Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Dj_mwinyi Killer 223 @Dj_m223 обновить изображение профиля
    2025-01-20 03:41:14 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·273 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Zainab Swedi @zee400 обновить изображение профиля
    2025-01-20 05:37:34 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·283 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Zainab Swedi @zee400 обновить изображение профиля
    2025-01-20 05:38:28 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·273 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Zainab Swedi @zee400
    2025-01-20 05:47:28 ·
    To work hard , so as to success
    To work hard , so as to success
    0 Комментарии ·0 Поделились ·286 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Williams Gee @Williams123 обновить изображение профиля
    2025-01-20 05:52:12 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·239 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-20 05:54:26 ·
    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Israel ina haki ya kuanza tena mapigano na Hamas kwa njia mpya na kwa nguvu mpya kama ikihitajika, iwapo mazungumzo zaidi ya kusitisha mapigano yatavunjika.

    Makubaliano ya kusitisha mapigano na Hamas, yanatarajiwa kuanza kutekelezwa Jumapili asubuhi kwa saa za huko.

    Netanyahu amebainisha kuwa marais wawili wa Marekani, Joe Biden anayemaliza muda wake na anayetarajiwa kuingia madarakani, Donald Trump, wanaiunga mkono Israel kurejea kupigana, iwapo mazungumzo ya awamu ya pili ya makubaliano yatashindikana.
    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amesema Israel ina haki ya kuanza tena mapigano na Hamas kwa njia mpya na kwa nguvu mpya kama ikihitajika, iwapo mazungumzo zaidi ya kusitisha mapigano yatavunjika. Makubaliano ya kusitisha mapigano na Hamas, yanatarajiwa kuanza kutekelezwa Jumapili asubuhi kwa saa za huko. Netanyahu amebainisha kuwa marais wawili wa Marekani, Joe Biden anayemaliza muda wake na anayetarajiwa kuingia madarakani, Donald Trump, wanaiunga mkono Israel kurejea kupigana, iwapo mazungumzo ya awamu ya pili ya makubaliano yatashindikana.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·201 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-20 05:56:14 ·
    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amempendekeza Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mweza wa Rais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amempendekeza Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mweza wa Rais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·462 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-20 05:56:56 ·
    “Ushindi wa CCM katika uchaguzi mwaka huu hauna mjadala. Wagombea watakuwepo wa vyama vingine lakini sioni namna wanavyoweza kuishinda CCM. Lakini sio kwa ujanja ujanja ni kwa sababu yapo mambo mengi mazuri yaliyofanywa na serikali zetu mbili, lakini ni mambo ambayo yana manufaa kwa Watanzania.” – Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Tanzania
    “Ushindi wa CCM katika uchaguzi mwaka huu hauna mjadala. Wagombea watakuwepo wa vyama vingine lakini sioni namna wanavyoweza kuishinda CCM. Lakini sio kwa ujanja ujanja ni kwa sababu yapo mambo mengi mazuri yaliyofanywa na serikali zetu mbili, lakini ni mambo ambayo yana manufaa kwa Watanzania.” – Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Tanzania
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·609 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 добавлены фото
    2025-01-20 05:57:37 ·
    Mwaka 1966, Indira Gandhi alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa nne wa India, akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini humo.
    Mwaka 1966, Indira Gandhi alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa nne wa India, akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini humo.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·165 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Zainab Swedi @zee400 общий Social Pop все видео
    2025-01-20 06:02:10 ·
    Social Pop @Socialpop1 добавлено видео in Общий
    2024-09-12 13:36:37 ·
    Pachamondtz Official Ambassodor wa socialPop
    0 Комментарии ·0 Поделились ·282 Просмотры ·14999
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (21331-21340 из 25735)
  • «
  • Назад
  • 2132
  • 2133
  • 2134
  • 2135
  • 2136
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики