• Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·308 Visualizações
  • Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·307 Visualizações
  • Like
    Love
    Wow
    4
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·311 Visualizações
  • #PART1

    Kuna gereza, na kuna Guantanamo Bay.

    Hili si gereza la kawaida. Ni shimo la mateso, mahali ambapo sheria za haki za binadamu zinaonekana kama hadithi za kufikirika.

    Lipo Cuba, lakini linamilikiwa na Marekani.

    Wanasema gereza ni sehemu ya kutumikia adhabu, lakini Guantanamo ni sehemu ambapo unatakiwa kusahau kama ulikuwa binadamu.

    Kama umewekwa hapa, ni ishara kwamba dunia imeshakusahau.
    Na hata kama hauna hatia, hutaweza kuthibitisha chochote.

    Marekani ni taifa la haki, Ndio! angalau kwenye makaratasi.
    Lakini hata Wamarekani wenyewe walikuwa hawapendi Guantanamo.

    Kila mwaka, wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wakiandamana, wakitaka gereza hilo lifungwe.

    Ilipofika mwaka 2008, Barack Obama alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha urais, akaahidi jambo moja kubwa.

    "Nikichaguliwa kuwa Rais, gereza la Guantanamo litafungwa mara moja!"

    Ilionekana kama ahadi ya kweli.

    Wamarekani wakashangilia, wakaamini kwamba hatimaye heshima ya taifa lao itarudi.
    #PART1 Kuna gereza, na kuna Guantanamo Bay. Hili si gereza la kawaida. Ni shimo la mateso, mahali ambapo sheria za haki za binadamu zinaonekana kama hadithi za kufikirika. Lipo Cuba, lakini linamilikiwa na Marekani. Wanasema gereza ni sehemu ya kutumikia adhabu, lakini Guantanamo ni sehemu ambapo unatakiwa kusahau kama ulikuwa binadamu. Kama umewekwa hapa, ni ishara kwamba dunia imeshakusahau. Na hata kama hauna hatia, hutaweza kuthibitisha chochote. Marekani ni taifa la haki, Ndio! angalau kwenye makaratasi. Lakini hata Wamarekani wenyewe walikuwa hawapendi Guantanamo. Kila mwaka, wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wakiandamana, wakitaka gereza hilo lifungwe. Ilipofika mwaka 2008, Barack Obama alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha urais, akaahidi jambo moja kubwa. "Nikichaguliwa kuwa Rais, gereza la Guantanamo litafungwa mara moja!" Ilionekana kama ahadi ya kweli. Wamarekani wakashangilia, wakaamini kwamba hatimaye heshima ya taifa lao itarudi.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • #PART2

    Na kweli, wakampigia kura, Obama akaingia madarakani.

    Mwaka wa kwanza ukapita.
    Mwaka wa pili ukapita.
    Mwaka wa tatu ukapita.

    Gereza bado liko palepale.

    Kila alipoulizwa juu ya ahadi yake, alitoa majibu yasiyoeleweka.

    Ndani ya miaka yake minane madarakani, Guantanamo Bay liliendelea kuwepo.

    Ndipo Wamarekani wakagundua kitu.
    Hata Rais hana nguvu juu ya gereza hili.

    Wakati Trump akaingia madarakani, yeye hakutumia Guantanamo kama njia ya kuombea kura.

    Hakusema atalifunga.
    Hakusema atalifungua.

    Lakini alipoingia, akatoa amri ya kuhamisha wafungwa zaidi ya 30,000.

    Lengo lake lilikuwa moja tu.

    "Tuhakikishe gereza linajaa wale ambao kweli wanastahili kuwepo humo."
    #PART2 Na kweli, wakampigia kura, Obama akaingia madarakani. Mwaka wa kwanza ukapita. Mwaka wa pili ukapita. Mwaka wa tatu ukapita. Gereza bado liko palepale. Kila alipoulizwa juu ya ahadi yake, alitoa majibu yasiyoeleweka. Ndani ya miaka yake minane madarakani, Guantanamo Bay liliendelea kuwepo. Ndipo Wamarekani wakagundua kitu. Hata Rais hana nguvu juu ya gereza hili. Wakati Trump akaingia madarakani, yeye hakutumia Guantanamo kama njia ya kuombea kura. Hakusema atalifunga. Hakusema atalifungua. Lakini alipoingia, akatoa amri ya kuhamisha wafungwa zaidi ya 30,000. Lengo lake lilikuwa moja tu. "Tuhakikishe gereza linajaa wale ambao kweli wanastahili kuwepo humo."
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·811 Visualizações
  • #PART3

    Hivyo, wale waliokuwa hawana ushahidi wa moja kwa moja wakaanza kuhamishwa.

    Lakini wale waliokuwa na rekodi ya ugaidi wa kiwango cha juu, wakabaki.
    Kwa Trump, Guantanamo lilikuwa muhimu.

    Lilikuwa sehemu ya kuhakikisha magaidi hawana sehemu ya kujificha.

    Hapa hakuna kesi.
    Hakuna mawakili.
    Hakuna upendeleo.

    Ukiingia, unasahau kama kuna dunia nje.

    Mateso yanayotokea ndani ya gereza hili ni siri kubwa ya Marekani.

    Lakini waliowahi kutoka, au maafisa wa zamani wa CIA na FBI, wamesema kwamba mateso ya Guantanamo yanaweza kumfanya mtu mwenye msimamo mkali wa kidini aseme Yesu alikuwa Muislam na Muhammad alikuwa Myahudi.
    #PART3 Hivyo, wale waliokuwa hawana ushahidi wa moja kwa moja wakaanza kuhamishwa. Lakini wale waliokuwa na rekodi ya ugaidi wa kiwango cha juu, wakabaki. Kwa Trump, Guantanamo lilikuwa muhimu. Lilikuwa sehemu ya kuhakikisha magaidi hawana sehemu ya kujificha. Hapa hakuna kesi. Hakuna mawakili. Hakuna upendeleo. Ukiingia, unasahau kama kuna dunia nje. Mateso yanayotokea ndani ya gereza hili ni siri kubwa ya Marekani. Lakini waliowahi kutoka, au maafisa wa zamani wa CIA na FBI, wamesema kwamba mateso ya Guantanamo yanaweza kumfanya mtu mwenye msimamo mkali wa kidini aseme Yesu alikuwa Muislam na Muhammad alikuwa Myahudi.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·899 Visualizações
  • #PART4

    Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali.

    Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja.

    Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi.

    Ndiyo maana wanasema,

    "Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao."

    Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea.

    Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
    #PART4 Wanasema kwamba ukiingizwa kwenye chumba cha mateso, unaweza kuanza kuongea kabla hata hawajauliza maswali. Ule ukali wa "Sitawataja washikaji wangu" unayeyuka ndani ya saa moja. Gereza hili linawafanya hata magaidi waliokuwa na imani kali kuwa wepesi kama karatasi. Ndiyo maana wanasema, "Magaidi wengi wanaoingizwa humo, hawachukui muda kutaja mnyororo mzima wa washikaji zao." Kwa kifupi, Guantanamo ni gereza ambalo lina mlango wa kuingilia, lakini hauna mlango wa kutokea. Ni jela ambayo ukishaingia, unaishi kwa maombi hata kama wewe si mtu wa dini.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·826 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·376 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·320 Visualizações
  • "Kazi bado ni ngumu katika mzozo wa Drc ukitazama maoni ya Marais wa Afrika mashariki utagundua kuwa hii ngoma bado ngumu!!

    Marais wengi wanashauri Tshsekedi afanye mazungumzo na M23 ili kufikia makubaliano na hatimaye amani, ugumu ni kuwa Rais Tshsekedi na serikali yake ya Congo imeapa kamwe haitazungumza na waasi na kufanya hivyo ni kitu ambacho Congo hawataki

    Ugumu ni kuwa tayari M23 imejitangazia serikali yake huko Goma kitendo ambacho ni sawa na uhaini kwa serikali ya Tshsekedi na Tshsekedi hataki kuzungumza na wahaini wa serikali yake

    Hivyo kwa sasa fahamu kuwa sio M23 wanaokataa mazungumzo bali serikali ya Congo ambayo inaona kufanya hivyo ni kuwapa nguvu zaidi waasi

    Ni wazi kuwa njia pekee anayoitaka Tshsekedi ni kutumia mtutu wa silaha dhidi ya M23 kitu ambacho kwa sasa ni kigumu kwa sababu jeshi la Congo ni dhaifu, na hawezi bila msaada wa majeshi mengine.. Congo bado ngoma ni ngumu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Kazi bado ni ngumu katika mzozo wa Drc ukitazama maoni ya Marais wa Afrika mashariki utagundua kuwa hii ngoma bado ngumu!! Marais wengi wanashauri Tshsekedi afanye mazungumzo na M23 ili kufikia makubaliano na hatimaye amani, ugumu ni kuwa Rais Tshsekedi na serikali yake ya Congo imeapa kamwe haitazungumza na waasi na kufanya hivyo ni kitu ambacho Congo hawataki Ugumu ni kuwa tayari M23 imejitangazia serikali yake huko Goma kitendo ambacho ni sawa na uhaini kwa serikali ya Tshsekedi na Tshsekedi hataki kuzungumza na wahaini wa serikali yake Hivyo kwa sasa fahamu kuwa sio M23 wanaokataa mazungumzo bali serikali ya Congo ambayo inaona kufanya hivyo ni kuwapa nguvu zaidi waasi Ni wazi kuwa njia pekee anayoitaka Tshsekedi ni kutumia mtutu wa silaha dhidi ya M23 kitu ambacho kwa sasa ni kigumu kwa sababu jeshi la Congo ni dhaifu, na hawezi bila msaada wa majeshi mengine.. Congo bado ngoma ni ngumu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·462 Visualizações