Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:42:37 ·
    Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo.

    Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi, Yoon Suk Yeol amekamatwa kufuatia tuhuma za uasi dhidi yake, na kuwa Rais wa kwanza aliye madarakani kukamatwa nchini humo. Rais Yoon amesema amekubali kufika mbele ya Ofisi ya Uchunguzi wa Ufisadi, ingawa ni uchunguzi usio halali, ili kuzuia umwagaji wa damu.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·330 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:43:42 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.

    Rais Samia Suluhu amemteua Prof. Othman Chande Othman kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kipindi cha pili.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·178 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 08:44:48 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini.

    Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Rais Samia Suluhu amemteua Mhandisi Ramadhani Masoud Lwamo kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini. Kabla ya uteuzi huo Mhandisi Lwamo alikuwa akikaimu nafasi hiyo.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·271 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Last Born @dreamstz μοιράστηκε ένα σύνδεσμο
    2025-01-15 11:16:14 ·
    https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO*
    Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300.
    Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa.
    Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi.
    Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO* Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300. Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa. Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi. Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.
    www.instagram.com
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·654 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 14:37:01 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·140 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 14:37:14 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·142 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 14:38:18 ·
    "The Unforgetable THROW BACK
    Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa

    NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa
    Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    "The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥 Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa 👑 NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa💪💪💪 Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Last Born @dreamstz
    2025-01-15 15:09:43 ·
    Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu
    Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·377 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2025-01-15 15:45:30 ·
    Like
    Love
    6
    · 8 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·467 Views ·118
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-15 19:28:10 ·
    Harmonize
    Harmonize ✍️
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·595 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20921-20930 από 26021)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2091
  • 2092
  • 2093
  • 2094
  • 2095
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers