• When other think I'm depressed but truly
    When other think I'm depressed but truly 🤣🤣
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·610 Views
  • Mahakama ya Kijeshi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa hati ya kukamatwa kwa Kiongozi wa umoja wa makundi ya Waasi Nchini humo ya Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Corneille Nangaa.

    Televisheni ya Taifa ya DR Congo (RTNC) imeripoti kuwa hati ya kukamatwa kwa Nangaa imetolewa Jumanne Februari 4, 2025, baada ya kuhusika katika mauaji ya maelfu ya Raia katika mapigano yaliyoibuliwa na Wapiganaji wake katika Jimbo la Kivu Kaskazini Nchini humo. Mahakama hiyo katika hati yake imesema kutekeleza mauaji ya Raia katika mapigano hayo ni kinyume cha sheria za Nchi na sheria za kimataifa.

    Mahakama imeamuru Nangaa akamatwe akiwa mahali popote atakapokutwa Duniani na kufikishwa katika Mahakama ya kijeshi Nchini DR Congo akituhumiwa kuhusika katika kile ilichokitaja kuwa ni uasi na uhalifu wa kivita dhidi ya Raia.

    Ikumbukwe kwamba Mahakama hiyo hiyo ya Kijeshi iliwahi kumuhukumu Corneille Nangaa miaka kadhaa iliyopita akiwa hayupo Mahakamani (alikuwa amekimbia nje ya Nji) kunyongwa hadi kufa kwa kosa la uhaini.

    Mahakama ya Kijeshi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imetoa hati ya kukamatwa kwa Kiongozi wa umoja wa makundi ya Waasi Nchini humo ya Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Corneille Nangaa. Televisheni ya Taifa ya DR Congo (RTNC) imeripoti kuwa hati ya kukamatwa kwa Nangaa imetolewa Jumanne Februari 4, 2025, baada ya kuhusika katika mauaji ya maelfu ya Raia katika mapigano yaliyoibuliwa na Wapiganaji wake katika Jimbo la Kivu Kaskazini Nchini humo. Mahakama hiyo katika hati yake imesema kutekeleza mauaji ya Raia katika mapigano hayo ni kinyume cha sheria za Nchi na sheria za kimataifa. Mahakama imeamuru Nangaa akamatwe akiwa mahali popote atakapokutwa Duniani na kufikishwa katika Mahakama ya kijeshi Nchini DR Congo akituhumiwa kuhusika katika kile ilichokitaja kuwa ni uasi na uhalifu wa kivita dhidi ya Raia. Ikumbukwe kwamba Mahakama hiyo hiyo ya Kijeshi iliwahi kumuhukumu Corneille Nangaa miaka kadhaa iliyopita akiwa hayupo Mahakamani (alikuwa amekimbia nje ya Nji) kunyongwa hadi kufa kwa kosa la uhaini.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·806 Views
  • .House girl alimwomba mama mwenye nyumba wake amwongezee mshahara. Mama akamtaka atoe sababu 3 kwanini anahitaji kuongezwa mshahara.

    HOUSE GIRL: Naweza kupika vizuri kuliko wewe.

    MADAM: Nani kakuambia hivyo?

    HOUSE GIRL: Mumeo aliniambia.

    MADAM: Sawa, sababu ya pili....!

    HOUSE GIRL: Ninaweza kupiga pasi vizuri kuliko wewe.

    MADAM: Nani kakuambia hivyo?

    HOUSE GIRL: Mumeo aliniambia.

    MADAM: Sawa, sababu ya mwisho.

    HOUSE GIRL: Mimi pia ni bora kuliko wewe kitandani

    (Mke alikasirika, akashika fimbo ili kumpiga kichwa chake)

    MADAM: Mume wangu ndiye alisema hivyo?

    HOUSE GIRL: HAPANA, dereva aliniambia mimi ni bora kuliko wewe kitandani.

    MADAM: Shhhh! Punguza sauti yako tafadhali! Nitaongeza jamani

    CCCCCCCC
    .💎💍😂🙆House girl alimwomba mama mwenye nyumba wake amwongezee mshahara. Mama akamtaka atoe sababu 3 kwanini anahitaji kuongezwa mshahara. HOUSE GIRL: Naweza kupika vizuri kuliko wewe.😂 MADAM: Nani kakuambia hivyo?🙆 HOUSE GIRL: Mumeo aliniambia.🤷 MADAM: Sawa, sababu ya pili....!🤔 HOUSE GIRL: Ninaweza kupiga pasi vizuri kuliko wewe.😂 MADAM: Nani kakuambia hivyo?🙆 HOUSE GIRL: Mumeo aliniambia.🤷 MADAM: Sawa, sababu ya mwisho.🤔 HOUSE GIRL: Mimi pia ni bora kuliko wewe kitandani💔😂 (Mke alikasirika, akashika fimbo ili kumpiga kichwa chake)🤔🤔 MADAM: Mume wangu ndiye alisema hivyo?💔 HOUSE GIRL: HAPANA, dereva aliniambia mimi ni bora kuliko wewe kitandani.🤷🤷 MADAM: Shhhh! Punguza sauti yako tafadhali! Nitaongeza jamani😂🤣🤣 CCCCCCCC
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 0 Comments ·0 Shares ·633 Views
  • Usiogope kusemwa
    Usiogope kusemwa
    0 Comments ·0 Shares ·311 Views
  • Mafanikio ni kufikia malengo yako, Sio kuiga malengo ya watu wengine, Usijipime na mtu kwenye haya maisha kila mtu ananjia zake za kufika kwenye Mafanikio Yake.
    Mafanikio ni kufikia malengo yako, Sio kuiga malengo ya watu wengine, Usijipime na mtu kwenye haya maisha kila mtu ananjia zake za kufika kwenye Mafanikio Yake.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·281 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·162 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·172 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·171 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·170 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·162 Views