نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-26 17:44:50 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·182 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto @Mefa أضاف عرض جديد
    2025-01-26 18:35:34 ·
    JJ Okocha akikumbusha enzi. 2020
    JJ Okocha akikumbusha enzi. 2020
    Like
    Love
    6
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·685 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-26 19:46:20 ·
    "Nilifungua mlango na kushangaa nimemwagiwa kitu Usoni. Nilipiga kelele na sikuweza kupumua! Mke wangu alipiga namba ya dharura na wakaniambia niende bafuni nkaoshe uso wangu na maji ya Shower. Nilipokwenda Hospit, walinambia kuwa macho yangu yameungua. Mtu alikuwa akija kila baada ya saa moja kuja kuyaosha macho yangu "

    "Limekuwa balaa tangu siku hiyo. Tangu siku hiyo uwa nashtuka ninaposkia kelele na kitu ambacho kinanipa moyo wa kuendelea ni kuwa wanangu wapo salama. Nilifanyiwa upasuaji kwenye macho yangu yote na daktari akaniambia kuwa nitakuwa natumia dawa ya macho(Eye Drop) kwenye maisha yangu yote.

    "Nilikuwa kipofu kwa miezi 6 kabla niliporudi kuona vizuri. Siku hizo zilikuwa za kutisha sana na tangu siku hiyo sipendi kuketi na watu nisiowajua" - Yoane Wissa, Mchezaji wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya Brentford ya England via RMC Sport.

    "Nilifungua mlango na kushangaa nimemwagiwa kitu Usoni. Nilipiga kelele na sikuweza kupumua! Mke wangu alipiga namba ya dharura na wakaniambia niende bafuni nkaoshe uso wangu na maji ya Shower. Nilipokwenda Hospit, walinambia kuwa macho yangu yameungua. Mtu alikuwa akija kila baada ya saa moja kuja kuyaosha macho yangu " "Limekuwa balaa tangu siku hiyo. Tangu siku hiyo uwa nashtuka ninaposkia kelele na kitu ambacho kinanipa moyo wa kuendelea ni kuwa wanangu wapo salama. Nilifanyiwa upasuaji kwenye macho yangu yote na daktari akaniambia kuwa nitakuwa natumia dawa ya macho(Eye Drop) kwenye maisha yangu yote. "Nilikuwa kipofu kwa miezi 6 kabla niliporudi kuona vizuri. Siku hizo zilikuwa za kutisha sana na tangu siku hiyo sipendi kuketi na watu nisiowajua" - Yoane Wissa, Mchezaji wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya Brentford ya England via RMC Sport.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·862 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-26 19:50:07 ·
    Pameanza kuchanga mka
    Pameanza kuchanga mka
    Like
    Wow
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·181 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1 أضاف فيديو in عام
    2025-01-26 20:28:17 ·
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·316 مشاهدة ·0
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Catherine Paul @Catherinepaul12 تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-01-27 03:33:33 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·360 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Official Ommy @Ommyisungi تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-01-27 05:17:40 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·334 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-27 06:36:29 ·
    Haha
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·186 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-27 06:37:03 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·182 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-01-27 06:37:21 ·
    "Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maisha yangu nimekuwa nikipokea maswali mengi kutoka kwa jamii na kwenu nyinyi waandishi wa habari kwamba ni nini siri ya mafanikio yangu, nini chanzo cha pesa zangu. Leo naomba nizungumze ukweli kwamba mnamo mwaka 2018 nilifanya tafiti kutaka kujua ni kitu gani ama ni biashara gani nitakayoifanya ambayo itakuwa kama biashara yangu ya pili ya kuniingizia pesa"

    "Nilifanya utafiti kwenye biashara nyingi na hatimae mawazo yangu yalisimama kwenye kilimo, nilikuja kugundua kilimo ndicho kitakachonitoa, nikawekeza nguvu na mtaji wangu huko hatimae nikaanza kupata matunda ambayo pesa zake ndio hizi mnazoona nakula bata kila uchao, ndio maana nimekuja na kampeni yangu ya kuwasaidia wanawake kujikwamua kupitia kilimo kwasababu nimeona huko kuna pesa nyingi"- Irene Uwoya, Mwigizaji wa filamu Tanzania na Mchungaji.

    "Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maisha yangu nimekuwa nikipokea maswali mengi kutoka kwa jamii na kwenu nyinyi waandishi wa habari kwamba ni nini siri ya mafanikio yangu, nini chanzo cha pesa zangu. Leo naomba nizungumze ukweli kwamba mnamo mwaka 2018 nilifanya tafiti kutaka kujua ni kitu gani ama ni biashara gani nitakayoifanya ambayo itakuwa kama biashara yangu ya pili ya kuniingizia pesa" "Nilifanya utafiti kwenye biashara nyingi na hatimae mawazo yangu yalisimama kwenye kilimo, nilikuja kugundua kilimo ndicho kitakachonitoa, nikawekeza nguvu na mtaji wangu huko hatimae nikaanza kupata matunda ambayo pesa zake ndio hizi mnazoona nakula bata kila uchao, ndio maana nimekuja na kampeni yangu ya kuwasaidia wanawake kujikwamua kupitia kilimo kwasababu nimeona huko kuna pesa nyingi"- Irene Uwoya, Mwigizaji wa filamu Tanzania na Mchungaji.
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·503 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (21981-21990 من 27801)
  • «
  • السابق
  • 2197
  • 2198
  • 2199
  • 2200
  • 2201
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين