0 Comments
·0 Shares
·169 Views
-
-
Social Pop @socialpop Asante kwa Bluetick Tupo pamoja[Socialpop1] @socialpop Asante kwa Bluetick Tupo pamoja 👊
-
Chukua hii.
Kama utakwenda Nchini Japan na kusikia neno "Johatsu" (じょうはつ) tambua kuwa ni Mtu au Watu waliotoweka (kupotea) kutoka kwenye familia zao kutokana na sababu mbalimbali kama vile migogoro kwenye Ndoa, kushindwa kuoa, kukimbia madeni, kufukuzwa kazi na kadhalika. Watu hao huacha maisha yao na kuishi bila kujulikana wapi walipo kwa muda fulani na inaweze kuwa ni ndani ya Nchi ya Japan au nje Nchi yaani mataifa mengine kama vile Tanzania DR Congo , Burundi , Marekani , Mexico , Kenya ,....
Pamoja na Watu hao kupotea, lakini wanasaidiwa na Makampuni ambayo yamebobea katika kazi hiyo yaani Watu au Mtu anayehitaji huduma hiyo unalipia kisha kuhamishwa usiku. Makampuni hayo maalumu yanajulikana kwa jina la "Wahamishaji Usiku" huwasaidia Watu kupotea (unaweza kusema kujiteka, kujipoteza,...).
Haya Mashirika au Makampuni husaidia Watu kutoweka kwa kuwahamisha kwa siri sana na mara nyingi kazi hii hufanyika usiku na wanapokupeleka inakuwa ni siri kubwa yaani kuanzia mahali pa kulala, utakula nini, vitambulisho vipya vya kusafiria Kampuni hizo ndizo zinafanya kila kitu kwa mujibu wa mkataba wenu.
Pia Kampuni hizi zitahakikisha zinasafisha kumbukumbu zote za Mteja na kusahaulika kwenye Jamii, Nyumbani na Nchi kwa ujumla kisha unaanza mwanzo mpya wa kuanzisha maisha mengine kwenye Nchi au mahali walipo kupeleka.
Chukua hii. Kama utakwenda Nchini Japan 🇯🇵 na kusikia neno "Johatsu" (じょうはつ) tambua kuwa ni Mtu au Watu waliotoweka (kupotea) kutoka kwenye familia zao kutokana na sababu mbalimbali kama vile migogoro kwenye Ndoa, kushindwa kuoa, kukimbia madeni, kufukuzwa kazi na kadhalika. Watu hao huacha maisha yao na kuishi bila kujulikana wapi walipo kwa muda fulani na inaweze kuwa ni ndani ya Nchi ya Japan au nje Nchi yaani mataifa mengine kama vile Tanzania 🇨🇩 DR Congo 🇨🇩, Burundi 🇧🇮, Marekani 🇺🇸, Mexico 🇲🇽, Kenya 🇰🇪,.... Pamoja na Watu hao kupotea, lakini wanasaidiwa na Makampuni ambayo yamebobea katika kazi hiyo yaani Watu au Mtu anayehitaji huduma hiyo unalipia kisha kuhamishwa usiku. Makampuni hayo maalumu yanajulikana kwa jina la "Wahamishaji Usiku" huwasaidia Watu kupotea (unaweza kusema kujiteka, kujipoteza,...). Haya Mashirika au Makampuni husaidia Watu kutoweka kwa kuwahamisha kwa siri sana na mara nyingi kazi hii hufanyika usiku na wanapokupeleka inakuwa ni siri kubwa yaani kuanzia mahali pa kulala, utakula nini, vitambulisho vipya vya kusafiria Kampuni hizo ndizo zinafanya kila kitu kwa mujibu wa mkataba wenu. Pia Kampuni hizi zitahakikisha zinasafisha kumbukumbu zote za Mteja na kusahaulika kwenye Jamii, Nyumbani na Nchi kwa ujumla kisha unaanza mwanzo mpya wa kuanzisha maisha mengine kwenye Nchi au mahali walipo kupeleka. -
-
-
Vinicius Junior amegoma kusaini mkataba mpya ndani ya klabu ya Real Madrid. Klabu hiyo imepanga kukutana nae ili kumshawishi zaidi huku mshahara ukiboresha hadi kufikia Euro milioni (15€) karibu na ule wa Mbappé. Pamoja na ongezeko hilo la mshahara lakini Vinicius Junior amepangua mkataba huo.
Klabu Real Madrid imeomba kukutana nae ili kuangalia namna ya kufanya maboresho zaidi.
(The Athletic).
Vinicius Junior amegoma kusaini mkataba mpya ndani ya klabu ya Real Madrid. Klabu hiyo imepanga kukutana nae ili kumshawishi zaidi huku mshahara ukiboresha hadi kufikia Euro milioni (15€) karibu na ule wa Mbappé. Pamoja na ongezeko hilo la mshahara lakini Vinicius Junior amepangua mkataba huo. Klabu Real Madrid imeomba kukutana nae ili kuangalia namna ya kufanya maboresho zaidi. (The Athletic). -
-
Miaka ya 90, Ukraine alikuwa mbabe sana. Taifa hili lilikuwa lina nguvu za kijeshi ambazo ziliwafanya majirani zake kusita hata kufikiria kulivamia.
