• Hii joint meeting imehudhuriwa na viongozi karibu wote wa SADC na EAC kwa kutambua umuhimu wake kwa usalama eneo la maziwa makuu.

    Viongozi hawa wanajua kuwa usalama wa eneo hili ni muhimu kwa ustawi wa kanda nzima, hasa ikizingatiwa mizozo ya muda mrefu kama ile ya Mashariki mwa DRC.

    Lakini pia hata viongozi ambao nchi zao zimekuwa kwenye msuguano kwenye mgogoro wa Congo wamehushuria. Paul Kagame wa Rwanda na Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wamehudhuria pia.

    Wote tunakumbuka kwamba hivi karibuni Kagame na Ramaphosa walikuwa kwenye uhasama hawa kwa sababu ya tuhuma zinazoelekewa kwa Rwanda kwamba wanawaunda mkono M23, kundi la waasi linalohusishwa na kuvuruga amani Mashariki mwa DRC.

    Hata hivyo, Tshisekedi ameshindwa kuona umuhimu wa mkutano huu mpaka kumtuma mwakilishi badala yake?

    Hii inaashiria kutokuwa na ushirikiano wa kutosha au kutokubaliana na juhudi za kutatua mgogoro huu kwa njia ya kidiplomasia.

    Is this a sign of deeper political divisions within the DRC or a strategic move to maintain sovereignty?..
    Hii joint meeting imehudhuriwa na viongozi karibu wote wa SADC na EAC kwa kutambua umuhimu wake kwa usalama eneo la maziwa makuu. Viongozi hawa wanajua kuwa usalama wa eneo hili ni muhimu kwa ustawi wa kanda nzima, hasa ikizingatiwa mizozo ya muda mrefu kama ile ya Mashariki mwa DRC. Lakini pia hata viongozi ambao nchi zao zimekuwa kwenye msuguano kwenye mgogoro wa Congo wamehushuria. Paul Kagame wa Rwanda na Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wamehudhuria pia. Wote tunakumbuka kwamba hivi karibuni Kagame na Ramaphosa walikuwa kwenye uhasama hawa kwa sababu ya tuhuma zinazoelekewa kwa Rwanda kwamba wanawaunda mkono M23, kundi la waasi linalohusishwa na kuvuruga amani Mashariki mwa DRC. Hata hivyo, Tshisekedi ameshindwa kuona umuhimu wa mkutano huu mpaka kumtuma mwakilishi badala yake? Hii inaashiria kutokuwa na ushirikiano wa kutosha au kutokubaliana na juhudi za kutatua mgogoro huu kwa njia ya kidiplomasia. Is this a sign of deeper political divisions within the DRC or a strategic move to maintain sovereignty?..
    0 Commentarios 0 Acciones 585 Views
  • Love
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 170 Views
  • #Sports Elite kwenye ligi ya uingereza ni timu mbili pekee zilizowahi kubeba makombe makubwa msimu mzima(treble)
    #Sports Elite kwenye ligi ya uingereza ni timu mbili pekee zilizowahi kubeba makombe makubwa msimu mzima(treble)
    Love
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 194 Views
  • #SportsElite haya wababe wa hizi harakati taja jina la staa hapo...
    #SportsElite haya wababe wa hizi harakati taja jina la staa hapo...
    Like
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 201 Views
  • #SportsElite kikosi kinachoanza dhidi ya Sevilla
    #SportsElite kikosi kinachoanza dhidi ya Sevilla
    Wow
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 207 Views
  • #SportsElite....ligi ndio inaanza upande wa Laliga
    #SportsElite....ligi ndio inaanza upande wa Laliga
    Sad
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 343 Views
  • #SportsEliteMambo badoooo huku
    #SportsElite馃嚬馃嚳Mambo badoooo huku
    Yay
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 188 Views
  • #SportsElite
    @FA cup
    Liverpool
    Chelsea
    Arsenal
    Wababe nje ya FA
    #SportsElite @FA cup Liverpool 鉁傦笍 Chelsea 鉁傦笍 Arsenal 鉁傦笍 Wababe nje ya FA
    Haha
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 713 Views
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter #bernaldpeter #bernaldpeter #bernaldpeter
    0 Commentarios 0 Acciones 118 Views 0
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter #bernaldpeter
    0 Commentarios 0 Acciones 137 Views 0