Search Results
See All Results
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groups
Pages
Marketplace
See More
Groups Pages Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Join
Sign In Sign Up
Theme Switcher
Night Mode
Directory
Users
Posts
Pages
Groups
Events
  • SIMPLE MAN @simple_man added a photo
    2025-02-16 12:33:13 路
    Life quotes
    Social Pop
    Life quotes [Socialpop1]
    Like
    Love
    2
    路 0 Comments 路0 Shares 路1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-02-16 13:05:51 路
    Like
    2
    路 0 Comments 路0 Shares 路137 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-02-16 13:06:03 路
    Like
    2
    路 0 Comments 路0 Shares 路141 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-02-16 13:07:42 路
    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo.

    Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo.

    Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda 馃嚭馃嚞 (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo. Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo. Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.
    Like
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路697 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added a photo
    2025-02-16 13:08:11 路
    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU

    "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ?
    Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!!

    Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza

    Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23?

    Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel馃嚠馃嚤 Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ? Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!! Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23? Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路519 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Vanced Youtube @vanced48 updated the profile picture
    2025-02-16 16:52:03 路
    0 Comments 路0 Shares 路297 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Vanced Youtube @vanced48 added blog in Music
    2025-02-16 16:55:56 路
    How Does Vanced Work?
    Installation and Setup Process YouTube Vanced operates as a modified version of the official vanced YouTube application, offering enhanced features and functionalities. The installation process requires users to first download the Vanced Manager, which acts as a central hub for installing and managing the YouTube Vanced application. This manager ensures seamless integration and updates while...
    0 Comments 路0 Shares 路895 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Sports Elite @baraka24 added a photo
    2025-02-16 21:39:20 路
    #SportsElite
    #kapigwa Tena!!!
    #SportsElite 馃嚞馃嚙 #kapigwa Tena!!!
    Love
    1
    路 0 Comments 路0 Shares 路761 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Shirley Smith @Shirleysmith updated the profile picture
    2025-02-17 05:27:02 路
    0 Comments 路0 Shares 路340 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Shirley Smith @Shirleysmith added blog in Health
    2025-02-17 05:34:21 路
    Best Food for Erectile Dysfunction - Genericcures
    Erectile dysfunction (ED) is a common issue among men, particularly as they age. While medications like Fildena 25 mg, Fildena 50, and Fildena CT 100 mg are effective treatments, a well-balanced diet can also play a crucial role in improving sexual health. Certain foods can enhance blood circulation, support testosterone levels, and promote overall well-being, helping to combat ED naturally. In...
    0 Comments 路0 Shares 路841 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Displaying (23061-23070 of 25761)
  • «
  • Prev
  • 2305
  • 2306
  • 2307
  • 2308
  • 2309
  • Next
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
English
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Terms Privacy Contact Us Directory Developers