• "The Unforgetable THROW BACK
    Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa

    NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa
    Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    "The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥 Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat @sir_nature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003, Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania @majani187 of BONGO RECORDS na @solothang_aka_ulamaa 👑 NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa💪💪💪 Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???" - Professor Jay, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu
    Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·497 Views
  • Like
    Love
    6
    · 8 Commentarios ·0 Acciones ·502 Views ·118
  • Harmonize
    Harmonize ✍️
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·724 Views
  • Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·142 Views
  • Jay Melody amemchana Mwijaku kisa madai yake kuwa Diamond Platnumz akifanya collabo na Msanii wa Tanzania basi Msanii huyo anapokea.

    Mwijaku anadai kuwa toka Diamond Platnumz amshirikishe Jay Melody kwenye wimbo wa "Mapozi", Jay Melody amepotea mazima.

    Jay Melody amemchana Mwijaku kisa madai yake kuwa Diamond Platnumz akifanya collabo na Msanii wa Tanzania basi Msanii huyo anapokea. Mwijaku anadai kuwa toka Diamond Platnumz amshirikishe Jay Melody kwenye wimbo wa "Mapozi", Jay Melody amepotea mazima.
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·721 Views
  • Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·167 Views
  • Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·174 Views
  • Like
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·183 Views
  • Like
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·175 Views