BREAKING Chelsea inakaribia kukubaliana na Man United kumsajili Winga Alejandro Garnacho, .
Chelsea tayari imefanya mazungumzo na kambi kuu ya mchezaji na sasa inajiandaa kufanya makubaliano na Manchester United juu ya kukamilisha Usajili huo.
Source Fabrizio Romano
馃毃BREAKING Chelsea inakaribia kukubaliana na Man United kumsajili Winga Alejandro Garnacho, 馃嚘馃嚪 馃數.
Chelsea tayari imefanya mazungumzo na kambi kuu ya mchezaji na sasa inajiandaa kufanya makubaliano na Manchester United juu ya kukamilisha Usajili huo.
Source Fabrizio Romano