• Kutoka Kwa Privadinho
    Kutoka Kwa Privadinho
    Haha
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·136 Visualizações
  • "Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    "Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu kwa upande wetu tuna lengo moja na lengo hilo ni kuendelea kwenye hatua inayofuata. Ili kufanikisha hilo, tunapaswa kucheza kwa bidii zaidi kesho hili ni jukumu letu na tutafanya kila kitu kuhakikisha tunafanikiwa" Aziz Ki #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Wananchi eh kesho furaha uhakika kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi

    #Rafikiwasoka
    #Instagramrafikiwasoka
    📌 Wananchi eh kesho furaha uhakika 🤣 kwa mujibu wa meneja habari na mawasiliano wa klabu ya Young Africans Ally Kamwe anasema kesho ifike wananchi mfurahi #Rafikiwasoka #Instagramrafikiwasoka
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Kimataifa tena. #TotalEnergiesCAFCC


    #paulswai
    Kimataifa tena. #TotalEnergiesCAFCC #paulswai
    Love
    Like
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·820 Visualizações
  • Kocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu.

    Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’

    #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Kocha Said Maulid ‘SMG’ anaungana na Benchi letu la Ufundi chini ya Edna Lema kuimarisha Kikosi Chetu. Karibu sana Kocha wa Mpira ‘SMG’ #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Pyramid wamefuzu
    Pyramid wamefuzu
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·141 Visualizações
  • Live Far Rabat vs Raja Casablanca
    Live Far Rabat vs Raja Casablanca
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·134 Visualizações
  • Wewe una Uhakika Yanga Leo anatoboa?
    Wewe una Uhakika Yanga Leo anatoboa?🤔
    0 Comentários ·1 Compartilhamentos ·454 Visualizações
  • Wewe una Uhakika Yanga Leo anatoboa?
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·343 Visualizações
  • Virgil van dijk: "Pasi ya Messi kwenye Kombe la Dunia ilinivutia sana. Alifanyaje? Hata ukicheza PlayStation, hutafanya vizuri. Alifikiriaje kutoa pasi hiyo? Messi ana mfumo wa roboti akilini mwake unaomdhibiti. Mtu wa kawaida hawezi kufanya kitu kama hicho. Yeye ni mgeni. Kila wakati anaushangaza ulimwengu kwa mambo ya miujiza. Ninachopenda kwake ni unyenyekevu wake. Nilikutana naye kwenye sherehe ya Ballon d'Or na akaniambia kuwa mimi ni beki mzuri.

    Nilimwambia sijawahi kuogopa kukutana na mchezaji maishani mwangu hadi nilipocheza dhidi yako. Ulinipa usingizi usiku na kunifanya nifikirie mara mbilimbili. Yeye ndiye mchezaji bora, bila shaka. Nambari zake zinasema yote"

    Virgil Van Dijk alisema kuhusu Messi :

    Unapocheza dhidi ya Messi na yuko kwenye ubora wake, huwezi kufanya lolote. Ndiye mchezaji bora zaidi duniani. Na nina furaha sana Messi alishinda Kombe la Dunia Kubwa Zaidi ya Wakati Wote

    #neliudcosiah

    Virgil van dijk🗣️: "Pasi ya Messi kwenye Kombe la Dunia ilinivutia sana. Alifanyaje? Hata ukicheza PlayStation, hutafanya vizuri. Alifikiriaje kutoa pasi hiyo? Messi ana mfumo wa roboti akilini mwake unaomdhibiti. Mtu wa kawaida hawezi kufanya kitu kama hicho. Yeye ni mgeni. Kila wakati anaushangaza ulimwengu kwa mambo ya miujiza. Ninachopenda kwake ni unyenyekevu wake. Nilikutana naye kwenye sherehe ya Ballon d'Or na akaniambia kuwa mimi ni beki mzuri. Nilimwambia sijawahi kuogopa kukutana na mchezaji maishani mwangu hadi nilipocheza dhidi yako. Ulinipa usingizi usiku na kunifanya nifikirie mara mbilimbili. Yeye ndiye mchezaji bora, bila shaka. Nambari zake zinasema yote" Virgil Van Dijk alisema kuhusu Messi 🗣️: Unapocheza dhidi ya Messi na yuko kwenye ubora wake, huwezi kufanya lolote. Ndiye mchezaji bora zaidi duniani. Na nina furaha sana Messi alishinda Kombe la Dunia ✨🔥 Kubwa Zaidi ya Wakati Wote😭❤️🐐 #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·957 Visualizações