• ILIKUWA IMEBAKI NAFASI NDOGO NIJIUNGE NA CHELSEA: ROBERT CARLOS.

    Gwiji wa Brazil Roberto Carlos amefichua kuwa "alikuwa karibu sana" na kujiunga na Chelsea mwaka wa 2007, baada ya uhamisho huo kufeli dakika za mwisho.

    Beki huyo wa zamani alikuwa mchezaji huru wakati huo, baada ya kuachana na Real Madrid baada ya miaka 11 ya kubebea makombe ndani ya Santiago Bernabeu.

    Robert Aliongea Nilikuwa na mapendekezo mawili, Fenerbahce na Chelsea, "Chelsea haikufanya kazi kwa hivyo nilisaini Fenerbahce.

    "Lakini, na Chelsea, ilikaribia sana. Tulikubalians na ilibidi niende huko na kusaini mkataba.

    "Ilikuwa wiki moja tu kabla ya kusaini Fenerbahce na nilikuwa Paris kukutana na Roman Abramovich na (mtendaji mkuu wa zamani) Peter Kenyon.

    Kwa bahati mbaya, katika dakika za mwisho kitu hakikufanikiwa kabla tu ya kukamilika, ambayo hutokea sana katika soka. Kulikuwa na suala na wakili.

    "Hata hivyo, yote yalikubaliwa, na nina uhakika kwa asilimia 100 ningefanya vyema kwenye Ligi Kuu Ya Uingereza na ingelingana na sifa zangu."

    ROBERT CARLOS ALIIAMBIA (GOAL.)

    #neliudcosiah
    ILIKUWA IMEBAKI NAFASI NDOGO NIJIUNGE NA CHELSEA: ROBERT CARLOS✍️. Gwiji wa Brazil Roberto Carlos amefichua kuwa "alikuwa karibu sana" na kujiunga na Chelsea mwaka wa 2007, baada ya uhamisho huo kufeli dakika za mwisho. Beki huyo wa zamani alikuwa mchezaji huru wakati huo, baada ya kuachana na Real Madrid baada ya miaka 11 ya kubebea makombe ndani ya Santiago Bernabeu. Robert Aliongea 🗣️Nilikuwa na mapendekezo mawili, Fenerbahce na Chelsea, "Chelsea haikufanya kazi kwa hivyo nilisaini Fenerbahce. "Lakini, na Chelsea, ilikaribia sana. Tulikubalians na ilibidi niende huko na kusaini mkataba. "Ilikuwa wiki moja tu kabla ya kusaini Fenerbahce na nilikuwa Paris kukutana na Roman Abramovich na (mtendaji mkuu wa zamani) Peter Kenyon. Kwa bahati mbaya, katika dakika za mwisho kitu hakikufanikiwa kabla tu ya kukamilika, ambayo hutokea sana katika soka. Kulikuwa na suala na wakili. "Hata hivyo, yote yalikubaliwa, na nina uhakika kwa asilimia 100 ningefanya vyema kwenye Ligi Kuu Ya Uingereza na ingelingana na sifa zangu." ROBERT CARLOS ALIIAMBIA (GOAL.) #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·821 Views
  • Nadhani hii Sasa Imevuka kwenye Quality .......

    Khalid Aucho anaweza akawa siyo yule tena in terms of Physically lakin Whenever Aucho is in the Pitch Yanga Africans are safe .

    -Akili ya Mpira
    -Composure
    -Technical Ability
    -Game Passing

    Huyu Mganda anatawala sana Dimba la kati ...Hilal wana watu wagumu na wana kasi lakin Fundi alikua anaokota moja moja pakihitajika Kuvunja kuni anavunja kweli kweli ...

    Juzi Kuna Mashabiki Kutoka Uganda Walicomment kwenye post yake wakimtakia kheri na mechi bora wakaenda mbali zaidi na Kusema ,

    "Tunaomba walau nusu ya Kiwango chako Ndani ya Yanga Sc utuonyeshe Ukiwa na timu yetu ya Uganda Cranes "

    Wanamtambua kama moja ya Viungo bora ambao wamewahi Kuwashuhudia .....Binafsi huyu ni Kipimo halisi cha Kiungo wa Chini au holding Mid ndani ya Ligi yetu .

    THE TANK FOR REASON .

    #neliudcosiah
    Nadhani hii Sasa Imevuka kwenye Quality ....... Khalid Aucho anaweza akawa siyo yule tena in terms of Physically lakin Whenever Aucho is in the Pitch Yanga Africans are safe 🤝. -Akili ya Mpira -Composure -Technical Ability -Game Passing Huyu Mganda anatawala sana Dimba la kati ...Hilal wana watu wagumu na wana kasi lakin Fundi alikua anaokota moja moja pakihitajika Kuvunja kuni anavunja kweli kweli ... Juzi Kuna Mashabiki Kutoka Uganda Walicomment kwenye post yake wakimtakia kheri na mechi bora wakaenda mbali zaidi na Kusema , "Tunaomba walau nusu ya Kiwango chako Ndani ya Yanga Sc utuonyeshe Ukiwa na timu yetu ya Uganda Cranes " Wanamtambua kama moja ya Viungo bora ambao wamewahi Kuwashuhudia .....Binafsi huyu ni Kipimo halisi cha Kiungo wa Chini au holding Mid ndani ya Ligi yetu . THE TANK FOR REASON ✅. #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Shida ni Kwamba watu hupokea taarifa KWA mihemko ila Tanzania na afrika mashariki hakuna defensive midfield kama khalid aucho na hata wanaocheza ndani ya ligi kuu hakuna na huyu ndo anafanya GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe Tamu San
    Na kocha jana aliona ni vipi akimtoa aucho mechi kadhaa timu inapoteza mvuto jana akaamua amuache asimguse kabisa
    Huyu ni KHALID AUCHO huyu ni JINJA MAESTRO
    Juzi mashabiki wa uganda walicomment kweny ukurasa wake na kumtakia mchezo mwema na wanasema wanataman aucho awaonyeshe nusu ya kiwango chake kweny timu ya taifa wakilinganisha na
    anachokionyesha yanga

    #neliudcosiah
    Shida ni Kwamba watu hupokea taarifa KWA mihemko ila Tanzania na afrika mashariki hakuna defensive midfield kama khalid aucho na hata wanaocheza ndani ya ligi kuu hakuna na huyu ndo anafanya GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe Tamu San Na kocha jana aliona ni vipi akimtoa aucho mechi kadhaa timu inapoteza mvuto jana akaamua amuache asimguse kabisa Huyu ni KHALID AUCHO huyu ni JINJA MAESTRO 💚💛💚💛 Juzi mashabiki wa uganda walicomment kweny ukurasa wake na kumtakia mchezo mwema na wanasema wanataman aucho awaonyeshe nusu ya kiwango chake kweny timu ya taifa wakilinganisha na anachokionyesha yanga #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·867 Views
  • Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal Kalidou Koulibaly aliwahi kunukuliwa akisema " Siwezi kusahau siku ambayo Mtoto wangu alizaliwa. Mke wangu alienda Clinic asubuhi na tulikuwa tukicheza na Sassuolo nyumbani kwetu kwenye siku hiyohiyo. Kipindi tukiwa kwenye kipindi cha video simu yangu ilikuwa ikiita "

    " Mke wangu alinipigia mara 6 au mara 5 . Nilitoka nje na Mke wangu akaniambia " Ni lazima uje ,Mtoto wetu atazaliwa " . Kwahiyo nilienda kumuona Sarri ( Kocha wa Napoli kipindi hicho) na kumwambia "Mwalimu, Samahani , Inabidi niondoke sasa hivi , Mtoto wangu anaenda kuzaliwa "

    "Aliniangalia na kusema " Hapana Hapana Hapana . Nakuhitaji usiku wa leo Koulibaly . Hauwezi kwenda . Nilisisitiza " Ni siku ya kuzaliwa ya Mwanangu"

    " Unaweza kufanya chochote unachotaka kwangu,Ninyonge lakini sijali .Mimi naenda ,Sarri alisema "Sawa unaweza kwenda Clinic , Lakini inabidi urudi kwenye mchezo usiku wa leo . Nakuhitaji Koul " .

    "Nilifika Clinic saa 1:30 mchana na ninamshukuru Mungu niliweza kushuhudia Mtoto wangu akizaliwa . Ilikuwa siku bora kwenye maisha yangu ".

    " Saa 10 jioni ,Sarri alinipigia simu na kuniambia nirudi ,Mke wangu alinihitaji sana lakini aliniruhusu nikajiunge na Timu kiwanjani . Nilienda lakini pindi nilivyoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo , Niliona Sarri akionesha kikosi " .

    " Niliangalia jina langu pale ,Namba yangu haikuwepo . Nilimwambia " Mheshimiwa nina imani unatania ? Mtoto wangu ,Mke wangu ,Nimewaacha , Ulisema unanihitaji mimi" , Ndipo akajibu " Ndio nakuhitaji .... Kwenye Benchi" .Nikifikiria jambo hilo kwasasa nahisi kucheka . Lakini kwa muda ule , Nilitaka kulia "

    -Kalidou Koulibaly mchezaji wa Klabu ya Al Hilal na timu ya Taifa ya Senegal
    #neliudcosiah
    Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Senegal Kalidou Koulibaly aliwahi kunukuliwa akisema " Siwezi kusahau siku ambayo Mtoto wangu alizaliwa. Mke wangu alienda Clinic asubuhi na tulikuwa tukicheza na Sassuolo nyumbani kwetu kwenye siku hiyohiyo. Kipindi tukiwa kwenye kipindi cha video simu yangu ilikuwa ikiita " " Mke wangu alinipigia mara 6 au mara 5 . Nilitoka nje na Mke wangu akaniambia " Ni lazima uje ,Mtoto wetu atazaliwa " . Kwahiyo nilienda kumuona Sarri ( Kocha wa Napoli kipindi hicho) na kumwambia "Mwalimu, Samahani , Inabidi niondoke sasa hivi , Mtoto wangu anaenda kuzaliwa " "Aliniangalia na kusema " Hapana Hapana Hapana . Nakuhitaji usiku wa leo Koulibaly . Hauwezi kwenda . Nilisisitiza " Ni siku ya kuzaliwa ya Mwanangu" " Unaweza kufanya chochote unachotaka kwangu,Ninyonge lakini sijali .Mimi naenda ,Sarri alisema "Sawa unaweza kwenda Clinic , Lakini inabidi urudi kwenye mchezo usiku wa leo . Nakuhitaji Koul " . "Nilifika Clinic saa 1:30 mchana na ninamshukuru Mungu niliweza kushuhudia Mtoto wangu akizaliwa . Ilikuwa siku bora kwenye maisha yangu ". " Saa 10 jioni ,Sarri alinipigia simu na kuniambia nirudi ,Mke wangu alinihitaji sana lakini aliniruhusu nikajiunge na Timu kiwanjani . Nilienda lakini pindi nilivyoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo , Niliona Sarri akionesha kikosi " . " Niliangalia jina langu pale ,Namba yangu haikuwepo . Nilimwambia " Mheshimiwa nina imani unatania ? Mtoto wangu ,Mke wangu ,Nimewaacha , Ulisema unanihitaji mimi" , Ndipo akajibu " Ndio nakuhitaji .... Kwenye Benchi" .Nikifikiria jambo hilo kwasasa nahisi kucheka . Lakini kwa muda ule , Nilitaka kulia " -Kalidou Koulibaly mchezaji wa Klabu ya Al Hilal na timu ya Taifa ya Senegal #neliudcosiah
    Like
    2
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·984 Views
  • Like
    Sad
    Love
    6
    · 5 Commentarios ·0 Acciones ·367 Views ·85
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·277 Views
  • Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linatarajiwa kutoa Tuzo kwa Wachekeshaji bora wa mwaka 2024 kupitia TANZANIA COMEDY AWARDS 2024 zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi 14/2/2024
    1 Commentarios ·0 Acciones ·607 Views
  • Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001

    The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau

    #neliudcosiah
    Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001 The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau 😀 #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·745 Views
  • #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea

    Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora.

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo.

    MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala:
    "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo."

    Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo.

    Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa:

    1. Cast and Crow - waliopata kura 11

    2. Moms - waliopata kura 3

    3. Mungu - aliyepata kura 0

    Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani.
    N.B, MUNGU HADHIHAKIWI

    #neliudcosiah
    #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora. Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo. MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala: "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo." Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo. Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa: 1. Cast and Crow - waliopata kura 11 2. Moms - waliopata kura 3 3. Mungu - aliyepata kura 0 Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani. N.B, MUNGU HADHIHAKIWI ✍️ #neliudcosiah
    Like
    Love
    3
    · 1 Commentarios ·1 Acciones ·1K Views
  • Kwenye viwango vya timu bora barani Afrika chini ya CAF, Yanga tuna alama 34 mpaka sasa na ikitokea Yanga tumefuzu kwenda robo fainali tutafikisha alama 39 na kuzishusha timu 2 kwenye top 10 ya CAF.

    Na ikitokea Yanga tumefika nusu fainali basi tutaingia Moja Kwa moja kwenye 5 bora ya CAF. Misimu 3 ya KIBABE.

    Mwaka huu tunaenda kufyeka kichaka Cha Makolo Cha CAF ranking ndo walikuwa wamejificha Kwa mda mrefu

    Pichani hapo chini ni Aziz Ki Stephanie Pamoja na Clement Mzize mzee wa maloketi wote watafunga kwenye mchezo wetu wa tarehe 18/1/2025 dhidi ya MC ALGER kwenye uwanja wa Mkapa.

    #neliudcosiah
    Kwenye viwango vya timu bora barani Afrika chini ya CAF, Yanga tuna alama 34 mpaka sasa na ikitokea Yanga tumefuzu kwenda robo fainali tutafikisha alama 39 na kuzishusha timu 2 kwenye top 10 ya CAF. Na ikitokea Yanga tumefika nusu fainali basi tutaingia Moja Kwa moja kwenye 5 bora ya CAF. Misimu 3 ya KIBABE. Mwaka huu tunaenda kufyeka kichaka Cha Makolo Cha CAF ranking ndo walikuwa wamejificha Kwa mda mrefu 🤣🤭 Pichani hapo chini ni Aziz Ki Stephanie 🔑 Pamoja na Clement Mzize mzee wa maloketi wote watafunga kwenye mchezo wetu wa tarehe 18/1/2025 dhidi ya MC ALGER kwenye uwanja wa Mkapa. #neliudcosiah
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·747 Views