نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Mohamed Yusuph @Moh96 أضاف فيديو in عام
    2025-01-23 00:34:14 ·
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·283 مشاهدة ·2
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Mohamed Yusuph @Moh96 أضاف فيديو in عام
    2025-01-23 00:37:50 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·272 مشاهدة ·2
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Mohamed Yusuph @Moh96 أضاف فيديو in عام
    2025-01-23 00:39:40 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·282 مشاهدة ·1
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Baraka Masaulwa @baraka1 أضاف صورة
    2025-01-23 05:13:31 ·
    0629365663
    Tupo Dodoma mjini
    0629365663 Tupo Dodoma mjini
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·504 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Pocc Lee @Pocclee أضاف فيديو in عام
    2025-01-23 05:46:24 ·
    😂😂
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·269 مشاهدة ·2
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-23 06:10:57 ·
    Mchezaji wetu wa kimataifa Wa Tanzania Arthur Bada Mara baada ya kubadili Uraia na kuwa Mtanzania Ameanza mchakato wa kupata kabila

    Sasa Tupo Arusha huku kambini kuna hawa wameru anawaona kila saa naona anang'ang'ania kweli kuwa mmeru

    Sasa Chagueni Aitwe Nani

    Arthur Bada Akyoo
    Arthur Bada Mbisse
    Arthur Bada Mafie
    Arthur Bada Pallangyo
    Arthur Bada kutomari
    Arthur Bada Nnko
    Mchezaji wetu wa kimataifa Wa Tanzania 🇹🇿 Arthur Bada Mara baada ya kubadili Uraia na kuwa Mtanzania Ameanza mchakato wa kupata kabila Sasa Tupo Arusha huku kambini kuna hawa wameru anawaona kila saa naona anang'ang'ania kweli kuwa mmeru Sasa Chagueni Aitwe Nani Arthur Bada Akyoo Arthur Bada Mbisse Arthur Bada Mafie Arthur Bada Pallangyo Arthur Bada kutomari Arthur Bada Nnko
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·414 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-23 06:11:17 ·
    😂😂😂
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·101 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Nambayaya Ahmed @Nambayaya تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-01-23 06:12:47 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·223 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-23 06:20:18 ·
    New Signing
    New Signing
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·102 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-23 06:32:13 ·
    YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao, akianza kupigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs, Sphiwe Given Msimango (28) ili kuja kutengeneza ukuta wa maana.
    .
    Taarifa zinasema kuwa, Ramovic ameshazungumza na beki huyo ambaye amekubali kuungana naye Yanga mwisho wa msimu huu ambapo sasa hatua hiyo wameachiwa mabosi wa timu hiyo
    .
    Ndani ya Kaizer mambo hayaonyeshi kumwendea sawa Msimango baada ya Nabi kuonyesha kuwaamini mabeki wengine nahodha Inacio Miguel raia wa Angola anayecheza pamoja na mzawa Rushwin Dortley. Kocha Nabi hamtumii sana beki huyo kwani katika mechi 12 za mashindano yote ilizocheza timu hiyo msimu huu, alizoanza hazizidi tatu, kwa vile mara nyingi anaingia ‘sub’.
    .
    Hata hivyo, Yanga endapo itataka kumpata kwa haraka Masimango itahitajika kumnunua endapo Kaizer haitamuacha mwisho wa msimu kwa kuwa msimu huu ukimalizika beki huyo atabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake.
    YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao, akianza kupigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs, Sphiwe Given Msimango (28) ili kuja kutengeneza ukuta wa maana. . Taarifa zinasema kuwa, Ramovic ameshazungumza na beki huyo ambaye amekubali kuungana naye Yanga mwisho wa msimu huu ambapo sasa hatua hiyo wameachiwa mabosi wa timu hiyo . Ndani ya Kaizer mambo hayaonyeshi kumwendea sawa Msimango baada ya Nabi kuonyesha kuwaamini mabeki wengine nahodha Inacio Miguel raia wa Angola anayecheza pamoja na mzawa Rushwin Dortley. Kocha Nabi hamtumii sana beki huyo kwani katika mechi 12 za mashindano yote ilizocheza timu hiyo msimu huu, alizoanza hazizidi tatu, kwa vile mara nyingi anaingia ‘sub’. . Hata hivyo, Yanga endapo itataka kumpata kwa haraka Masimango itahitajika kumnunua endapo Kaizer haitamuacha mwisho wa msimu kwa kuwa msimu huu ukimalizika beki huyo atabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake.
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·463 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (21611-21620 من 25723)
  • «
  • السابق
  • 2160
  • 2161
  • 2162
  • 2163
  • 2164
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين