Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 12:44:05 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·158 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 12:44:24 ·
    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda.

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo.

    Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo. Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·480 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 12:45:19 ·
    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda.

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo.

    Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo. Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·756 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 12:46:09 ·
    Hawa ni Maafisa wa usalama wa Rwanda wakiwasindikiza Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC), waliojisalimisha kutoka Mjini Goma, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia mapigano kati ya Waasi wa M23 na FARDC, huko Gisenyi, Rwanda.

    Hii ilikuwa jana Januari 27, 2025.

    Hawa ni Maafisa wa usalama wa Rwanda wakiwasindikiza Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC), waliojisalimisha kutoka Mjini Goma, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia mapigano kati ya Waasi wa M23 na FARDC, huko Gisenyi, Rwanda. Hii ilikuwa jana Januari 27, 2025.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·261 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 12:47:06 ·
    Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu.

    Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka.

    "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais.

    Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda.

    Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23.

    Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce.

    Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
    (Cc: BBC Swahili)

    Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu. Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka. "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais. Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda. Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23. Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce. Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. (Cc: BBC Swahili)
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·671 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-01-28 15:27:21 ·
    Like
    Love
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·367 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 15:54:24 ·
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·282 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Laurent Aman @AmanLaurent123 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-01-28 16:38:55 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·243 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Yash Junior @Yashjunior6 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-28 18:28:38 ·
    150k
    150k
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·252 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Yash Junior @Yashjunior6
    2025-01-28 18:30:28 ·
    Inauzwa inphinix smart 6
    bei 150k
    GB 32
    Inauzwa inphinix smart 6 bei 150k GB 32
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·412 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (22161-22170 από 25545)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2215
  • 2216
  • 2217
  • 2218
  • 2219
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers