Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 11:16:40 ·
    Mwaka 1961, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Patrice Lumumba, aliuawa mikononi mwa mahasimu wake wa ndani kwa usaidizi wa serikali ya Ubelgiji na CIA baada ya migogoro ya kisiasa.

    Lumumba alikabidhiwa kwa wapinzani wake wa kisiasa na kuuawa kwa kupigwa risasi, huku mwili wake ukiharibiwa ili kuficha ushahidi. Mwaka 2002, Ubelgiji ilikiri kuhusika kwake katika mauaji hayo na kuomba radhi

    Lumumba anakumbukwa kama shujaa wa Afrika, aliyehamasisha mapambano dhidi ya ukoloni.

    Mwaka 1961, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Patrice Lumumba, aliuawa mikononi mwa mahasimu wake wa ndani kwa usaidizi wa serikali ya Ubelgiji na CIA baada ya migogoro ya kisiasa. Lumumba alikabidhiwa kwa wapinzani wake wa kisiasa na kuuawa kwa kupigwa risasi, huku mwili wake ukiharibiwa ili kuficha ushahidi. Mwaka 2002, Ubelgiji ilikiri kuhusika kwake katika mauaji hayo na kuomba radhi Lumumba anakumbukwa kama shujaa wa Afrika, aliyehamasisha mapambano dhidi ya ukoloni.
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·532 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 11:59:47 ·
    ....Kama unaamini huyo demu uliyonae ndo amani ya moyo wako basi,hata Young Africans ukiwauliza watakwambia Khalid Aucho the Tank , Daktari wa Mpira ndio amani ya Timu yao.

    ......Hakuna shaka yoyote kua Khalid Aucho akiwa eneo la kati kati la timu Yang ndani ya uwanja hata wachezaji wenzake huenjoy, halafu juu yake asimame mzenji Mudathiri Yahya aaah ni Raha mtupu.

    .......hata ukicheki mechi Mbili za mwisho za Champions league dhidi ya Tp mazembe ambazo ndio alirejea Kutoka majeruhi Kuna kitu amekiongeza Kwa hali ya juu tofauti na Ile partnership ya Duke abuya na Mudathiri Kuna kitu kilikua kinapungua hasa kwenye ulinzi,yaani yule cover man Kipindi Yanga wanashambulia alikua anakosekana.

    ......You know what ukubali ukatae Khalid Aucho ndio mbeba maono kunako klabu ya Yanga,atapiga pasi fupi fupi,ataipa timu balance ya kucheza,pia atailinda timu mda inashambulia, kwenye nguvu atatumia nguvu , kwenye akili atatumia akili,ni complete namba six.

    ...... Anaitwa Jinja maestro Khalid Aucho Kutoka pale Kwa Rais museveni Uganda.

    Usisahau kufollow Neliud Cosiah
    ....🎙️Kama unaamini huyo demu uliyonae ndo amani ya moyo wako basi,hata Young Africans ukiwauliza watakwambia Khalid Aucho the Tank , Daktari wa Mpira ndio amani ya Timu yao. ......Hakuna shaka yoyote kua Khalid Aucho akiwa eneo la kati kati la timu Yang ndani ya uwanja hata wachezaji wenzake huenjoy, halafu juu yake asimame mzenji Mudathiri Yahya aaah ni Raha mtupu. .......hata ukicheki mechi Mbili za mwisho za Champions league dhidi ya Tp mazembe ambazo ndio alirejea Kutoka majeruhi Kuna kitu amekiongeza Kwa hali ya juu tofauti na Ile partnership ya Duke abuya na Mudathiri Kuna kitu kilikua kinapungua hasa kwenye ulinzi,yaani yule cover man Kipindi Yanga wanashambulia alikua anakosekana. ......You know what ukubali ukatae Khalid Aucho ndio mbeba maono kunako klabu ya Yanga,atapiga pasi fupi fupi,ataipa timu balance ya kucheza,pia atailinda timu mda inashambulia, kwenye nguvu atatumia nguvu , kwenye akili atatumia akili,ni complete namba six. ...... Anaitwa Jinja maestro Khalid Aucho Kutoka pale Kwa Rais museveni Uganda. Usisahau kufollow Neliud Cosiah
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:45:17 ·
    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.

    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·747 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:45:30 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·147 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:45:51 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·145 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:46:07 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·146 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:46:24 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·147 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 16:20:58 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

    Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·406 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 17:18:04 ·
    Wabunge wa Marekani wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho.

    "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey

    Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170).

    Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani .

    Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.

    Wabunge wa Marekani 🇺🇸 wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho. "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170). Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani . Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 17:19:05 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·145 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20961-20970 από 27899)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2095
  • 2096
  • 2097
  • 2098
  • 2099
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers