• Sn
    Sn
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 632 Views
  • CEO wa bodi ya ligi Almasi Kasongo amesema ratiba ya ligi kuu ipo tayari kwa asilimia 99.9 na wanafikiria kuitangaza kesho

    “Ratiba ipo tayari kwa asilimia 99.9 imani yangu ni kuwa kesho tutaitangaza ratiba ya ligi kuu kwa msimu 2024/25”. CEO wa bodi ya Ligi Almasi Kasongo kuhusu ratiba ya ligi kuu
    #paulswai
    CEO wa bodi ya ligi Almasi Kasongo amesema ratiba ya ligi kuu ipo tayari kwa asilimia 99.9 na wanafikiria kuitangaza kesho “Ratiba ipo tayari kwa asilimia 99.9 imani yangu ni kuwa kesho tutaitangaza ratiba ya ligi kuu kwa msimu 2024/25”. CEO wa bodi ya Ligi Almasi Kasongo kuhusu ratiba ya ligi kuu #paulswai
    Like
    Love
    3
    0 Reacties 0 aandelen 202 Views
  • Ndio Yale yakupita mlango wapili, huku wakijua kuwa watalipa tuu faini, Mimi nafikiri iongezwe
    #paulswai
    Ndio Yale yakupita mlango wapili, huku wakijua kuwa watalipa tuu faini, Mimi nafikiri iongezwe 😄😄🤝 #paulswai
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 150 Views
  • CEO wa Bodi ya Ligi ALMAS KASONGO amesema kuwa msimu ujao wa ligi kuu watatoa adhabu kwa maofisa wa habari ambao watakiuka kanuni kwa kushindwa kuzungumzia mpira na kuchekesha.

    "Kuna muda nashangaa najiuliza huyu ni afisa Habari au Comedian,sasa adhabu itawahusu," CEO KASONGO
    🚨CEO wa Bodi ya Ligi ALMAS KASONGO amesema kuwa msimu ujao wa ligi kuu watatoa adhabu kwa maofisa wa habari ambao watakiuka kanuni kwa kushindwa kuzungumzia mpira na kuchekesha. "Kuna muda nashangaa najiuliza huyu ni afisa Habari au Comedian,sasa adhabu itawahusu," CEO KASONGO
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 477 Views
  • Timu za ligi kuu zinatakiwa kujumuisha walau wachezaji wawili wanaotoka katika timu zao za Vijana kwenye kikosi cha wachezaji watakaocheza mechi za ligi kuu, watumike au wasitumike hilo ni jambo la kocha lakini wawepo kwenye benchi,mpango ni kuinua soka la Vijana" KASONGO CEO
    🚨Timu za ligi kuu zinatakiwa kujumuisha walau wachezaji wawili wanaotoka katika timu zao za Vijana kwenye kikosi cha wachezaji watakaocheza mechi za ligi kuu, watumike au wasitumike hilo ni jambo la kocha lakini wawepo kwenye benchi,mpango ni kuinua soka la Vijana" KASONGO CEO
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 144 Views
  • Kanuni mpya ya Ligi Kuu imeruhusiwa timu za Ligi Kuu Tanzania bara kutumia viwanja vya Unguja au Pemba ikiwa vitakidhi vigezo.

    “Tayari kuna timu moja imeshaomba kutumia uwanja wa New Amaan Complex na tumeshaipokea barua yao tutaitolea majibu siku za karibuni” Almas Kasongo,CEO
    Kanuni mpya ya Ligi Kuu imeruhusiwa timu za Ligi Kuu Tanzania bara kutumia viwanja vya Unguja au Pemba ikiwa vitakidhi vigezo. “Tayari kuna timu moja imeshaomba kutumia uwanja wa New Amaan Complex na tumeshaipokea barua yao tutaitolea majibu siku za karibuni” Almas Kasongo,CEO
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 152 Views
  • Like
    3
    0 Reacties 0 aandelen 203 Views
  • Kuna makosa gani katika picha hii
    Kuna makosa gani katika picha hii
    Like
    Love
    3
    2 Reacties 0 aandelen 210 Views
  • Haha
    Like
    Love
    4
    1 Reacties 0 aandelen 204 Views 76
  • K/KOO DERBY | SIMBA vs YANGA

    MWAMUZI WA KATI
    ELLY SASII (DARES SALAAM)

    MWAMUZI MSAIDIZI 1
    MOHAMED MKONO (TANGA)

    MWAMUZI MSAIDIZI 2
    KASSIM MPANGA (DARES SALAAM)

    MWAMUZI WA AKIBA
    AMINA KYANDO (MOROGORO)

    MTATHMINI WAAMUZI
    SOUD ABDI (ARUSHA)
    K/KOO DERBY | SIMBA vs YANGA MWAMUZI WA KATI ELLY SASII (DARES SALAAM) MWAMUZI MSAIDIZI 1 MOHAMED MKONO (TANGA) MWAMUZI MSAIDIZI 2 KASSIM MPANGA (DARES SALAAM) MWAMUZI WA AKIBA AMINA KYANDO (MOROGORO) MTATHMINI WAAMUZI SOUD ABDI (ARUSHA)
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 980 Views