Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:10:55 路
    0 Commenti 路0 condivisioni 路80 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:11:07 路
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路81 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:11:27 路
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路81 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:11:44 路
    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo , Felix Tshisekedi ameitaka Nchi ya Marekani kununua madini moja kwa moja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiitaja ndio "mmiliki halisi" wa rasilimali hizo na sio Nchi Rwanda .

    Tshisekedi amesema kuwa anaanza kwa kutoa ofa hiyo kwa Marekani kwanza huku akitoa pendekezo hilo pia liko wazi kwa mataifa ya Umoja Ulaya (EU) na wanunuzi wengine wanaotafuta na kununua madini kutoka Nchini Rwanda kwa sasa.

    Rais huyo amewaonya Mataifa yanayonunua madini kutoka Nchini Rwanda kuwa wanachukua madini yaliyoibwa kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, kwahiyo wanatakiwa kununua kwa mmiliki halali. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Rwanda ni moja ya kati ya Nchi zinauza madini mengi barani Afrika kwa Mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo 馃嚚馃嚛, Felix Tshisekedi ameitaka Nchi ya Marekani 馃嚭馃嚫 kununua madini moja kwa moja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiitaja ndio "mmiliki halisi" wa rasilimali hizo na sio Nchi Rwanda 馃嚪馃嚰. Tshisekedi amesema kuwa anaanza kwa kutoa ofa hiyo kwa Marekani kwanza huku akitoa pendekezo hilo pia liko wazi kwa mataifa ya Umoja Ulaya (EU) na wanunuzi wengine wanaotafuta na kununua madini kutoka Nchini Rwanda kwa sasa. Rais huyo amewaonya Mataifa yanayonunua madini kutoka Nchini Rwanda kuwa wanachukua madini yaliyoibwa kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, kwahiyo wanatakiwa kununua kwa mmiliki halali. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Rwanda ni moja ya kati ya Nchi zinauza madini mengi barani Afrika kwa Mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路402 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Ally Messi1 @allymessi1 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:41:44 路
    0 Commenti 路0 condivisioni 路228 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Apon Kamaleki @Dr.Profake ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:42:36 路
    Your life will never be the same
    #motivationalQuote
    Your life will never be the same #motivationalQuote
    Love
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Ally Messi1 @allymessi1 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 10:43:48 路
    Like
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路259 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 11:31:29 路
    Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.

    Uzi馃憞馃徔
    Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.馃Ж Uzi馃У馃憞馃徔
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路294 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 11:33:41 路
    PART 1

    Miaka ishirini iliyopita, asubuhi ya Septemba 11, 2001 katika pwani ya mashariki mwa Marekani, ndege nne za abiria zilitekwa nyara kwa wakati mmoja na magaidi 19 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu baada ya kugonga minara pacha ya kituo cha bisahara cha World Trade Center nchini Marekani.
    PART 1 Miaka ishirini iliyopita, asubuhi ya Septemba 11, 2001 katika pwani ya mashariki mwa Marekani, ndege nne za abiria zilitekwa nyara kwa wakati mmoja na magaidi 19 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu baada ya kugonga minara pacha ya kituo cha bisahara cha World Trade Center nchini Marekani.
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路627 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2025-02-24 11:34:52 路
    PART 2

    Kwa mara ya pili katika historia yake, Marekani ilikumbwa na shambulio la ndani, hali ambayo ilishuwa wengi wakati Marekani ni mojawapo ya nchi zenye nguvu duniani ambapo ni vigumu kupenya na kufanya shambulizi kubwa kama hilo.
    PART 2 Kwa mara ya pili katika historia yake, Marekani ilikumbwa na shambulio la ndani, hali ambayo ilishuwa wengi wakati Marekani ni mojawapo ya nchi zenye nguvu duniani ambapo ni vigumu kupenya na kufanya shambulizi kubwa kama hilo.
    Like
    1
    路 0 Commenti 路0 condivisioni 路697 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (23271-23280 di 26007)
  • «
  • Prec.
  • 2326
  • 2327
  • 2328
  • 2329
  • 2330
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano pi霉 adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers