Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-26 17:44:50 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·182 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-01-26 18:35:34 ·
    JJ Okocha akikumbusha enzi. 2020
    JJ Okocha akikumbusha enzi. 2020
    Like
    Love
    6
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·686 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-26 19:46:20 ·
    "Nilifungua mlango na kushangaa nimemwagiwa kitu Usoni. Nilipiga kelele na sikuweza kupumua! Mke wangu alipiga namba ya dharura na wakaniambia niende bafuni nkaoshe uso wangu na maji ya Shower. Nilipokwenda Hospit, walinambia kuwa macho yangu yameungua. Mtu alikuwa akija kila baada ya saa moja kuja kuyaosha macho yangu "

    "Limekuwa balaa tangu siku hiyo. Tangu siku hiyo uwa nashtuka ninaposkia kelele na kitu ambacho kinanipa moyo wa kuendelea ni kuwa wanangu wapo salama. Nilifanyiwa upasuaji kwenye macho yangu yote na daktari akaniambia kuwa nitakuwa natumia dawa ya macho(Eye Drop) kwenye maisha yangu yote.

    "Nilikuwa kipofu kwa miezi 6 kabla niliporudi kuona vizuri. Siku hizo zilikuwa za kutisha sana na tangu siku hiyo sipendi kuketi na watu nisiowajua" - Yoane Wissa, Mchezaji wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya Brentford ya England via RMC Sport.

    "Nilifungua mlango na kushangaa nimemwagiwa kitu Usoni. Nilipiga kelele na sikuweza kupumua! Mke wangu alipiga namba ya dharura na wakaniambia niende bafuni nkaoshe uso wangu na maji ya Shower. Nilipokwenda Hospit, walinambia kuwa macho yangu yameungua. Mtu alikuwa akija kila baada ya saa moja kuja kuyaosha macho yangu " "Limekuwa balaa tangu siku hiyo. Tangu siku hiyo uwa nashtuka ninaposkia kelele na kitu ambacho kinanipa moyo wa kuendelea ni kuwa wanangu wapo salama. Nilifanyiwa upasuaji kwenye macho yangu yote na daktari akaniambia kuwa nitakuwa natumia dawa ya macho(Eye Drop) kwenye maisha yangu yote. "Nilikuwa kipofu kwa miezi 6 kabla niliporudi kuona vizuri. Siku hizo zilikuwa za kutisha sana na tangu siku hiyo sipendi kuketi na watu nisiowajua" - Yoane Wissa, Mchezaji wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya Brentford ya England via RMC Sport.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·863 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-26 19:50:07 ·
    Pameanza kuchanga mka
    Pameanza kuchanga mka
    Like
    Wow
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·181 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1 πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2025-01-26 20:28:17 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·317 Views ·0
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Catherine Paul @Catherinepaul12 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-01-27 03:33:33 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·361 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Official Ommy @Ommyisungi ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-01-27 05:17:40 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·334 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-27 06:36:29 ·
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·186 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-27 06:37:03 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·183 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-27 06:37:21 ·
    "Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maisha yangu nimekuwa nikipokea maswali mengi kutoka kwa jamii na kwenu nyinyi waandishi wa habari kwamba ni nini siri ya mafanikio yangu, nini chanzo cha pesa zangu. Leo naomba nizungumze ukweli kwamba mnamo mwaka 2018 nilifanya tafiti kutaka kujua ni kitu gani ama ni biashara gani nitakayoifanya ambayo itakuwa kama biashara yangu ya pili ya kuniingizia pesa"

    "Nilifanya utafiti kwenye biashara nyingi na hatimae mawazo yangu yalisimama kwenye kilimo, nilikuja kugundua kilimo ndicho kitakachonitoa, nikawekeza nguvu na mtaji wangu huko hatimae nikaanza kupata matunda ambayo pesa zake ndio hizi mnazoona nakula bata kila uchao, ndio maana nimekuja na kampeni yangu ya kuwasaidia wanawake kujikwamua kupitia kilimo kwasababu nimeona huko kuna pesa nyingi"- Irene Uwoya, Mwigizaji wa filamu Tanzania na Mchungaji.

    "Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maisha yangu nimekuwa nikipokea maswali mengi kutoka kwa jamii na kwenu nyinyi waandishi wa habari kwamba ni nini siri ya mafanikio yangu, nini chanzo cha pesa zangu. Leo naomba nizungumze ukweli kwamba mnamo mwaka 2018 nilifanya tafiti kutaka kujua ni kitu gani ama ni biashara gani nitakayoifanya ambayo itakuwa kama biashara yangu ya pili ya kuniingizia pesa" "Nilifanya utafiti kwenye biashara nyingi na hatimae mawazo yangu yalisimama kwenye kilimo, nilikuja kugundua kilimo ndicho kitakachonitoa, nikawekeza nguvu na mtaji wangu huko hatimae nikaanza kupata matunda ambayo pesa zake ndio hizi mnazoona nakula bata kila uchao, ndio maana nimekuja na kampeni yangu ya kuwasaidia wanawake kujikwamua kupitia kilimo kwasababu nimeona huko kuna pesa nyingi"- Irene Uwoya, Mwigizaji wa filamu Tanzania na Mchungaji.
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·504 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (21981-21990 από 27801)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2197
  • 2198
  • 2199
  • 2200
  • 2201
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers