Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 06:25:19 ·
    "Habari za Asubuhi wana Simba

    Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi.

    Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu

    Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo

    Na wengi wamesisitiza iandaliwe sehemu maalumu Wana Simba tukutane tuangalie kwa pamoja mechi

    Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kuwa tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja

    Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili

    Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu kama kawaida wa kwenda Uwanjani

    Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu

    Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu kama haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu kama huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena

    Nguvu Moja - Ubaya Ubwela" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Habari za Asubuhi wana Simba Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi. Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo Na wengi wamesisitiza iandaliwe sehemu maalumu Wana Simba tukutane tuangalie kwa pamoja mechi Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kuwa tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu kama kawaida wa kwenda Uwanjani Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu kama haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu kama huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena Nguvu Moja - Ubaya Ubwela" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·783 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 06:36:19 ·
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 5 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·423 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 06:43:24 ·
    Like
    Love
    8
    · 16 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·418 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Happiness Minja @Happyminja πρόσθεσε μια φωτογραφία & είναι Νιώθω.. Λατρεμένος
    2025-01-15 07:11:43 ·
    Ukitaka kufika mbali katika maisha usiende pekeyako
    Ukitaka kufika mbali katika maisha usiende pekeyako💪
    Like
    Love
    2
    · 4 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·495 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:42:37 ·
    Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo.

    Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo. Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·425 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:43:42 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.

    Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·188 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:44:48 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini.

    Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·335 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Last Born @dreamstz μοιράστηκε ένα σύνδεσμο
    2025-01-15 11:16:14 ·
    https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO*
    Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300.
    Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa.
    Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi.
    Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO* Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300. Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa. Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi. Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    www.instagram.com
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·807 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 14:37:01 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·149 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 14:37:14 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·150 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20911-20920 από 27903)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2090
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • 2094
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers