• "Habari za Asubuhi wana Simba

    Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi.

    Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu

    Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo

    Na wengi wamesisitiza iandaliwe sehemu maalumu Wana Simba tukutane tuangalie kwa pamoja mechi

    Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kuwa tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja

    Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili

    Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu kama kawaida wa kwenda Uwanjani

    Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu

    Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu kama haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu kama huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena

    Nguvu Moja - Ubaya Ubwela" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Habari za Asubuhi wana Simba Baada ya jana kupokea hukumu ya CAF kuhusu kufungiwa Mashabiki katika mchezo wetu dhidi Costantine kumekua na mawazo na maoni mengi. Wapo wanaosema tiketi ziendelee kuuzwa ili Wana Simba tuchangie faini iliyotozwa klabu yetu Wapo wanaosema klabu iandae utaratibu maalumu watu wachangie kuipunguzia klabu mzigo wa adhabu ya faini hiyo Na wengi wamesisitiza iandaliwe sehemu maalumu Wana Simba tukutane tuangalie kwa pamoja mechi Kwanza niseme nimefurahishwa na fikra za Wana Simba kulichukua hili kuwa tatizo letu sote na tuko tayari kulitatua kwa pamoja Pili niwaombe Wana Simba tutulie wakati huu ambao Viongozi wetu wakiangalia namna sahihi ya kuliendea jambo hili Tatu niwatoe hofu Wana Simba kuwa adhabu yetu inahusu mechi moja tuu ya Jumapili, Robo Fainali tutaendelea na utaratibu wetu kama kawaida wa kwenda Uwanjani Nichukue nafasi hii kuwapa pole Wana Simba wote ambao tumeumizwa na kadhia hii iliyotokea kwa mara ya kwanza katika maisha yetu Mwisho kabisa ili kuepuka kupata maumivu kama haya ya kukosa kuiona Live timu yetu ikicheza mchezo muhimu kama huu hatuna budi sisi Mashabiki kujifunza kupitia sakata ili lisijirudie tena Nguvu Moja - Ubaya Ubwela" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·783 Visualizações
  • Like
    Love
    Haha
    6
    · 5 Comentários ·0 Compartilhamentos ·423 Visualizações
  • Like
    Love
    8
    · 16 Comentários ·0 Compartilhamentos ·418 Visualizações
  • Ukitaka kufika mbali katika maisha usiende pekeyako
    Ukitaka kufika mbali katika maisha usiende pekeyako💪
    Like
    Love
    2
    · 4 Comentários ·0 Compartilhamentos ·495 Visualizações
  • Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo.

    Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo. Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·425 Visualizações
  • Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.

    Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·188 Visualizações
  • Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini.

    Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·335 Visualizações
  • https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO*
    Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300.
    Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa.
    Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi.
    Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO* Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300. Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa. Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi. Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·807 Visualizações
  • Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·149 Visualizações
  • Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·150 Visualizações