• 馃槀馃槀馃槀
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 172 Views
  • 0 Commentarios 0 Acciones 311 Views
  • New Signing
    New Signing
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 173 Views
  • YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao, akianza kupigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs, Sphiwe Given Msimango (28) ili kuja kutengeneza ukuta wa maana.
    .
    Taarifa zinasema kuwa, Ramovic ameshazungumza na beki huyo ambaye amekubali kuungana naye Yanga mwisho wa msimu huu ambapo sasa hatua hiyo wameachiwa mabosi wa timu hiyo
    .
    Ndani ya Kaizer mambo hayaonyeshi kumwendea sawa Msimango baada ya Nabi kuonyesha kuwaamini mabeki wengine nahodha Inacio Miguel raia wa Angola anayecheza pamoja na mzawa Rushwin Dortley. Kocha Nabi hamtumii sana beki huyo kwani katika mechi 12 za mashindano yote ilizocheza timu hiyo msimu huu, alizoanza hazizidi tatu, kwa vile mara nyingi anaingia ‘sub’.
    .
    Hata hivyo, Yanga endapo itataka kumpata kwa haraka Masimango itahitajika kumnunua endapo Kaizer haitamuacha mwisho wa msimu kwa kuwa msimu huu ukimalizika beki huyo atabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake.
    YANGA imeaga michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini chapu kocha wa timu hiyo, Sead Ramovic ameanza msako wa kikosi kipya kwa msimu ujao, akianza kupigia hesabu beki wa Kaizer Chiefs, Sphiwe Given Msimango (28) ili kuja kutengeneza ukuta wa maana. . Taarifa zinasema kuwa, Ramovic ameshazungumza na beki huyo ambaye amekubali kuungana naye Yanga mwisho wa msimu huu ambapo sasa hatua hiyo wameachiwa mabosi wa timu hiyo . Ndani ya Kaizer mambo hayaonyeshi kumwendea sawa Msimango baada ya Nabi kuonyesha kuwaamini mabeki wengine nahodha Inacio Miguel raia wa Angola anayecheza pamoja na mzawa Rushwin Dortley. Kocha Nabi hamtumii sana beki huyo kwani katika mechi 12 za mashindano yote ilizocheza timu hiyo msimu huu, alizoanza hazizidi tatu, kwa vile mara nyingi anaingia ‘sub’. . Hata hivyo, Yanga endapo itataka kumpata kwa haraka Masimango itahitajika kumnunua endapo Kaizer haitamuacha mwisho wa msimu kwa kuwa msimu huu ukimalizika beki huyo atabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake.
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 614 Views
  • We ulisikia wapi
    We ulisikia wapi馃槀
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 180 Views
  • Klabu ya SSC Napoli ipo katika mazungumzo na klabu ya Borussia Dortmund Ili kuangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wao raia wa Ujerumani Karim Adeyemi katika dirisha hili dogo la usajili.

    Adeyemi dau lake katika Soko la usajili ni €45-50m.

    Source: [ Fabrizio Romano ]

    FOLLOW US.
    馃毃 Klabu ya SSC Napoli ipo katika mazungumzo na klabu ya Borussia Dortmund Ili kuangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wao raia wa Ujerumani 馃嚛馃嚜 Karim Adeyemi katika dirisha hili dogo la usajili. Adeyemi dau lake katika Soko la usajili ni €45-50m. Source: [ Fabrizio Romano ] FOLLOW US.
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 534 Views
  • Taswira mbalimbali za Serge Pokou akiwa mazoezini leo kwa mara ya kwanza

    #ArushaCamp #midseason #inawezekana
    Taswira mbalimbali za Serge Pokou akiwa mazoezini leo kwa mara ya kwanza 馃悊 #ArushaCamp #midseason #inawezekana
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 1K Views
  • Simba la Masimba Dangote
    Simba la Masimba Dangote馃槀
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 443 Views
  • Huu Usajili umefanyika lini Tena
    Huu Usajili umefanyika lini Tena馃槀
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 176 Views
  • Huyu akikaa mwezi mmoja ndo mazima atahamia Tanzania
    Huyu akikaa mwezi mmoja ndo mazima atahamia Tanzania 馃槀
    Like
    1
    1 Commentarios 0 Acciones 191 Views