• Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    Wow
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·785 Просмотры
  • Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·472 Просмотры
  • Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·466 Просмотры
  • "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF

    Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO

    Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi

    Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara

    ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha.

    Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali.

    Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha. Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali. Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said👏👏" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·746 Просмотры
  • Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu.

    Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri.

    Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli".

    Sasa ipo hivi

    Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme.

    Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia.

    Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao.

    Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.

    Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu. Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri. Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli". Sasa ipo hivi 👇 Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme. Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia. Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao. Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji .

    Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye

    Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji 😂. Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye 😂
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·556 Просмотры
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·475 Просмотры
  • Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·950 Просмотры
  • Like
    Love
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·178 Просмотры
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·183 Просмотры