• 0 Kommentare ·0 Anteile ·46 Ansichten
  • Tunaingia mawindoni

    #paulswai
    Tunaingia mawindoni #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·188 Ansichten
  • Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·45 Ansichten
  • KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE.

    #paulswai
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE. #paulswai
    Like
    3
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·175 Ansichten
  • Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·61 Ansichten
  • Goaaaaaal..! Ateba

    Fountain Gate 0️⃣ 1️⃣ Simba Sc

    Chasambi

    #paulswai
    Goaaaaaal..! Ateba ⚽ Fountain Gate 0️⃣ 🆚 1️⃣ Simba Sc 🎯 Chasambi #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·181 Ansichten
  • Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu.

    Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma.

    Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi , ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao.

    Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.

    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 🇨🇩 kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu. Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma. Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi 🇧🇮, ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao. Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·121 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·48 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·46 Ansichten
  • Like
    Love
    Haha
    4
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·129 Ansichten