Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:10:34 ·
    Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara .

    Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla

    Source : @fabriziorom @davidornstein

    Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.!

    #neliudcosih
    Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara . Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla Source : @fabriziorom @davidornstein Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.! 😀 #neliudcosih
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·826 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:14:22 ·
    Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi.

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa.
    Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi. Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·601 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:15:01 ·
    Wizara ya Fedha imewatahadharisha wastaafu wote nchini kuwa makini na ujumbe mfupi unaotumwa wa kitapeli, ukionesha mtu aliyetumiwa ujumbe alipigiwa simu na Hazina na hakupatikana, na anahitajika kufika Ofisi za Hazina Ndogo huku ukimtaka apige simu kwa namba zilizoandikwa kwenye ujumbe kwa maelezo zaidi.

    Wizara imesema hakuna zoezi lolote la uhakiki wa mafao linalofanywa na Hazina na huduma za wastaafu hutolewa bure.
    Wizara ya Fedha imewatahadharisha wastaafu wote nchini kuwa makini na ujumbe mfupi unaotumwa wa kitapeli, ukionesha mtu aliyetumiwa ujumbe alipigiwa simu na Hazina na hakupatikana, na anahitajika kufika Ofisi za Hazina Ndogo huku ukimtaka apige simu kwa namba zilizoandikwa kwenye ujumbe kwa maelezo zaidi. Wizara imesema hakuna zoezi lolote la uhakiki wa mafao linalofanywa na Hazina na huduma za wastaafu hutolewa bure.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·254 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:15:58 ·
    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kuzifungia laini za simu 12,896 kutokana na kujihusisha na vitendo vya ulaghai wa mtandaoni kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

    Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabir Bakari amesema matukio ya ulaghai kwa njia ya simu yamepungua kwa asilimia 19 kutoka laini za simu 16,002 Julai na Septemba 2024 hadi 12,896 Oktoba na Desemba 2024, ikiwa ni punguzo la laini 3,106.
    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kuzifungia laini za simu 12,896 kutokana na kujihusisha na vitendo vya ulaghai wa mtandaoni kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabir Bakari amesema matukio ya ulaghai kwa njia ya simu yamepungua kwa asilimia 19 kutoka laini za simu 16,002 Julai na Septemba 2024 hadi 12,896 Oktoba na Desemba 2024, ikiwa ni punguzo la laini 3,106.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·230 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1 πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-01-17 10:25:34 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·496 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 10:47:13 ·
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    4
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 11:16:40 ·
    Mwaka 1961, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Patrice Lumumba, aliuawa mikononi mwa mahasimu wake wa ndani kwa usaidizi wa serikali ya Ubelgiji na CIA baada ya migogoro ya kisiasa.

    Lumumba alikabidhiwa kwa wapinzani wake wa kisiasa na kuuawa kwa kupigwa risasi, huku mwili wake ukiharibiwa ili kuficha ushahidi. Mwaka 2002, Ubelgiji ilikiri kuhusika kwake katika mauaji hayo na kuomba radhi

    Lumumba anakumbukwa kama shujaa wa Afrika, aliyehamasisha mapambano dhidi ya ukoloni.

    Mwaka 1961, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Patrice Lumumba, aliuawa mikononi mwa mahasimu wake wa ndani kwa usaidizi wa serikali ya Ubelgiji na CIA baada ya migogoro ya kisiasa. Lumumba alikabidhiwa kwa wapinzani wake wa kisiasa na kuuawa kwa kupigwa risasi, huku mwili wake ukiharibiwa ili kuficha ushahidi. Mwaka 2002, Ubelgiji ilikiri kuhusika kwake katika mauaji hayo na kuomba radhi Lumumba anakumbukwa kama shujaa wa Afrika, aliyehamasisha mapambano dhidi ya ukoloni.
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·510 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 11:59:47 ·
    ....Kama unaamini huyo demu uliyonae ndo amani ya moyo wako basi,hata Young Africans ukiwauliza watakwambia Khalid Aucho the Tank , Daktari wa Mpira ndio amani ya Timu yao.

    ......Hakuna shaka yoyote kua Khalid Aucho akiwa eneo la kati kati la timu Yang ndani ya uwanja hata wachezaji wenzake huenjoy, halafu juu yake asimame mzenji Mudathiri Yahya aaah ni Raha mtupu.

    .......hata ukicheki mechi Mbili za mwisho za Champions league dhidi ya Tp mazembe ambazo ndio alirejea Kutoka majeruhi Kuna kitu amekiongeza Kwa hali ya juu tofauti na Ile partnership ya Duke abuya na Mudathiri Kuna kitu kilikua kinapungua hasa kwenye ulinzi,yaani yule cover man Kipindi Yanga wanashambulia alikua anakosekana.

    ......You know what ukubali ukatae Khalid Aucho ndio mbeba maono kunako klabu ya Yanga,atapiga pasi fupi fupi,ataipa timu balance ya kucheza,pia atailinda timu mda inashambulia, kwenye nguvu atatumia nguvu , kwenye akili atatumia akili,ni complete namba six.

    ...... Anaitwa Jinja maestro Khalid Aucho Kutoka pale Kwa Rais museveni Uganda.

    Usisahau kufollow Neliud Cosiah
    ....🎙️Kama unaamini huyo demu uliyonae ndo amani ya moyo wako basi,hata Young Africans ukiwauliza watakwambia Khalid Aucho the Tank , Daktari wa Mpira ndio amani ya Timu yao. ......Hakuna shaka yoyote kua Khalid Aucho akiwa eneo la kati kati la timu Yang ndani ya uwanja hata wachezaji wenzake huenjoy, halafu juu yake asimame mzenji Mudathiri Yahya aaah ni Raha mtupu. .......hata ukicheki mechi Mbili za mwisho za Champions league dhidi ya Tp mazembe ambazo ndio alirejea Kutoka majeruhi Kuna kitu amekiongeza Kwa hali ya juu tofauti na Ile partnership ya Duke abuya na Mudathiri Kuna kitu kilikua kinapungua hasa kwenye ulinzi,yaani yule cover man Kipindi Yanga wanashambulia alikua anakosekana. ......You know what ukubali ukatae Khalid Aucho ndio mbeba maono kunako klabu ya Yanga,atapiga pasi fupi fupi,ataipa timu balance ya kucheza,pia atailinda timu mda inashambulia, kwenye nguvu atatumia nguvu , kwenye akili atatumia akili,ni complete namba six. ...... Anaitwa Jinja maestro Khalid Aucho Kutoka pale Kwa Rais museveni Uganda. Usisahau kufollow Neliud Cosiah
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·978 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:45:17 ·
    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.

    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·637 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-17 14:45:30 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·136 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20961-20970 από 26000)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2095
  • 2096
  • 2097
  • 2098
  • 2099
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers