina Museveni hawakufurahia ushindi wake, ndipo Yoweri Museveni na Paul kagame Wakajitenga NCC na UNLA japokuwa walikuwa na ushawishi mkubwa juu ya vyombo hivyo. Ndipo Yoweri Museveni, Paul Kagame, Fred Rwigyema na waganda wengine 37 walianzisha chombo chao cha kijeshi kilichoitwa National Resistance Army(NRA) ili wampindue Rais.

    Kikundi hiki kilikimbilia msituni na kuanzisha mapigano makali kwa miaka sita dhidi ya majeshi ya serikali, pamoja na udogo wake(japo baadae waliongezeka arobaini wa awali) lakini kiliyachosha majeshi ya serikali kwa miaka sita. Miaka hii sita ya mapambano dhidi ya majeshi ya serikali yalidhihirisha unguli wa Paul Kagame nguli wa 'Physical Werfare' pia baadae ulidhihirika kweny mauaji ya kimbari, baada, nikipata uhai nitaelezea.

    Kwa miaka yote ya vita Paul Kagame alikuwa kiungo muhimu sana na aliheshimika sana na wapiganaji wenzake kuliko hata Museveni mwenyewe. Nyadhifa zao NRA zilikaribia kwenye usawa mmoja.

    Majeshi ya serikali yalikuwa na hali tete kupelekea askari wa miguu kuomba serikali isitishe mapigano maana walikuwa wanakufa wengi Lakini serikili ikanya ngumu kukakataa kusikiliza askari wake. Wanasema la kuvunda halina ubani. Desemba 1980 Mkuu wa majeshi ya Uganda jenerali Oyite Ojok alikufa kwa ajali ya ndege ambayo kuna kila dalili ya mkono wa Kagame.

    Baada ya Jenerali kufariki aliyetegemewa sana na Rais Obote badala ya kumteua waliotegemewa Tito Okello au Bazilio Olara okello ambaye alishiriki kumuondoa Idd Amin hatimaye akamteua askari wa chini kabisa anayetoka nae kabila moja. Hali hii iliwauzi Jeshi la serikali na waganda Na ndipo miaka 2 baadae jeshi likampindua Milton Obote na jeshi kushika nchi na kuanzisha mapambano dhidi ya vikundi vya msituni kila kimoja kikitaka kuongoza nchi. Ndipo yalifanyija maongezi nchini Kenya baina ya vikundi vyote vya msituni na serikali chini ya Rais Daniel Arap Moi ili kuleta Suluhu na kuweka muelekeo mpya wa nchi ya Uganda.

    29 januari 1986 Yoweri Kaguta Museveni akaapishws kuwa Rais mpya wa Uganda. Paul Kagame akateuliwa na Rais kuwa Chief Millitary Intelligence(Mkuu wa usalama wa Jeshi Uganda) na swahiba wake Fred Rwigyema kuwa waziri wa ulinzi. Kutokana na ushawishi wa kagame uganda ilipelekea baraza la mawaziri kujaa watusi kabila la kagame. Kwa maana nyingine twasema Kagame aliiweka Uganda kiganjani mwake japo hakuwa Rais. Mtandao mkubwa alioujenga ndani ya serikal ya Uganda, baraza la mawaziri na jeshi alikuwa na nguvu kumzidi Rais Yoweri Museveni. Uzuri ni kwamba Museveni aliujua umahiri wa kagame kijasusi na hakutaka mvutano nae maana alijua lengo lake lipi. Kagame hakuwa na nia ya Urais wa Uganda wala kuendelea kuliendesha jeshi la uganda. Bali alitaka kuwakomboa ndugu zake watusi waliokuwa wanateseka Rwanda.

    Na sasa alikuwa amekamilika kila kitu. Alikuwa na uzoefu wa kutosha, alikuwa na weledi wa kutosha. Tunathubutu kusema kwamba kwa kipindi hiki hakuna ambaye aliyekuwa anaweza kufikia daraja la juu la umahiri wa Kagame katika masuala ya Ujasusi Afrika Mashariki na Kati. Pia alikuwa na ushawishi katika nchi za kimkakati zinazopakana na Rwanda kama Kongo aliwapeleka wapiganaji wa NRA kupata mafunzo ya Special Force kipindi cha mapigano cha miaka 6 msituni dhidi ya majeshi ya serikali Obote.

    Pia alikuwa na ushawishi Tanzania(mtoto wetu tuliyemfunza wenyewe Ujasusi na alitusaidia sana kwenye vita ya Kagera).

    Mbele yake alikuwa na jambo moja tu kabla ya kuondoka kwenye uso wa Dunia ni kuiweka Rwanda mikononi mwake.

    NOTE: Mungu akinipa uhai nitawaletea Harakati za Kagame kuyamaliza mauaji ya Wahutu na watusi, kimbali hadi Kuwa Rais wa Rwanda.

    Ahsante kwa Utiifu Wako.
    MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA. (Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake). Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu hatari sana katika uwanja wa vita. Ni moja ya majasusi wachache wanao ingia mapambanoni wenyewe bila kuangalia vyeo vyao. Ikumbukwe kwamba Paul Kagame alikuwa na ushawishi mkubwa kwenye jeshi la Uganda kutokana na umahiri wake wa intelejinsia. Kwann ipo hivi? Kagame ndie aliyeshiriki kumuondoa Idd Amin na ndie aliyeshiriki Kumuweka madarakani Museveni na pia ndie aliyeshiriki kuliasisi na kuliunda jeshi la Uganda Kwa hiyo yeye ndo alkuwa anawashauri nani anafaa kuwa Rais au hafai. Haya sasa twende. Baada ya vita ya Kagera, Tanzania wakamsimika Yusuf Lule kuwa Rais wa nchi ya Uganda. Kina Museveni wakaanzisha chombo chao cha kijeshi National Consultative Commission(NCC) hiki chombo ndo walikifanya kuwa na maamuzi ya mwisho ya nchi. Miezi miwili tu baada ya Tanzania kumsimika Yusufu Lule kuwa Rais kukatokea mvutano kati yake na NCC. NCC ya kina Museveni waliona Rais anavuka mipaka yake huku Rais Lule hatak nch iongozwe kijeshi. Hatimaye june 10 1979 Kwa ushawishi wa Museveni kiongozi wa NCC wakamuondoa Lule na kumuweka Godfrey Binaisa kuwa Rais wa nchi. Kimsingi Binaisa alikuwa km kikaragosi tu lakini maamuzi yote ya nchi yanatoka kwa NCC. Lakini Binaisa utamu wa Urais ulimkolea akavimba kichwa akamfukuza manadhimu mkuu wa jeshi Ojok baada ya kuhisi atapinduliwa. Kitendo hiki kiliwaumiza sana NCC na wakamuondoa Godfrey Binaisa na kuunda tume maalum iliyoitwa Presidential commission iliyofanya kazi kuongoza nchi baadala ya Rais. Baada ya migogoro mingi hapo ndipo umahiri wa Kagame ukaonekana kwa mara nyingine tena baada ya ule wa Kagame aliyeshiriki kumuondoa Dikteta Idd Amin Dada. Maana Kagame aliona Vita ya Panzi furaha kwa kunguru. Pia kumbuka yote yanatokea bado Kagame alkuwa na ushauri mkubwa wa kijeshi Uganda kutokana na umahiri wake wa kiintelejinsia. Milton Obote baada ya kushinda Urais 1980 kina Museveni hawakufurahia ushindi wake, ndipo Yoweri Museveni na Paul kagame Wakajitenga NCC na UNLA japokuwa walikuwa na ushawishi mkubwa juu ya vyombo hivyo. Ndipo Yoweri Museveni, Paul Kagame, Fred Rwigyema na waganda wengine 37 walianzisha chombo chao cha kijeshi kilichoitwa National Resistance Army(NRA) ili wampindue Rais. Kikundi hiki kilikimbilia msituni na kuanzisha mapigano makali kwa miaka sita dhidi ya majeshi ya serikali, pamoja na udogo wake(japo baadae waliongezeka arobaini wa awali) lakini kiliyachosha majeshi ya serikali kwa miaka sita. Miaka hii sita ya mapambano dhidi ya majeshi ya serikali yalidhihirisha unguli wa Paul Kagame nguli wa 'Physical Werfare' pia baadae ulidhihirika kweny mauaji ya kimbari, baada, nikipata uhai nitaelezea. Kwa miaka yote ya vita Paul Kagame alikuwa kiungo muhimu sana na aliheshimika sana na wapiganaji wenzake kuliko hata Museveni mwenyewe. Nyadhifa zao NRA zilikaribia kwenye usawa mmoja. Majeshi ya serikali yalikuwa na hali tete kupelekea askari wa miguu kuomba serikali isitishe mapigano maana walikuwa wanakufa wengi Lakini serikili ikanya ngumu kukakataa kusikiliza askari wake. Wanasema la kuvunda halina ubani. Desemba 1980 Mkuu wa majeshi ya Uganda jenerali Oyite Ojok alikufa kwa ajali ya ndege ambayo kuna kila dalili ya mkono wa Kagame. Baada ya Jenerali kufariki aliyetegemewa sana na Rais Obote badala ya kumteua waliotegemewa Tito Okello au Bazilio Olara okello ambaye alishiriki kumuondoa Idd Amin hatimaye akamteua askari wa chini kabisa anayetoka nae kabila moja. Hali hii iliwauzi Jeshi la serikali na waganda Na ndipo miaka 2 baadae jeshi likampindua Milton Obote na jeshi kushika nchi na kuanzisha mapambano dhidi ya vikundi vya msituni kila kimoja kikitaka kuongoza nchi. Ndipo yalifanyija maongezi nchini Kenya baina ya vikundi vyote vya msituni na serikali chini ya Rais Daniel Arap Moi ili kuleta Suluhu na kuweka muelekeo mpya wa nchi ya Uganda. 29 januari 1986 Yoweri Kaguta Museveni akaapishws kuwa Rais mpya wa Uganda. Paul Kagame akateuliwa na Rais kuwa Chief Millitary Intelligence(Mkuu wa usalama wa Jeshi Uganda) na swahiba wake Fred Rwigyema kuwa waziri wa ulinzi. Kutokana na ushawishi wa kagame uganda ilipelekea baraza la mawaziri kujaa watusi kabila la kagame. Kwa maana nyingine twasema Kagame aliiweka Uganda kiganjani mwake japo hakuwa Rais. Mtandao mkubwa alioujenga ndani ya serikal ya Uganda, baraza la mawaziri na jeshi alikuwa na nguvu kumzidi Rais Yoweri Museveni. Uzuri ni kwamba Museveni aliujua umahiri wa kagame kijasusi na hakutaka mvutano nae maana alijua lengo lake lipi. Kagame hakuwa na nia ya Urais wa Uganda wala kuendelea kuliendesha jeshi la uganda. Bali alitaka kuwakomboa ndugu zake watusi waliokuwa wanateseka Rwanda. Na sasa alikuwa amekamilika kila kitu. Alikuwa na uzoefu wa kutosha, alikuwa na weledi wa kutosha. Tunathubutu kusema kwamba kwa kipindi hiki hakuna ambaye aliyekuwa anaweza kufikia daraja la juu la umahiri wa Kagame katika masuala ya Ujasusi Afrika Mashariki na Kati. Pia alikuwa na ushawishi katika nchi za kimkakati zinazopakana na Rwanda kama Kongo aliwapeleka wapiganaji wa NRA kupata mafunzo ya Special Force kipindi cha mapigano cha miaka 6 msituni dhidi ya majeshi ya serikali Obote. Pia alikuwa na ushawishi Tanzania(mtoto wetu tuliyemfunza wenyewe Ujasusi na alitusaidia sana kwenye vita ya Kagera). Mbele yake alikuwa na jambo moja tu kabla ya kuondoka kwenye uso wa Dunia ni kuiweka Rwanda mikononi mwake. NOTE: Mungu akinipa uhai nitawaletea Harakati za Kagame kuyamaliza mauaji ya Wahutu na watusi, kimbali hadi Kuwa Rais wa Rwanda. Ahsante kwa Utiifu Wako.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • Marilyn Monroe.

    Alikuwa muigizaji na mwimbaji maarufu Duniani miaka ya 50s_ 60s, kutoka Marekani na mpaka sasa anajulikana kama ni mwanamke mrembo zaidi wa muda wowote kutokea Duniani.

    Alizaliwa katika familia maskini na alishawahi kubakwa kabla hajapata umaarufu .

    Marilyn alikufa mwaka 1962, mwezi wa nane , tarehe 5 akiwa na umri wa miaka 36.

    Marilyn alikufa katika kifo cha kutatanisha, baada ya kuukuta mwili wake kitandani ,akiwa ameshika Simu mkononi.

    Baada ya uchunguzi ili thibitishwa Marilyn alijiua kwa kuji over dorse( alimeza vidonge vya dawa kupita kiasi)

    Lakini kupitia nadharia mbali mbali zinasema aliuliwa , na Kaka wa wili , Rais John F Kennedy na attorney Robert F Kennedy.

    Hawa wote walikuwa wa wanatoka kimapenzi na mrembo huyo, kwa vipindi tofauti, ambapo inadaiwa walimuua ili kupoteza ushahidi baada ya Marilyn Monroe kutoa nyaraka mbalimbali zilizo kuwa zina ushahidi kwamba alikuwa ananyanyaswa kimapenzi na kaka hao.

    Na hata siku kabla ya kifo chake Robert Kennedy alikuwepo na merilyn nyumbani kwake hayo yalisemwa na "Eunice Murray " aliyekuwa mfanyakazi wa Marilyn.

    Inasemekana walimuua ili kulinda heshima yao kwani kwa kipindi hicho walikuwa na nyasifa kubwa serikalini.

    Na kadri siku zilivyozidi kwenda alijizolea umaarufu mkubwa kiasi kwamba cha kuwapa wasiwasi JFK na RFK kutokana na unyanyasaji wa kingono walio mfanyia.

    Marilyn Monroe. Alikuwa muigizaji na mwimbaji maarufu Duniani miaka ya 50s_ 60s, kutoka Marekani na mpaka sasa anajulikana kama ni mwanamke mrembo zaidi wa muda wowote kutokea Duniani. Alizaliwa katika familia maskini na alishawahi kubakwa kabla hajapata umaarufu . Marilyn alikufa mwaka 1962, mwezi wa nane , tarehe 5 akiwa na umri wa miaka 36. Marilyn alikufa katika kifo cha kutatanisha, baada ya kuukuta mwili wake kitandani ,akiwa ameshika Simu mkononi. Baada ya uchunguzi ili thibitishwa Marilyn alijiua kwa kuji over dorse( alimeza vidonge vya dawa kupita kiasi) Lakini kupitia nadharia mbali mbali zinasema aliuliwa , na Kaka wa wili , Rais John F Kennedy na attorney Robert F Kennedy. Hawa wote walikuwa wa wanatoka kimapenzi na mrembo huyo, kwa vipindi tofauti, ambapo inadaiwa walimuua ili kupoteza ushahidi baada ya Marilyn Monroe kutoa nyaraka mbalimbali zilizo kuwa zina ushahidi kwamba alikuwa ananyanyaswa kimapenzi na kaka hao. Na hata siku kabla ya kifo chake Robert Kennedy alikuwepo na merilyn nyumbani kwake hayo yalisemwa na "Eunice Murray " aliyekuwa mfanyakazi wa Marilyn. Inasemekana walimuua ili kulinda heshima yao kwani kwa kipindi hicho walikuwa na nyasifa kubwa serikalini. Na kadri siku zilivyozidi kwenda alijizolea umaarufu mkubwa kiasi kwamba cha kuwapa wasiwasi JFK na RFK kutokana na unyanyasaji wa kingono walio mfanyia. ⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·527 Views