• Hii joint meeting imehudhuriwa na viongozi karibu wote wa SADC na EAC kwa kutambua umuhimu wake kwa usalama eneo la maziwa makuu.

    Viongozi hawa wanajua kuwa usalama wa eneo hili ni muhimu kwa ustawi wa kanda nzima, hasa ikizingatiwa mizozo ya muda mrefu kama ile ya Mashariki mwa DRC.

    Lakini pia hata viongozi ambao nchi zao zimekuwa kwenye msuguano kwenye mgogoro wa Congo wamehushuria. Paul Kagame wa Rwanda na Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wamehudhuria pia.

    Wote tunakumbuka kwamba hivi karibuni Kagame na Ramaphosa walikuwa kwenye uhasama hawa kwa sababu ya tuhuma zinazoelekewa kwa Rwanda kwamba wanawaunda mkono M23, kundi la waasi linalohusishwa na kuvuruga amani Mashariki mwa DRC.

    Hata hivyo, Tshisekedi ameshindwa kuona umuhimu wa mkutano huu mpaka kumtuma mwakilishi badala yake?

    Hii inaashiria kutokuwa na ushirikiano wa kutosha au kutokubaliana na juhudi za kutatua mgogoro huu kwa njia ya kidiplomasia.

    Is this a sign of deeper political divisions within the DRC or a strategic move to maintain sovereignty?..
    Hii joint meeting imehudhuriwa na viongozi karibu wote wa SADC na EAC kwa kutambua umuhimu wake kwa usalama eneo la maziwa makuu. Viongozi hawa wanajua kuwa usalama wa eneo hili ni muhimu kwa ustawi wa kanda nzima, hasa ikizingatiwa mizozo ya muda mrefu kama ile ya Mashariki mwa DRC. Lakini pia hata viongozi ambao nchi zao zimekuwa kwenye msuguano kwenye mgogoro wa Congo wamehushuria. Paul Kagame wa Rwanda na Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini wamehudhuria pia. Wote tunakumbuka kwamba hivi karibuni Kagame na Ramaphosa walikuwa kwenye uhasama hawa kwa sababu ya tuhuma zinazoelekewa kwa Rwanda kwamba wanawaunda mkono M23, kundi la waasi linalohusishwa na kuvuruga amani Mashariki mwa DRC. Hata hivyo, Tshisekedi ameshindwa kuona umuhimu wa mkutano huu mpaka kumtuma mwakilishi badala yake? Hii inaashiria kutokuwa na ushirikiano wa kutosha au kutokubaliana na juhudi za kutatua mgogoro huu kwa njia ya kidiplomasia. Is this a sign of deeper political divisions within the DRC or a strategic move to maintain sovereignty?..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·587 Views
  • Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·173 Views
  • #Sports Elite kwenye ligi ya uingereza ni timu mbili pekee zilizowahi kubeba makombe makubwa msimu mzima(treble)
    #Sports Elite kwenye ligi ya uingereza ni timu mbili pekee zilizowahi kubeba makombe makubwa msimu mzima(treble)
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·197 Views
  • #SportsElite haya wababe wa hizi harakati taja jina la staa hapo...
    #SportsElite haya wababe wa hizi harakati taja jina la staa hapo...
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·204 Views
  • #SportsElite kikosi kinachoanza dhidi ya Sevilla
    #SportsElite kikosi kinachoanza dhidi ya Sevilla
    Wow
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·210 Views
  • #SportsElite....ligi ndio inaanza upande wa Laliga
    #SportsElite....ligi ndio inaanza upande wa Laliga
    Sad
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·346 Views
  • #SportsEliteMambo badoooo huku
    #SportsElite🇹🇿Mambo badoooo huku
    Yay
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·191 Views
  • #SportsElite
    @FA cup
    Liverpool
    Chelsea
    Arsenal
    Wababe nje ya FA
    #SportsElite @FA cup Liverpool ✂️ Chelsea ✂️ Arsenal ✂️ Wababe nje ya FA
    Haha
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·715 Views
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter #bernaldpeter #bernaldpeter #bernaldpeter
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·121 Views ·0
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter #bernaldpeter
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·140 Views ·0