Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:10:55 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·80 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:11:07 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·81 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:11:27 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·81 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:11:44 ·
    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo , Felix Tshisekedi ameitaka Nchi ya Marekani kununua madini moja kwa moja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiitaja ndio "mmiliki halisi" wa rasilimali hizo na sio Nchi Rwanda .

    Tshisekedi amesema kuwa anaanza kwa kutoa ofa hiyo kwa Marekani kwanza huku akitoa pendekezo hilo pia liko wazi kwa mataifa ya Umoja Ulaya (EU) na wanunuzi wengine wanaotafuta na kununua madini kutoka Nchini Rwanda kwa sasa.

    Rais huyo amewaonya Mataifa yanayonunua madini kutoka Nchini Rwanda kuwa wanachukua madini yaliyoibwa kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, kwahiyo wanatakiwa kununua kwa mmiliki halali. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Rwanda ni moja ya kati ya Nchi zinauza madini mengi barani Afrika kwa Mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo 🇨🇩, Felix Tshisekedi ameitaka Nchi ya Marekani 🇺🇸 kununua madini moja kwa moja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiitaja ndio "mmiliki halisi" wa rasilimali hizo na sio Nchi Rwanda 🇷🇼. Tshisekedi amesema kuwa anaanza kwa kutoa ofa hiyo kwa Marekani kwanza huku akitoa pendekezo hilo pia liko wazi kwa mataifa ya Umoja Ulaya (EU) na wanunuzi wengine wanaotafuta na kununua madini kutoka Nchini Rwanda kwa sasa. Rais huyo amewaonya Mataifa yanayonunua madini kutoka Nchini Rwanda kuwa wanachukua madini yaliyoibwa kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, kwahiyo wanatakiwa kununua kwa mmiliki halali. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Rwanda ni moja ya kati ya Nchi zinauza madini mengi barani Afrika kwa Mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·402 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Ally Messi1 @allymessi1 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:41:44 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·228 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Apon Kamaleki @Dr.Profake a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:42:36 ·
    Your life will never be the same
    #motivationalQuote
    Your life will never be the same #motivationalQuote
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Ally Messi1 @allymessi1 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 10:43:48 ·
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·259 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 11:31:29 ·
    Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.

    Uzi👇🏿
    Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.🧨 Uzi🧵👇🏿
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·294 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 11:33:41 ·
    PART 1

    Miaka ishirini iliyopita, asubuhi ya Septemba 11, 2001 katika pwani ya mashariki mwa Marekani, ndege nne za abiria zilitekwa nyara kwa wakati mmoja na magaidi 19 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu baada ya kugonga minara pacha ya kituo cha bisahara cha World Trade Center nchini Marekani.
    PART 1 Miaka ishirini iliyopita, asubuhi ya Septemba 11, 2001 katika pwani ya mashariki mwa Marekani, ndege nne za abiria zilitekwa nyara kwa wakati mmoja na magaidi 19 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu baada ya kugonga minara pacha ya kituo cha bisahara cha World Trade Center nchini Marekani.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·627 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2025-02-24 11:34:52 ·
    PART 2

    Kwa mara ya pili katika historia yake, Marekani ilikumbwa na shambulio la ndani, hali ambayo ilishuwa wengi wakati Marekani ni mojawapo ya nchi zenye nguvu duniani ambapo ni vigumu kupenya na kufanya shambulizi kubwa kama hilo.
    PART 2 Kwa mara ya pili katika historia yake, Marekani ilikumbwa na shambulio la ndani, hali ambayo ilishuwa wengi wakati Marekani ni mojawapo ya nchi zenye nguvu duniani ambapo ni vigumu kupenya na kufanya shambulizi kubwa kama hilo.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·697 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (23271-23280 de 26010)
  • «
  • Anterior
  • 2326
  • 2327
  • 2328
  • 2329
  • 2330
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers