• khalid aucho
    khalid aucho😍
    Like
    Haha
    2
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·136 Views
  • wonders
    wonders😀
    Like
    Haha
    2
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·134 Views
  • iguse iachie twende sasa tukachukue tuzo
    iguse iachie twende sasa tukachukue tuzo😃
    Like
    Haha
    2
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·151 Views
  • kwani walishinda
    kwani walishinda😀
    Like
    2
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·151 Views
  • mfia timu
    mfia timu
    Haha
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·154 Views
  • daah ila bongo
    daah ila bongo😄
    Like
    Love
    2
    · 2 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·149 Views
  • Like
    Love
    4
    · 4 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·253 Views
  • Mkusanyiko wa Corneil Nangaa ambaye ni Kiongozi la Waasi wa M23, ulishambuliwa na Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakati alikuwa akijiandaa kufanya mkutano kwenye Uwanja wa michezo huko Mjini Goma.

    Kulingana na taarifa zinazoendelea kuripotiwa, Chigoro Ntawirigabo, Kiongozi wa Operesheni za Rwanda ndani ya kundi la M23, inasemekana pia kupoteza maisha pamoja na kundi lake lote kufuatia Operesheni iliyofanywa na FARDC.

    Mkusanyiko wa Corneil Nangaa ambaye ni Kiongozi la Waasi wa M23, ulishambuliwa na Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakati alikuwa akijiandaa kufanya mkutano kwenye Uwanja wa michezo huko Mjini Goma. Kulingana na taarifa zinazoendelea kuripotiwa, Chigoro Ntawirigabo, Kiongozi wa Operesheni za Rwanda ndani ya kundi la M23, inasemekana pia kupoteza maisha pamoja na kundi lake lote kufuatia Operesheni iliyofanywa na FARDC.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·305 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·139 Views
  • Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda.

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo.

    Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo. Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·464 Views