Sababu?
Lilikuwa na zaidi ya mabomu 1,000 ya nyuklia. Haya si mabomu ya kawaida, ni silaha za maangamizi ambazo zingeweza kuifuta dunia katika sekunde chache.
Lakini kama ilivyo kwa kila hadithi ya usaliti, Ukraine alifanya kosa moja kubwa, aliamini watu wengine badala ya kujilinda mwenyewe.
Marekani, Urusi na Uingereza walimfuata kwa heshima kubwa, wakampigia magoti na kumwambia.
"Tafadhali, haribu mabomu yako. Dunia itakuwa mahali salama zaidi, na sisi tutakuwa walinzi wako. Hatutakuacha."
Ukraine akakubali. Akayaangamiza mabomu yake yote ya nyuklia. Mikataba iliwekwa. Ahadi zikaandikwa kwa kalamu na kutiwa muhuri.
Ukraine akaamini kabisa kuwa usalama wake hauwezi kutikiswa tena.
Miaka ya 90, Ukraine alikuwa mbabe sana. Taifa hili lilikuwa lina nguvu za kijeshi ambazo ziliwafanya majirani zake kusita hata kufikiria kulivamia. Sababu? Lilikuwa na zaidi ya mabomu 1,000 ya nyuklia. Haya si mabomu ya kawaida, ni silaha za maangamizi ambazo zingeweza kuifuta dunia katika sekunde chache. Lakini kama ilivyo kwa kila hadithi ya usaliti, Ukraine alifanya kosa moja kubwa, aliamini watu wengine badala ya kujilinda mwenyewe. Marekani, Urusi na Uingereza walimfuata kwa heshima kubwa, wakampigia magoti na kumwambia. "Tafadhali, haribu mabomu yako. Dunia itakuwa mahali salama zaidi, na sisi tutakuwa walinzi wako. Hatutakuacha." Ukraine akakubali. Akayaangamiza mabomu yake yote ya nyuklia. Mikataba iliwekwa. Ahadi zikaandikwa kwa kalamu na kutiwa muhuri. Ukraine akaamini kabisa kuwa usalama wake hauwezi kutikiswa tena. -
Muda ukasonga. Dunia ikabadilika. Mataifa yakaanza kuweka mbele maslahi yao, na Ukraine akajikuta akilia peke yake kwenye uwanja wa vita.
Aliyeahidi kumlinda Urusi ndiye huyo anayemshambulia kwa mabomu, vifaru na ndege za kivita.
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin alikuwa anaangalia ramani ya dunia akijiuliza, "Mbona Crimea na Donbas zipo nje ya milki yangu?"
Halafu, ghafla mwaka 2014, Urusi ikaamua kumng'ata Ukraine kwa mara ya kwanza.
Crimea ikachukuliwa, na dunia ikakaa kimya. Hakukuwa na hatua kubwa zilizochukuliwa na Marekani wala Uingereza. Ukraine akaanza kuona dalili za usaliti.
Mwaka 2022, Urusi ikarudi tena, safari hii kwa nguvu kubwa zaidi.
Tishio la silaha za nyuklia lililomfanya Ukraine kuwa mbabe, halikuwepo tena. Hakuwa na kinga tena, alikuwa mtu mwepesi wa kushambuliwa.
Na hapa ndipo Ukraine alipogundua kosa lake kubwa aliamini makaratasi kuliko mabavu.
Muda ukasonga. Dunia ikabadilika. Mataifa yakaanza kuweka mbele maslahi yao, na Ukraine akajikuta akilia peke yake kwenye uwanja wa vita. Aliyeahidi kumlinda Urusi ndiye huyo anayemshambulia kwa mabomu, vifaru na ndege za kivita. Kwa miaka mingi, Vladimir Putin alikuwa anaangalia ramani ya dunia akijiuliza, "Mbona Crimea na Donbas zipo nje ya milki yangu?" Halafu, ghafla mwaka 2014, Urusi ikaamua kumng'ata Ukraine kwa mara ya kwanza. Crimea ikachukuliwa, na dunia ikakaa kimya. Hakukuwa na hatua kubwa zilizochukuliwa na Marekani wala Uingereza. Ukraine akaanza kuona dalili za usaliti. Mwaka 2022, Urusi ikarudi tena, safari hii kwa nguvu kubwa zaidi. Tishio la silaha za nyuklia lililomfanya Ukraine kuwa mbabe, halikuwepo tena. Hakuwa na kinga tena, alikuwa mtu mwepesi wa kushambuliwa. Na hapa ndipo Ukraine alipogundua kosa lake kubwa aliamini makaratasi kuliko mabavu.