نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • SIMPLE MAN @simple_man أضاف صورة
    2025-02-16 12:33:13 ·
    Life quotes
    Social Pop
    Life quotes [Socialpop1]
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-16 13:05:51 ·
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·138 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-16 13:06:03 ·
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·142 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-16 13:07:42 ·
    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo.

    Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo.

    Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda 🇺🇬 (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo. Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo. Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·699 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-16 13:08:11 ·
    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU

    "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ?
    Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!!

    Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza

    Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23?

    Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel🇮🇱 Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ? Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!! Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23? Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·520 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Vanced Youtube @vanced48 تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-02-16 16:52:03 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·298 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Vanced Youtube @vanced48 أضاف وظيفة جديدة in Music
    2025-02-16 16:55:56 ·
    How Does Vanced Work?
    Installation and Setup Process YouTube Vanced operates as a modified version of the official vanced YouTube application, offering enhanced features and functionalities. The installation process requires users to first download the Vanced Manager, which acts as a central hub for installing and managing the YouTube Vanced application. This manager ensures seamless integration and updates while...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·897 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite @baraka24 أضاف صورة
    2025-02-16 21:39:20 ·
    #SportsElite
    #kapigwa Tena!!!
    #SportsElite 🇬🇧 #kapigwa Tena!!!
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·762 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Shirley Smith @Shirleysmith تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-02-17 05:27:02 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·340 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Shirley Smith @Shirleysmith أضاف وظيفة جديدة in Health
    2025-02-17 05:34:21 ·
    Best Food for Erectile Dysfunction - Genericcures
    Erectile dysfunction (ED) is a common issue among men, particularly as they age. While medications like Fildena 25 mg, Fildena 50, and Fildena CT 100 mg are effective treatments, a well-balanced diet can also play a crucial role in improving sexual health. Certain foods can enhance blood circulation, support testosterone levels, and promote overall well-being, helping to combat ED naturally. In...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·844 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (23061-23070 من 25791)
  • «
  • السابق
  • 2305
  • 2306
  • 2307
  • 2308
  • 2309
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين