Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:17:45 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·155 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:17:55 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·151 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:18:06 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·154 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:18:16 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·158 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:18:24 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·159 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:18:33 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·162 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:18:46 ·
    "Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.

    "Hatakama Yanga wangevuka hatua ya makundi na kwenda robo fainali ya CAF Champions Ligi, huku mshabuliaji wao kinara akiwa PRINCE DUBE bado uwezekano wa kufanya vyema ungekuwa mdogo msimu huu, kwakuwa ni dhahiri sasa kwamba DUBE sio mfungaji asilia, ni aina ya mshambuliaji anaehitaji nafasi 6 za WAZI kufunga mabao 2 dhidi ya KEN GOLD walio mkiani kwenye ligi kuu" - Jemedari Said, Mchambuzi.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·475 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:20:26 ·
    Inaripotiwa kuwa zaidi ya Wafungwa mia moja (100) wa kike walibakwa na kisha kuchomwa moto wakiwa hai wakati wa hali ya machafuko ilipotokea baada ya Wafungwa kutoroka Gerezani Jijini Goma, Nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo .

    Kulingana na ripoti mpya kutoka kwa Umoja wa Mataifa, mamia ya Wafungwa walitoroka katika Gereza la Munzenze Jumatatu iliyopita, baada ya Wapiganaji wa kundi la Waasi la M23 kuuteka Mji huo wa Goma.

    Ripoti hiyo inaeleza kwamba kati ya Wanawake 165 na 167 walivamiwa na kunyanyaswa na Wafungwa wa kiume walipovunja Gereza. Wengi wa Wanawake hao waliuawa baada ya Wafungwa hao kuchoma moto jela. Jiji hilo la Goma lina ukubwa na Watu zaidi milioni moja (1), lilitekwa na kundi la Waasi la M23, linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda , lilipovamia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

    Inaripotiwa kuwa zaidi ya Wafungwa mia moja (100) wa kike walibakwa na kisha kuchomwa moto wakiwa hai wakati wa hali ya machafuko ilipotokea baada ya Wafungwa kutoroka Gerezani Jijini Goma, Nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 🇨🇩. Kulingana na ripoti mpya kutoka kwa Umoja wa Mataifa, mamia ya Wafungwa walitoroka katika Gereza la Munzenze Jumatatu iliyopita, baada ya Wapiganaji wa kundi la Waasi la M23 kuuteka Mji huo wa Goma. Ripoti hiyo inaeleza kwamba kati ya Wanawake 165 na 167 walivamiwa na kunyanyaswa na Wafungwa wa kiume walipovunja Gereza. Wengi wa Wanawake hao waliuawa baada ya Wafungwa hao kuchoma moto jela. Jiji hilo la Goma lina ukubwa na Watu zaidi milioni moja (1), lilitekwa na kundi la Waasi la M23, linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda 🇷🇼, lilipovamia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·270 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:21:18 ·
    Kwa sasa, hakuna klabu yoyote iliyojaribu kumchukua Paul Pogba! . Mchezaji huyo bado anamatumaini kurudi katika Timu ya Taifa ya Ufaransa na yuko tayari kusubiri hadi majira ya kiangazi akingojea ofa kutoka kwa klabu za Ulaya.

    Ikumbukwe kwamba adhabu yake ya kusimamishwa kwa sababu ya matumizi ya madawa ya kulevya itamalizika tarehe 11 Machi.

    Kwa sasa, hakuna klabu yoyote iliyojaribu kumchukua Paul Pogba! 🇫🇷. Mchezaji huyo bado anamatumaini kurudi katika Timu ya Taifa ya Ufaransa na yuko tayari kusubiri hadi majira ya kiangazi akingojea ofa kutoka kwa klabu za Ulaya. Ikumbukwe kwamba adhabu yake ya kusimamishwa kwa sababu ya matumizi ya madawa ya kulevya itamalizika tarehe 11 Machi.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·601 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-06 06:21:45 ·
    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Msanii wa muziki wa zamani Ferdnand Ndikuriyo (27) maarufu Chuma cha Chuma kutoka Nchini Burundi , kutumikia kifungo cha miaka mitatu (3) Jela na kulipa faini ya Shilingi 500,000 baada ya kukutwa na hatia ya kuishi Nchini Tanzania bila kibali.

    Hukumu hiyo imetolewa leo, Februari 5, 2025, na Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga, baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha shtaka dhidi ya mshtakiwa. Ikumbukwe kwamba Chuma cha Chuma alikamatwa kwa kosa hilo Septemba 18, 2024, katika eneo la Las Vegas Casino, Upanga Wilayani Ilala, Jijini Dar es Salaam.

    Hakimu Ruboroga alisema kuwa mshtakiwa ni Mkosaji wa mara ya pili (2) na kwamba anahitaji kupewa adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa Watu wengine wanaojihusisha na vitendo kama hivyo vya kuingia Nchini Tanzania bila vibali (uhamiaji haramu).

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Msanii wa muziki wa zamani Ferdnand Ndikuriyo (27) maarufu Chuma cha Chuma kutoka Nchini Burundi 🇧🇮, kutumikia kifungo cha miaka mitatu (3) Jela na kulipa faini ya Shilingi 500,000 baada ya kukutwa na hatia ya kuishi Nchini Tanzania 🇹🇿 bila kibali. Hukumu hiyo imetolewa leo, Februari 5, 2025, na Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga, baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha shtaka dhidi ya mshtakiwa. Ikumbukwe kwamba Chuma cha Chuma alikamatwa kwa kosa hilo Septemba 18, 2024, katika eneo la Las Vegas Casino, Upanga Wilayani Ilala, Jijini Dar es Salaam. Hakimu Ruboroga alisema kuwa mshtakiwa ni Mkosaji wa mara ya pili (2) na kwamba anahitaji kupewa adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa Watu wengine wanaojihusisha na vitendo kama hivyo vya kuingia Nchini Tanzania bila vibali (uhamiaji haramu).
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·434 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (22601-22610 από 25667)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2259
  • 2260
  • 2261
  • 2262
  • 2263
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers