Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • SIMPLE MAN @simple_man добавлены фото
    2025-02-16 12:33:13 ·
    Life quotes
    Social Pop
    Life quotes [Socialpop1]
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-16 13:05:51 ·
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·138 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-16 13:06:03 ·
    Like
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·142 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-16 13:07:42 ·
    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo.

    Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo.

    Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Nchi ya Uganda 🇺🇬 (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema Uganda inatoa saa (24) vikosi vyote vilivyopo katika Mji wa Bunia Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 kuacha kuuwa Raia wa kabila la Bahima (ambalo asili yake ni kutoka Nchini Uganda) lasivyo Jeshi lake litashambulia Mji huo. Kainerugaba ametoa kauli hiyo Februari 15 katika mtandao wake wa X. Huku akielezwa kuwa na historia ya kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu sera za kigeni mara kwa mara. Alisema ana mamlaka ya Rais Yoweri Museveni, ambaye pia ni Baba yake Mzazi ambako hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Uganda alisema hawezi kuzungumzia suala hilo. Hata hivyo, kabla ya kusasisha ujumbe huo kwenye mtandao wa X, Jenerali huyo alikuwa alieleza bila kutoa ushahidi, kwamba Watu kutoka kabila la Bahima walikuwa wakiuawa huko Nchini DR Congo.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·699 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-16 13:08:11 ·
    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU

    "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ?
    Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!!

    Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza

    Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23?

    Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    TSHISEKEDI JIFUNZE KWA NETANYAHU "Mnakumbuka kauli ya Waziri mkuu wa Israel🇮🇱 Benjamin Netanyahu kwamba hata iweje hata zungumza na Hamas ? Tena Netanyahu akajitapa akisema kamwe Israel haitazungumza na magaidi, Netanyahu alisema hayo akijua fika ana sapoti kubwa ya Marekani inayompa nguvu na uwezo wa kila aina unaohitajika wa kijeshi!! Lakini mwisho wa siku Netanyahu alikaa chini na Hamas na kuzungumza baada ya hapo mateka pamoja na wafungwa wanaachiwa amani imerudi kiasi Gaza Somo kwa Tshisekedi kaa chini uzungumze na M23 vinginevyo unaenda kutengeneza serikali ndani ya serikali, jeshi la Congo ni ungaa halina uwezo wa kukabiliana na M23, Tshisekedi unatoa wapi kiburi cha kukataa kuzungumza na M23? Washirika wa Congo nao kila siku vikao vingii lakini hatua za kukabiliana na M23 zimekuwa chache!! Tshisekedi kubali mazungumzo na M23 jifunze kwa Netanyahu!!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·520 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Vanced Youtube @vanced48 обновить изображение профиля
    2025-02-16 16:52:03 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·298 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Vanced Youtube @vanced48 добавлена новая статья in Music
    2025-02-16 16:55:56 ·
    How Does Vanced Work?
    Installation and Setup Process YouTube Vanced operates as a modified version of the official vanced YouTube application, offering enhanced features and functionalities. The installation process requires users to first download the Vanced Manager, which acts as a central hub for installing and managing the YouTube Vanced application. This manager ensures seamless integration and updates while...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·897 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Sports Elite @baraka24 добавлены фото
    2025-02-16 21:39:20 ·
    #SportsElite
    #kapigwa Tena!!!
    #SportsElite 🇬🇧 #kapigwa Tena!!!
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·762 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Shirley Smith @Shirleysmith обновить изображение профиля
    2025-02-17 05:27:02 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·340 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Shirley Smith @Shirleysmith добавлена новая статья in Health
    2025-02-17 05:34:21 ·
    Best Food for Erectile Dysfunction - Genericcures
    Erectile dysfunction (ED) is a common issue among men, particularly as they age. While medications like Fildena 25 mg, Fildena 50, and Fildena CT 100 mg are effective treatments, a well-balanced diet can also play a crucial role in improving sexual health. Certain foods can enhance blood circulation, support testosterone levels, and promote overall well-being, helping to combat ED naturally. In...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·844 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23061-23070 из 25796)
  • «
  • Назад
  • 2305
  • 2306
  • 2307
  • 2308
  • 2309
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики